Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

02 March 2026 TAARIFA: Rais Mahama afungua rasmi mwaka wa Mahakama ya Afrika jijini Arusha leo 02 March 2026 Rais John Dramani Mahama aliondoka Accra Ghana Jumapili, tarehe 1 Machi 2026, na...
3 Reactions
9 Replies
203 Views
Nimeoona Clip ikisambaa mitandaoni kuwa yeye . Mwigulu Nchemba hawezi kufanywa kitu na mtu yoyote. Alishapambana na wenye dawa hasa wamasai tangia anachunga ng'ombe maporini. Hii imekaaje na...
3 Reactions
5 Replies
173 Views
My two cents from a distance. Siyo siri kwamba naunga mkono kutokushiriki chaguzi za maigizo zinazoendeshwa na CCM. Naunga mkono harakati karibu zote za mwenyekiti mpya wa CHADEMA za kuleta...
13 Reactions
68 Replies
3K Views
  • Featured
Wakuu, Sasa hivi ni suala la muda tu hadi watembea kwa miguu wataanza kulipishwa kodi Serikali imeona watu wanastarehe kwa bei ya kawaida kwenye sehemu za kuogoelea, wanataka sasa wawatoze kodi...
5 Reactions
42 Replies
1K Views
Serikali ta Tanzania imetoa msimamo ikisema Tanzania inayo mifumo ya kulinda haki za binadamu, ambayo ina vigezo vya kimataifa. Msimamo huo ulitolewa leo Machi 4 na Balozi wa kudumu wa Tanzania...
0 Reactions
1 Replies
91 Views
Wakuu, Akizungumza leo Februari 28, 2026 Makamu wa Rais wa Tanzania Emmanuel Nchimbi amesema "Kazi ya kutumikia nchi sio rahisi sana ni ngumu. Ina vishawishi ina vitisho lakini ndio maana...
6 Reactions
60 Replies
750 Views
Ndugu zangu Watanzania, Kuna uwezekano Mkubwa sana mtu anayejiita Kaka Yake Humphrey polepole Akawa na Matatizo ya akili pamoja na Msongo Wa Mawazo. Ni mtu ambaye ukimsikiliza vizuri na kwa...
0 Reactions
40 Replies
525 Views
Mwandishi kusaga wa Arusha ashikiliwa na polisi muda huu,chanzo chadaiwa kuandika taarifa za uongo za kijana aliyebishana na polisi Mwandishi wa habari wa alphonce Kusaga mmiliki wa Kusaga TV na...
1 Reactions
3 Replies
170 Views
Kufuatia tukio la kukamatwa kwa meli iliyokuwa na bendera ya Tanzania, iliyokuwa na tani 6.6 za dawa za kulevya aina cocaine katika eneo la La Unión, El Salvador Februari 19, 2026,, kuna haja ya...
8 Reactions
35 Replies
536 Views
HRC61 - EU statement - Item 2 Annual report of the UN High Commissioner for the Human Rights and report of the Office of the High Commissioner and the UN Secretary-General 02.03.2026 Geneva...
1 Reactions
3 Replies
165 Views
  • Redirect
Ndugu Mayala Deadline tayari imeshapita hatujaona sababu za kwanini Usichukuliwe hatua kali za kinidhani na board ya ithibati kwa kuropoka maneno ambayo yalikua nashusha hadhi ya Waziri Mkuu...
0 Reactions
Replies
Views
  • Featured
Ya kweli haya ndugu zangu? Kila kitu pipo shwari baada ya uchaguzi? Mambo yamerejea kama kawaida na uchumi umekua? ===== "Tanzania tuko watulivu na tuko sawa. Kisiasa, kila kitu kiko chini ya...
4 Reactions
21 Replies
669 Views
Huu mjadala wa kupigiwa na kutopigiwa makofi msibani ni mgumu kama msiba ulivyo mgumu. Waziri Mkuu Mh. Mwigulu kasema yeye binafsi hahitaji kupigiwa makofi. Kama kupendwa, akiishapendwa na mkewe...
11 Reactions
13 Replies
339 Views
GT, Hii ni maajabu huyu jamaa hana haiba ya Uwaziri Mkuu hata kidogo, anaonekana muhuni tu tofauti na wenzake waliopita. Wangetafuta figure nyingine lakini siyo huu jamaa maana hayuko mioyoni...
23 Reactions
106 Replies
3K Views
Kwa hali ilivyo mpaka sasa ningecheza karata moja ambayo watu wasinge amini macho yao. Maana sina cha kupoteza, sasa ili kumaliza hiki kipindi kilichobaki ili nikapumzike zangu lakini pia niwe...
14 Reactions
47 Replies
879 Views
Tunaposema utawala wa Magufuli ulijaa futuhi na propaganda muwe mnaelewa. Kuna kipindi muliita serikali ya viwanda, mkiambiwa muonyeshe viwanda 20 tu vya kati au vikubwa vya JPM au vya invester...
0 Reactions
0 Replies
79 Views
https://www.youtube.com/watch?v=4q282jxs_3E Mbunge wa Jimbo la Segerea, Agnesta Lambert Kaiza, kupitia tiketi ya Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), amesema kuwa katika jimbo lake bado kuna kero...
0 Reactions
1 Replies
92 Views
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola, Mhe. Shirley Botchwey, amemteua Mhe. Dkt. Lazarus Chakwera, Rais wa zamani wa Malawi, kuwa Mjumbe Maalum wake katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Dkt...
2 Reactions
60 Replies
2K Views
MUHTASARI (ABSTRACT) Utafiti huu unapendekeza mkakati wa kina wa marekebisho ya muundo wa kispasheli na ugatuzi wa huduma za mijini kwa lengo la kupunguza msongamano wa magari katika Jiji la Dar...
4 Reactions
12 Replies
441 Views
Back
Top Bottom