Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mkongwe wa tasnia ya habari nchini, Bi. Rose Haji Mwalimu, amesema mfumo wa ithibati ya waandishi wa habari umeleta mabadiliko makubwa kwa kurejesha heshima ya taaluma hiyo na kutofautisha...
1 Reactions
3 Replies
65 Views
Anayejiita she he Mwaipopo anatoa tuhuma nzito kwa Makamu mwenyekiti wa CHADEMA kamanda John Heche kapewa pesa tasilimu na mfanyabiashara kada wa ccm kiasi cha dola laki 2 kamaTsh 520,000,000 hivi...
1 Reactions
8 Replies
289 Views
Tukio la Lissu kupigwa risasi sio dogo kama wengine wanavyodhani, waliohusika wasifikiri litaisha kama matukio mengine yanavyoisha na kusahaulika, kuwa ni upepo tu utapita, wakae wakijua hili...
96 Reactions
287 Replies
32K Views
Michango ya makada, viongozi na wadau mbalimbali ndiyo itakayogharamia uhai wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), huku chama hicho kikizindua Operesheni "Tujenge Pamoja #Tanzania" Akizungumza...
11 Reactions
33 Replies
600 Views
Kuna watu humu wanasema Heche anatumia mbinu mbali mbali kukwamisha LISSU Asitoke ili kwa kuwa yeye anafaidika kisiasa Njia na nyepesi sana ni kumtoa Lissu mahabusu ili Heche asifaidike tena na...
7 Reactions
8 Replies
189 Views
Hawa vijana wanaongozwa na mihemko zaidi kuliko hekima na busara, uwezo wao umejengwa kwenye misingi ya Uongo, Kibri, Kisasi na Kujipendekeza, wanapotoa matamshi huwa hawaangalii consequences...
7 Reactions
18 Replies
526 Views
Hakuna chama kipya kinakuja madarakani pamoja na ofisi zake za serikali, majeshi, polisi, mahakama, barabara, hospitali, mahakama na majaji wake wapya. Watatumia miundombinu hiihii na rasilimali...
-4 Reactions
138 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, Kwa kazi kubwa iliyofanywa na Rais Samia Hapa Nchini, kwa maendeleo Makubwa yaliyoletwa na Rais Samia , kwa Heshima aliyoipatia Nchi yetu, Kwa Kazi Kubwa aliyoifanya ya...
7 Reactions
145 Replies
1K Views
Hi I Maana yake ni kwamba YEYOTE atakayeamua kuridhiana n.a. Shetani atakuwa anamkosea Mungu wake na kwa vile atakuwa anavunja kanuni za Mungu mwenyewe basi bila Shaka atakuwa anatenda dhambi ya...
12 Reactions
64 Replies
1K Views
https://youtube.com/shorts/JwMVAUPBoPE?si=bofgw1NFolHE6WUi "....Waambieni wanachama wasikate tamaa, wasimame imara kukipambania chama. Waambieni wachangie chama, songeni mbele msinisubiri mimi...
15 Reactions
15 Replies
548 Views
Huyu Jamaa hua nashindwa kuelewa maana naona kama ana kua msemaji wa CCM.. Hivi hadi Michango ya Tone Tone ya CHADEMA anaiongelea yeye kama nani? Au mimi sijui vizur kazi yake ina extend hadi...
6 Reactions
15 Replies
251 Views
Masaa machache Baada ya Kauli yake Michango yapaa kama kishada Hii ndio hali halisi
5 Reactions
10 Replies
304 Views
Ratiba ya Mbio za Mwenge wa Uhuru, Wilaya ya Iramba - Julai 24, 2026 Kaulimbiu: Tanzania ni yetu sote, Tushikamane kwa pamoja kuleta maendeleo.
0 Reactions
1 Replies
59 Views
Hata Uingereza hali yao ya kiuchumi ni mbaya. Waziri Mkuu mpya, Andy Burnham anataka wafunge mkanda ili kufanya mageuzi makubwa ya kiuchumi kuboresha hali zao za maisha. Hii inaonyesha kuwa...
2 Reactions
37 Replies
458 Views
MKUU wa Wilaya ya Temeke Sixtus Mapunda amevitaka vyombo vya ulinzi na usalama kufanya uchunguzi katika baadhi ya showroom za magari zilizopo wilayani humo ili kubaini iwapo zinatumika kutakatisha...
2 Reactions
11 Replies
497 Views
Sikiliza kwa umakini namna anavyochambua uongo na madudu ya Tume ya Jaji Chande👇
1 Reactions
7 Replies
165 Views
Mbunge wa Jimbo la Iramba Mashariki, Jesca Kishoa, amewataka wananchi kuendelea kuwa wavumilivu kufuatia zuio la mikutano ya hadhara lililotolewa na Serikali, akisema shughuli hizo zitaendelea...
2 Reactions
3 Replies
162 Views
Afrika isiendelee kuwa uwanja wa ushindani wa mataifa makubwa. Tunapaswa kutumia nafasi yetu ya kimkakati, rasilimali tulizonazo na nguvu ya watu wetu kujiletea maendeleo yenye manufaa kwa...
1 Reactions
1 Replies
76 Views
Shauri la Kikatiba namba 7300 la mwaka 2026 linalohusu madai ya kunyimwa faragha kwa Mawakili wa Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, limeahirisha hadi Septamba 16, 2026 kwa ajili ya kutajwa...
2 Reactions
6 Replies
259 Views
Ushujaa wa hali ya juu👇 Mahakama ya Wilaya ya Geita imemwachia kwa dhamana Mwenyekiti wa CHADEMA Geita Vijijini, Neema Chozaile, baada ya kushikiliwa mahabusu kwa zaidi ya siku 20. Chozaile...
9 Reactions
26 Replies
485 Views
Back
Top Bottom