Moja ya mistari inayonigusa sana katika biblia, nakunifanya nijitathmini mm mwenyewe ni mtu wa aina gani, ni Mathayo 7:20 "mtawatambua kwa matendo yao"
Wanadamu tuna hulka ya kupenda kuonekana ni...
My Take
Ikumbukwe Machadema Huwa yanaponda Mfumo wa sheria za Tanzania na kuwaponza CCM kwamba wanaruhusu darasa la saba Kugombea nafasi za Uongozi na kwamba huko wanakopewa hifadhi Kwa kibaraka...
Salaam Wakuu,
Naomba Dr. Emanuel Nchimbi mumuache afanye kazi. Kwanza udaktari wake wa kusomea so aheshimiwe.
Msimuingize kwenye ugomvi wenu na Ufisadi wenu..
Ameishi kwa heshima kwa kuheshimu...
KATIKA harakati za kutetea mabadiliko KATIKA mifumo ya utoaji haki demokrasia ya kweli na katiba mpya yanahitajika mapambano ya ndani na nje ya mfumo.
Kwa vile alikuwa ameshaonyesha kiu ya...
Nyie wanaCCM msiokubaliana na yanayoendelea nchini, uoga wenu ndiyo kitanzi cha tsifa hili. Ni lazima mpandishe joto la kisiasa nchini ili muafaka wa kitaifa upatikane.
Tokeni kwenye mashimo yenu...
Ndugu Zangu Watanzania,
Lissu inatakiwa Afunguliwe Mashtaka Mapya Kabisa na kuanza kufanya uchunguzi wa kauli zake ambazo alikuwa akizitoa Mwaka jana kabla ya Uchaguzi.
Ikumbukwe lissu Alitoa...
Ndugu zangu Watanzania,
Kwa Miaka yote zaidi ya 30 wana CHADEMA wamekuwa wakikamuliwa Michango ya kila aina kwa kutumia vikauli mbiu tofauti tofauti ambavyo vimekuwa vikitolewa na kuletwa na...
Shauri la uhaini namba 19605/2025 dhidi ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu, kuendelea leo Agosti 24, 2026 katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya...
Ukiwa na mpinzani lofa kwenye biashara au kwenye siasa raha sana.
Yeye huwa hana mipango yoyote zaidi ya kudandia kila jambo unalomwekea mbele yake.
Huku anashadadia mambo yasiyomuhusu wewe...
Hii ni kwa mujibu wa taarifa zinazoenea kwenye mitandao ya kijamii ikiwa ni baada ya kikao cha kamati kuu ya Hakmashauri kuu ya CCM kuwa na kikao leo hii.
STAY TUNE...KUTOKA LUMUMBA....
Katika umri wa miaka 66 kwa nafasi ya kuzindua majengo, semina, mikutano, warsha na makongamano sio mbaya sana!!
Nimemkumbuka huyu mama, yuko wapi siku hizi?
Wanabodi,
Hili ni bandiko la swali...
Japo najua mtu ukiwa mkweli sana, sometimes ukweli unaweza kukuponza!, ila nilidhani ukweli una wacost malofa tuu na makapuku, sikujua kama unaweza...
Duniani kote majijini kuna maisha ghali sana. Sio kila mtu anaweza kumudu gharama za kuishi kwenye majiji.
Kilichokuwa kinafanywa na wamiliki wa mabasi ya mikoani ni kulazimisha watu wenye uwezo...
Kuonekana kwa Freeman Mbowe hadharani leo katika uzinduzi wa Serikali wa Mradi wa Kufua Umeme wa Maji wa Julius Nyerere (JNHPP) kumezua ukosoaji mkubwa kutoka kwa wanachama na wapenzi wa CHADEMA...
CHADEMA Marathon 334 ninini?
CHADEMA Marathon 334 ni kampeni maalum ya kuchangisha fedha iliyozinduliwa na chama kikuu cha upinzani nchini Tanganyika.
Lengo kuu la kampeni hii ni kukusanya...
Hello everyone,
I hope you are all doing well. Today, I would like to share an in-depth analysis looking at Tanzania’s current political and economic trajectory through a historical lens.
This...
Hayo ndo madini ya wahadhiri wa Kiislamu wakidai kuwa Rais anapokuwa Muislam, wakatoliki hawapo tayari Makamu atoke nje ya Katoliki, au Makamu anapokuwa Muislam basi Rais asiwe Mkatoliki.
Nchi ya Afrika Kusini ni kati ya Nchi zinaongoza Kwa viwanda Africa lakini pamoja na kuwa na Viwanda vingi ila ndio Nchi inaongoza Kwa unemployment kubwa Kanda ya SADC Kwa zaidi ya asilimia 33%...
- Dr. Mbuyiseni Ndlozi. He raises concerns about Tanzania's recent disputed elections that claimed many youthful lives. He asks why Tanzania President Suluhu Hassan was invited to the recent SADC...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.