Zitto alionekan mnafiki na mzandiki alipozungumzia mkataba wa Mbowe na NHC. Lakini naomba wote tujikumbushe juu ya kashfa ile kwa kupitia hii Link.
Zitto aanika siri nyeti za Mbowe! Adai hatakufa...
KWA NINI TUNDU LISSU NI CHAGUO SAHIHI TLS?
Nimekua katika mazingira ya kuambiwa kila uchao kwamba ili nchi iendelee inahitaji mambo manne: watu, ardhi, siasa safi na uongozi bora. Kauli mbiu hiyo...
MJANE kutoka Tanga, Swabaha Mohamed Shosi aliyewashtaki baadhi ya watendaji wa Serikali kwa Rais John Magufuli hapo jana akidai kuzungushwa kupewa haki yake ya mirathi si tapeli kama...
Wadau juzi Mwenyekiti wa Baraza la Madawa ya Kulevywa Nchini Mh.Waziri Mkuu Majaliwa wakati akizindua Baraza hilo alisema no marufuku kumtaja MTU jina mpaka Ahakikiwe.Swali langu ni je wale ambao...
Mara baada ya tukio la Dangote na sintofahamu ambayo baadae lkamalizwa Vuguvugu la uhamasishaji viwanda kama limepoa. Waziri husika simuoni kwenye media akitoa miongozo uhamasishaji na mikakati ya...
Uchunguzi wa ufisadi wa 230bn wakamilika, tusubiri bunge la April. Inatia hasira nchii hii, Mkurugenzi mpya wa NSSF anasema NSSF mradi wa Dege Village Kigamboni , NSSF Ilinunua viwanja eka1 kwa...
Kuna kitu hua najiuliza sana mpaka kichwa kinaniuma pengine hata kidonge kimoja cha panadol hakiwezi kusaidia kitu.
Hivi tulikua wapi wakati CCM wanajaza wabunge mpaka kuwafanya kua na idadi...
Msumbiji wanajiyekenya na kucheka wenyewe..! Wanajirekodi na kujisikiliza wenyewe. Wanadhani baba yetu ni wa mzahamzaha. Wanadhani ni mpole kiasi. Huyu ni Tinga tinga / bulldozer lilojaa mafuta...
1-Najiuliza sana ni watanzania wangapi kati ya milioni 50 tuliopo tunaweza kulipa nauli ya ndege kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine au kutoka nchini kwenda nje ya nchi? Ukweli ni wachache sana...
Tumeshuhudia baadhi ya watuhumiwa walioitwa polisi wakiwa hawatumii mihadarati kama Gwajima huku baadhi ya wanasiasa kama Manji wakigundulika wanatumia mihadarati.
Pia kuna wengine inasemekana...
Moja ya jambo ambalo uwepo wake haunifurahishi ni hiki kinachoitwa "kinga ya Raisi" awe madarakani na baada ya kustaafu.
Wakati huu viongozi wanakamatwa, wabunge wanafungwa jela, wanawekwa...
Wadau najiuliza tu maswali na naomba kueleweshwa,sheria zetu zina semaje kwa kiongozi yeyote yule mstaafu anaposafiri Nje ya Nchi na akakataa ulinzi ama mlinzi wake asiambatane nae,inamaanisha...
Huwa bado najiuliza hivi sisi ni Watanganyika/Watanzania original? Hivi wizara ya mambo ya nje na balozi wa nchi hii ni wazawa? Wanasema tuwe wazalendo hivi wao uzalendo wao uko wapi?
Wanatakaje...
Let’s dump all cra'ps and get down to the nitty-gritty!! Paul Makonda amevurunda kwa kiasi kikubwa issue ya mihadarati!
Tuweke kwanza pembeni masuala ya bangi na tujikite kwenye cocaine na...
Serikali yetu ya awamu ya tano chini ya Rais John pombe magufuli imejitapa na kutupa matumain wanyonge kuwa itapambana na ufisad. Ni muda mrefu sasa tangu tuichague kushika madarakan karibia miezi...
wakati tukiwa tumebakiza miaka michache kuelekea 2020 kuna utafiti nimejaribu kuufanya mijini na vijijini lakini pia nimejaribu kupita majimbo ambayo ccm au upinzani...
No one Cares Kwasababu watoto wao wanakula na kulala pazuri,
No one cares because they sure we cant touch them,
No one cares because they think of short term impact of their political career ...
Watanzania waishio nchini Msumbiji wapo katika wakati mgumu kutokana na kufukuzwa kwa nguvu ikiwemo kunyang'anywa mali zao, kupigwa na wanawake kubakwa. Msikilize Mtanzania huyu aitwaye Wille...
"Mtu mzima na akili zako unaamka asubuhi kisha unaingia bafuni unaogo unaingia chumbani kwako unapiga suti yako na tai alafu unaingia kwenye gari ya serikali unaelekea ofisini."
"Unaingia ofisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.