Kuhusu kauli hii ya IGP Sirro "Hakuna maneno ni vitendo tu"

Basham

JF-Expert Member
Oct 10, 2014
743
429
Amani iwe kwenu wana Jamvi,

Kwa mara ya kwanza IGP kuongea kwenye vyombo vya habari anatoa kauli hii yenye utata kwa Raia, Kama heading inavosomeka, nmesikia mkutano huo wa IGP na vyombo vya habari lakini nimetoka na maswali lukuki,

Kutokana na hali ya matukio ya mauaji kuongezeka Ingekua BUSARA SANA KWAKE KUSEMA TUTAFANYA KAZI KWA KUZINGATIA KATIBA NA SHERIA, Kuliko alivosema sasa ni vitendo tuu

Ina maana raia tutakiona cha mtema kuni kupigwa, kuonewa,n.k

Nawasilishaa, Ni maoni yangu twende kistaarabu
 
Amani iwe kwenu wana Jamvi,

Kwa mara ya kwanza IGP kuongea kwenye vyombo vya habari anatoa kauli hii yenye utata kwa Raia, Kama heading inavosomeka, nmesikia mkutano huo wa IGP na vyombo vya habari lakini nimetoka na maswali lukuki,

Kutokana na hali ya matukio ya mauaji kuongezeka Ingekua BUSARA SANA KWAKE KUSEMA TUTAFANYA KAZI KWA KUZINGATIA KATIBA NA SHERIA, Kuliko alivosema sasa ni vitendo tuu

Ina maana raia tutakiona cha mtema kuni kupingwa, kuonewa,n.k

Nawasilishaa, Ni maoni yangu twende kistaarabu
Sku nyingine utumie busara si unakuwa mtu wa mtizamo hasi.Huku ni ku watuka.Ni wapi amesema atakuwa mtu wa vitendo bila kufuata sheria.Msipende kupotosha jamii.
 
Upeo wako ni mdogo mnoo kumuelewa kamanda sirro. Nakushauri usubiri baada ya miaka mitatu mbele ndio unaweza kumuelewa.
Mkuu yani we unampa mwenzio miaka 3 ya kumuelewa kamanda sirro ilhali wewe umemuelewa kwa week 1 ya uteuzi wake, nini siri ya urembo
 
kimsingi mission yeyote ya kijeshi ili ifanikiwe lazima iende kwa utulivu mkubwa na si kupayuka maneno kwenye midia bila mafanikio yeyote na kama ulimsikiliza vizuri mwishoni alisema watazingatia sheria hawatamuonea mtu ila wewe umekomaa na neno alilosema "Hakuna maneno ni vitendo"

Hili swala si la kuchukulia mzaha hata kidogo ndiyo maana kuna wengine humu wameshauri hadi jeshi la wananchi litumike.

Labda kwakuwa wewe hujaguswa na vifo hivi ila kwa ambaye amepoteza mpendwa wake anatamani kuona kitu kinafanyike very seriously ili kukomesha mauaji haya
 
kimsingi mission yeyote ya kijeshi ili ifanikiwe lazima iende kwa utulivu mkubwa na si kupayuka maneno kwenye midia bila mafanikio yeyote na kama ulimsikiliza vizuri mwishoni alisema watazingatia sheria hawatamuonea mtu ila wewe umekomaa na neno alilosema "Hakuna maneno ni vitendo"

Hili swala si la kuchukulia mzaha hata kidogo ndiyo maana kuna wengine humu wameshauri hadi jeshi la wananchi litumike.

Labda kwakuwa wewe hujaguswa na vifo hivi ila kwa ambaye amepoteza mpendwa wake anatamani kuona kitu kinafanyike very seriously ili kukomesha mauaji haya
Hakuna mtu anaefurahia mwenzake kuuwawa but kwa Jeshi la polisi lazima lifuate sheria bila kumuonea mtu wala kupapasa macho
 
Mkuu yani we unampa mwenzio miaka 3 ya kumuelewa kamanda sirro ilhali wewe umemuelewa kwa week 1 ya uteuzi wake, nini siri ya urembo
Sie tunamuombea mema afanye kazi kwa weledi na hekima ya hali ya juu sio mihemuko atamaliza watu kwa risasi
 
Amani iwe kwenu wana Jamvi,

Kwa mara ya kwanza IGP kuongea kwenye vyombo vya habari anatoa kauli hii yenye utata kwa Raia, Kama heading inavosomeka, nmesikia mkutano huo wa IGP na vyombo vya habari lakini nimetoka na maswali lukuki,

Kutokana na hali ya matukio ya mauaji kuongezeka Ingekua BUSARA SANA KWAKE KUSEMA TUTAFANYA KAZI KWA KUZINGATIA KATIBA NA SHERIA, Kuliko alivosema sasa ni vitendo tuu

Ina maana raia tutakiona cha mtema kuni kupigwa, kuonewa,n.k

Nawasilishaa, Ni maoni yangu twende kistaarabu
Wewe unapandikiza ulichoelewa wewe kwenye mdomo wa IGP Sirro
 
kimsingi mission yeyote ya kijeshi ili ifanikiwe lazima iende kwa utulivu mkubwa na si kupayuka maneno kwenye midia bila mafanikio yeyote na kama ulimsikiliza vizuri mwishoni alisema watazingatia sheria hawatamuonea mtu ila wewe umekomaa na neno alilosema "Hakuna maneno ni vitendo"

Hili swala si la kuchukulia mzaha hata kidogo ndiyo maana kuna wengine humu wameshauri hadi jeshi la wananchi litumike.

Labda kwakuwa wewe hujaguswa na vifo hivi ila kwa ambaye amepoteza mpendwa wake anatamani kuona kitu kinafanyike very seriously ili kukomesha mauaji haya
kule hakuna vita ni mauaji ya kuvizia suala ni kupata taarifa sahihi na kwa wakati,akitumika mgambo,magereza jw nk km hakuna taarifa sahihi na kwa wakati ni kwenda kupoteza muda askari na fedha na kuleta taharuki mtaani
 
kule hakuna vita ni mauaji ya kuvizia suala ni kupata taarifa sahihi na kwa wakati,akitumika mgambo,magereza jw nk km hakuna taarifa sahihi na kwa wakati ni kwenda kupoteza muda askari na fedha na kuleta taharuki mtaani
Askari wanahitajika kufanya uchunguza kabla ya kwenda sehemu palipotokea uhalifu hasa mauaji sio kwenda kichwa kichwa ndo mana wanapigwa na wao
 
Ungejua ma CID wamejaa huko kibao sema tu hawapewi ushirikiano na wenyeji ndio maana wanatumia nguvu sasa na hasira wenyeji wanajua wanaffanya nini kwenye suala hilo
Askari wanahitajika kufanya uchunguza kabla ya kwenda sehemu palipotokea uhalifu hasa mauaji sio kwenda kichwa kichwa ndo mana wanapigwa na wao
 
Ungejua ma CID wamejaa huko kibao sema tu hawapewi ushirikiano na wenyeji ndio maana wanatumia nguvu sasa na hasira wenyeji wanajua wanaffanya nini kwenye suala hilo
Tatizo wanatumia mihemko hawataki kuwasikiliza raia, wakikaa vizuri nao mbona kila kitu kitajulikana
 
Back
Top Bottom