Tujifunze sio kukurupuka: Trump anataka kujitoa kwenye mkataba wa mazingira sio kuvunja

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,885
Lumumba elimu elimu elimu!

Majuzi rais wa Marekani bwana Donald Trump kapendekeza dhima ya nchi yake kujitoa kwenye mkataba wa Roma conversation kuhusu utunzaji wa mazingira hasa naendeleo ya viwanda kwa kupunguza hewa chafu.

Kumbuka USA na nguvu zote hajavunja mkataba ila anaoeleka pendekezo la kujiondoa kwanza kwenye mkataba na si kuchafua mazingira nje ya mkataba.

Tukumbuke hapa kwetu hatujajitoa wala kufuta sheria ila tunavunja mikataba.

Mkiambiwa tumieni utaratibu mnasema sio uzalendo hivi mmerogwa?
 
Wawekezaji wenyewe hajawahi kusema kuna chochote kimevunjwa ila wazalendo uchwara wako mstari wa mbele kulinganisha visivyohusiana.
 
pia process ya kujotoa itachukua miaka mi nne. yaani hadi 2020 ndio US itakua imejitoa kwenye mkataba wa paris. najua ingekua tz hapa tusingkubali. tungetaka leo leo
 
Mikataba gani imevunjwa????????????????????????????????????????????????

Hapa anaetakiwa kupewa elimu ni nani kama sio bavicha.
 
Mleta mada nae anajiona ni great thinker kweli?

Hivi unaujua huo mkataba anouonhelea Trump ni wa nchi ngapi?
 
Kujitoa kwa Trump pia kuna madhara makubwa,ni sawasawa na kujenga kiwanda ya baiskeli badala ya pikipiki.
 
...these bunch of fools, quite disgusting.... you find such clueless persons who know nothing with respect to current information at hand and underlying issues, anatomy of issues, the embedding theory and related matters, yet, follies are out there!.... fervently discussing US withdrawing from a Roma CC pact that never existed!
 
Hata kwa huu uandishi wako....nadhani sistahili kupoteza mda wangu kuandika kuhusu Paris Accord kwenye huu uzi. Eti Roma Conversation! Duh....hivi Watanzania tulikosea wapi maana hata vitu vya uelewa mdogo Kama hivi vinatupiga chenga. Ngoja tuhangaike na Makinikia kwanza. Hayo tuwaachie wenyewe!
 
Back
Top Bottom