IsayaMwita
JF-Expert Member
- Mar 9, 2008
- 1,127
- 140
Nakushukuru Mola kwa kunipa pumzi yako baba, bado ninaendelea kuishi, japo sitakiwi kuishi hapa duniani(Tanzania), najua ni mpango wako kuwa hapa duniani katika nchi njema ya Tanzania, nchi tajiri huku mimi nikiwa maskini wa kutupwa.
Ndugu zangu wana JF, kuna kipindi nilidhani mtalisaidia Taifa kwa kukemea maovu ya viongozi wetu na kuwaasa ya kufanya lakini mambo yamegeuka, MAFISADI wametuzidi nguvu tumesahau yote, yale ya BOT, EPA, RICHMOND na mengineyo mengi,.
Naomba sasa tujiulize kweli nini hatima ya watoto wetu kwa siku za usoni?
Hebu kweli tuna mikakati ya dhati ya kuleta mabadiliko 2010?,
Niliwahi kusema kuwa mbona huko kwenu mijini hakuna mageuzi ya kweli, na hapo ndipo kwenye vyombo vya habari vya kutosha? kwenye wasomi wa kutosha? waandishi wa kumwaga?
Ndugu zangu wana JF, kuna kipindi nilidhani mtalisaidia Taifa kwa kukemea maovu ya viongozi wetu na kuwaasa ya kufanya lakini mambo yamegeuka, MAFISADI wametuzidi nguvu tumesahau yote, yale ya BOT, EPA, RICHMOND na mengineyo mengi,.
Naomba sasa tujiulize kweli nini hatima ya watoto wetu kwa siku za usoni?
Hebu kweli tuna mikakati ya dhati ya kuleta mabadiliko 2010?,
Niliwahi kusema kuwa mbona huko kwenu mijini hakuna mageuzi ya kweli, na hapo ndipo kwenye vyombo vya habari vya kutosha? kwenye wasomi wa kutosha? waandishi wa kumwaga?