Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ndugu zangu Watanzania natumai hamjambo wote! Nianze kwa kumshukuru Mungu kwa niaba yangu na yenu mlio hai, wagonjwa na hata walio tangulia mbele ya haki usiku wa leo hata jana! Ndugu zangu...
17 Reactions
22 Replies
2K Views
Ni kituo cha mabasi cha mawasiliano. Wako maaskari wengi lango wa kuingilia, kila gari linaloingia linasimamishwa na kuchukua hela kwa konda. Bahati nzuri nikashuhudia askari wa kike akipokea...
25 Reactions
86 Replies
6K Views
Ninamuomba mwenyezi Mungu muumba wa ardhi na mbingu kama kuna mtu anaongoza jamii na watanzania kwa ujumla bila uhalali wa wananchi basi atende maajabu asiione 2025 na wala asishiriki uchaguzi...
115 Reactions
344 Replies
28K Views
Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan imetenga jumla ya Shilingi Bilioni 15.99 kwa ajili ya mfuko wa jimbo kwa majimbo 214 ya Tanzania Bara katika Mwaka wa Fedha wa...
0 Reactions
9 Replies
978 Views
Hii nchi ina matumizi ya anasa sana, kwamba ni lazima hawa jamaa wasafiri kote huko kutoka Kona za Tanzania kwenda Dodoma kushuhudia bajeti ya Tamisemi ikisomwa? Sina kumbukumbu kama hu...
5 Reactions
10 Replies
826 Views
Nimesikiliza maoni ya watu wakiwemo watazamaji wa ITV kwenye kipindi cha Kipima joto jana ambapo wengi wameelezea kuwa tatizo la undugunaizesheni ndani ya serikali ndio chimbuko la wizi na...
0 Reactions
3 Replies
688 Views
Trilioni 1.5 Zimepotea, TRA Wamedanganya Makusanyo ya Trilioni 2.2, Serikali Imepata Hati Chafu, Imetumia Mabilioni Kinyume na Utaratibu, Imelipa Madeni Hewa na Imelidharau Bunge - Uchambuzi wa...
120 Reactions
984 Replies
95K Views
Audit Process Step 1: Planning The auditor will review prior audits in your area and professional literature. The auditor will also research applicable policies and statutes and prepare a basic...
3 Reactions
29 Replies
3K Views
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera Bunge na Uratibu Mhe. Jenista Mhagama amesema Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu imezingatia vipaombele muhimu katika maeneo yote...
0 Reactions
0 Replies
433 Views
Habari kutokea Kahama zinasema Dr. Mpango yupo wilayani humo tokea juzi. Uwepo wake umekuja na adha itakayobakia mioyoni mwa wakazi wa huko Kwa muda mrefu. Taarifa zinasema jana barabara zote za...
6 Reactions
24 Replies
2K Views
Spika wa Bunge Dr Tulia amesema Wajumbe wa Kamati za Bunge ambao sekta wanazosimamia ziliripotiwa kuwa na mapungufu na CAG mwaka jana wanapaswa kuwa walishaenda kufanya ukaguzi na Majibu wanayo...
3 Reactions
29 Replies
2K Views
Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa amesema wale wote Waliohusika na Ubadhirifu na kutajwa kwenye Ripoti ya CAG Watachukuliwa hatua kali sana. Source: Swahili Times
3 Reactions
20 Replies
2K Views
Hakuna sababu ya msingi kwa Ripoti ya CAG kujadiliwa November Wajumbe wa PAC na LAAC wanaweza kuwahoji Watuhumiwa wakati Vikao vikiendelea kwa sababu Kamati zenyewe zina Wajumbe wengi hivyo...
2 Reactions
23 Replies
2K Views
Uamuzi wa kupeleka vyura wa Kihansi Marekani, ulifanywa na Wizara ya Nishati na Madini mwaka 2000. Waziri akiwa Abdallah Kigoda na Rais alikuwa Benjamin Mkapa. Vyura 500 walipelekwa Marekani...
18 Reactions
64 Replies
6K Views
Wanabodi, Preamble! Japo ajali ni ajali tuu, huweza kutokea, popote kwa yeyote kwa sababu au bila sababu! Ajali yoyote ambayo inapotokea na kusababishwa na natural causes, ambapo ilikuwa...
1 Reactions
31 Replies
5K Views
CCM ndio wenye serikali, ilani ya CCM haikubaliani na matendo ya ubadhirifu. Ni wakati Sasa chama kijibainishe kwamba hao wabadhirifu wanawajibika binafsi, na chama hakikuwatuma, tena karibu wote...
0 Reactions
17 Replies
892 Views
Toka Freeman Mbowe atoke jela/ gerezani, ameshakutana na Rais Samia mara kadhaa sasa. Bado sijui na sielewi kwa nini hasa wamekuwa wakikutana kutana. Ni kweli kuwa Mbowe alikamatwa na kufungwa...
33 Reactions
64 Replies
4K Views
Miaka 6 ya utawala wa Mwendazake ilikua ya Machozi, Jasho na Damu kwa Watanzania. Haya ni baadhi ya matukio niliyoyakumbuka kwa haraka, baadhi yalitokea nikiwa huko nyumbani na mengine yametokea...
42 Reactions
207 Replies
14K Views
Tuanzie kwa Baba wa Taifa Mwl. J. K. Nyerere hadi uchaguzi wa 2025. Ni uchaguzi upi ambao ulikuwa huru na haki? Ikumbukwe enzi za Mwalimu, uchaguzi wa Rais ilikuwa ni Nyerere against kivuli...
5 Reactions
24 Replies
1K Views
Wazungu wanao msemo wao maarufu usemao "nionyeshe rafiki zako ili nikwambie tabia yako", wakimaanisha kuwa kama ukiwa na marafiki shoga na wewe upo uwezekano mkubwa ni shoga vilevile au huuchukii...
15 Reactions
142 Replies
9K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…