Habari kutokea Kahama zinasema Dr. Mpango yupo wilayani humo tokea juzi.
Uwepo wake umekuja na adha itakayobakia mioyoni mwa wakazi wa huko Kwa muda mrefu.
Taarifa zinasema jana barabara zote za maana kwa zaidi ya masaa 4 zilikuwa zimefungwa. Hii ikiwa kuanzia saa mbili hadi baada ya saa nne asubuhi na saa tisa hadi zaidi ya saa kumi na moja jioni.
Kwamba mji wote na shughuli ngapi za watu zilisimamishwa? Kwamba hadi ma school bus na watoto wa shule wamefika mashuleni na majumbani wakiwa wamechelewa mno? Kwamba ni kwa lipi au security alert level ipi kumhusu nani hata watoto wa shule za msingi na mabasi yao kuzuiliwa?
Ma CCM yamejisahau. Kujisahau huku kwa hakika ni fursa.
Chadema jifunzeni tokea kwenye kadhia hizi. Wananchi hawazipendi hali hizi.
Kwa hakika Chadema jipangeni zaidi kwenye kero kama hizi ambazo kwa mamwinyi waliojisahau hawatakaa wagutuke!
Habari zaidi kutokea huko zinasema leo tena kutokea saa moja asubuhi, yale ya juzi na jana yanashuhudiwa tena. Kama mchezo wa kuigiza vile, tayari kazi inaendelea. barabara za huko zishapigwa munda hata ma school bus nayo kwa mara nyingine na vitoto vya shule wala si muhimu tena.
Lini barabara zitafunguliwa na watoto kama hawa kufika mashuleni, wadau wameahidi kutuletea mrejesho.
Chadema wananchi wanahitaji sera mbadala.
------
Mrejesho: Hatimaye saa nne asubuhi kama ilivyokuwa jana, ndipo barabara zifliunguliwa na watoto hawa, kama Kalume Kenge wakapata sasa fursa ya kwenda shule.
Uwepo wake umekuja na adha itakayobakia mioyoni mwa wakazi wa huko Kwa muda mrefu.
Taarifa zinasema jana barabara zote za maana kwa zaidi ya masaa 4 zilikuwa zimefungwa. Hii ikiwa kuanzia saa mbili hadi baada ya saa nne asubuhi na saa tisa hadi zaidi ya saa kumi na moja jioni.
Kwamba mji wote na shughuli ngapi za watu zilisimamishwa? Kwamba hadi ma school bus na watoto wa shule wamefika mashuleni na majumbani wakiwa wamechelewa mno? Kwamba ni kwa lipi au security alert level ipi kumhusu nani hata watoto wa shule za msingi na mabasi yao kuzuiliwa?
Ma CCM yamejisahau. Kujisahau huku kwa hakika ni fursa.
Chadema jifunzeni tokea kwenye kadhia hizi. Wananchi hawazipendi hali hizi.
Kwa hakika Chadema jipangeni zaidi kwenye kero kama hizi ambazo kwa mamwinyi waliojisahau hawatakaa wagutuke!
Habari zaidi kutokea huko zinasema leo tena kutokea saa moja asubuhi, yale ya juzi na jana yanashuhudiwa tena. Kama mchezo wa kuigiza vile, tayari kazi inaendelea. barabara za huko zishapigwa munda hata ma school bus nayo kwa mara nyingine na vitoto vya shule wala si muhimu tena.
Lini barabara zitafunguliwa na watoto kama hawa kufika mashuleni, wadau wameahidi kutuletea mrejesho.
Chadema wananchi wanahitaji sera mbadala.
------
Mrejesho: Hatimaye saa nne asubuhi kama ilivyokuwa jana, ndipo barabara zifliunguliwa na watoto hawa, kama Kalume Kenge wakapata sasa fursa ya kwenda shule.