Vita yetu dhidi ya ushoga ni dhaifu sana

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,319
12,622
Wazungu wanao msemo wao maarufu usemao "nionyeshe rafiki zako ili nikwambie tabia yako", wakimaanisha kuwa kama ukiwa na marafiki shoga na wewe upo uwezekano mkubwa ni shoga vilevile au huuchukii ushoga hata kama wewe sio shoga.

Baba yangu alikuwa sheikh mkubwa lakini alikuwa na marafiki zake wengi ambao ni wachungaji, mapadre na wakristo ambao walikuwa wanamtembelea hadi nyumbani na wakati mwingine alikuwa anawaomba fedha za kujengea au kumalizia kujenga misikiti mbalimbali.

Tabia hii ya baba ilisababisha baadhi ya watoto wake kuolewa na kuoa wakristo bila kipingamizi kutoka kwa baba, yaani hakuona kama haiwezekani kabisakabisa mtoto wake kubadili dini na kuwa mkristo.

Tanzania tunapokea misaada na mikopo mingi kutoka "nchi rafiki" zetu ambazo wanaamini ushoga ni haki ya msingi ya mtu, na tunajisikia vizuri sana kuwa na marafiki kama hao wanaotusaidia fedha za kukwamua maendeleo yetu.

Binafsi sioni kama tunao uwezo wa kuwaambia kwa dhati na kwa moyo wetu wote marafiki zetu hawa kuwa ushoga kwetu hapana kwa sauti kubwa na ya mamlaka kwa kumaanisha.

Kama una rafiki shoga lazima na wewe nyuma ya pazia na off-camera unakubaliana na tabia hiyo. Kama hutaki tabia ya mtu furani lazina ukae nae mbali yeye na hata vitu vyake, vinginevyo utakumbana na msemo ule wa baniani mbaya kiatu chake dawa.

Kama tumedhamiria kupambana na ushoga kwa dhati na kwavitendo LAZIMA tukatae marafiki mashoga au wanaoamini kwenye ushoga. Kwenye hili nchi zote zinazoona ushoga sio sawa hazina budi kuzigeuzia mgongo nchi za magharibi hata kama kwa kufanya hivyo tutakosa mengi sana, yaani ni ile wachumi wanayoiita "opportunity cost".

Yaani tuchague kati hasara na faida za ushoga vs hasara na faida za kukosa misaada kutoka nchi za mashoga. vinginevyo tusidanganyane kuwa kuna kiongozi wa siasa mwenye mahusiano na nchi za magharibi anaepinga ushoga.
 
Homosexual is UN-NATURAL, UN-AFRICAN na ni utamaduni wa watu wa magharibi. Unaonekana kuwa na nguvu miaka ya karibuni sababu utamaduni wetu unamezwa sana na watu wa Magharibi.

Hebu imagine our OWN AFRICAN TV channels zinapromote ushoga kuanzia kwa watoto mpaka watu wazima.

Na unajua jambo lolote tunalo adapt kutoka magharibi huwa na madhara zaidi kwetu kuliko kwao.

Kwahiyo hii ni vita inayohitaji UNITY ya Waafrica wenyewe against Western, against media, against righ institutions, and against gay people.

Hii ni Regional emergence, west africa war, east africa war na south African war. Inapaswa kuwa agenda kuu AU, ECOWAS, EAC n.k

Tukifanya masihara tutashindwa kuzuia hiki kitu maana kinaletwa kwa nguvu zote na si unajua akili zetu Africa tunapokea kwa mikono yote.
 
Wananchi na raia mnapenda kujipa tabu na stress za buree.
Serikali ilishatoa msimamo na mtazamo wake kuhusu ushoga

Fanyeni mambo mengine, msijipe pressure buree.
JamiiForums-460527473.jpg
 
Homosexual is UN-NATURAL, UN-AFRICAN na ni utamaduni wa watu wa magharibi. Unaonekana kuwa na nguvu miaka ya karibuni sababu utamaduni wetu unamezwa sana na watu wa Magharibi.

Hebu imagine our OWN AFRICAN TV channels zinapromote ushoga kuanzia kwa watoto mpaka watu wazima.

Na unajua jambo lolote tunalo adapt kutoka magharibi huwa na madhara zaidi kwetu kuliko kwao.

Kwahiyo hii ni vita inayohitaji UNITY ya Waafrica wenyewe against Western, against media, against righ institutions, and against gay people.

Hii ni Regional emergence, west africa war, east africa war na south African war. Inapaswa kuwa agenda kuu AU, ECOWAS, EAC n.k

Tukifanya masihara tutashindwa kuzuia hiki kitu maana kinaletwa kwa nguvu zote na si unajua akili zetu Africa tunapokea kwa mikono yote.

Kupoteza muda na focus tu,afrika tuna mengi ya kupambania sio kupambana na ushoga,hata hivyo ushoga na uzinzi ni hiyari ya mtu.
 
Suala la Ushoga kwa nchi za Afrika bado Hakuna silaha madhubuti kupambana na hill janga.Watu wengi wamekuwa wakikazania kusema 'Hatutaki ushoga'.Lakini hii sio silaha ya kuzuia Ushoga.Kwa nchi za Magharibi,ushoga ni ajenda kubwa inayomiminwa Afrika kwa mikakati madhubuti na ya Muda mrefu.Kuanzia kwenye sekta za Afya na vyakula,Michezo na burudani hasa miziki ya kileo ina lengo la kuhamasisha ushoga kwa kiwango kikubwa.Filamu nyingi nazo pia zinatumika kwa dhima hiyo, Upande wa katuni za watoto nako ndio kumepamba moto na Jambo baya Zaidi ni kwamba wazazi na walezi hawafuatilii katuni za watoto kujua maudhui yake na hapo ndipo watoto wanajifunza hizi Tabia.Swala hili limekaa kiroho na kimwili,Ni muda wa kutumia nguvu nyingi kupambana kwa maombi.kila mtu na dini yake.kuombea watoto,kuombea Ndugu pia.Narudia Tena ajenda Hii ni kubwa kuliko tunavyodhani na ni Mpango wa muda mrefu, aghalabu Miaka kumi,ishirini na kuendelea.
 
Wazungu wanao msemo wao maarufu usemao "nionyeshe rafiki zako ili nikwambie tabia yako", wakimaanisha kuwa kama ukiwa na marafiki shoga na wewe upo uwezekano mkubwa ni shoga vilevile au huuchukii ushoga hata kama wewe sio shoga.

Baba yangu alikuwa sheikh mkubwa lakini alikuwa na marafiki zake wengi ambao ni wachungaji, mapadre na wakristo ambao walikuwa wanamtembelea hadi nyumbani na wakati mwingine alikuwa anawaomba fedha za kujengea au kumalizia kujenga misikiti mbalimbali.

Tabia hii ya baba ilisababisha baadhi ya watoto wake kuolewa na kuoa wakristo bila kipingamizi kutoka kwa baba, yaani hakuona kama haiwezekani kabisakabisa mtoto wake kubadili dini na kuwa mkristo.

Tanzania tunapokea misaada na mikopo mingi kutoka "nchi rafiki" zetu ambazo wanaamini ushoga ni haki ya msingi ya mtu, na tunajisikia vizuri sana kuwa na marafiki kama hao wanaotusaidia fedha za kukwamua maendeleo yetu.

Binafsi sioni kama tunao uwezo wa kuwaambia kwa dhati na kwa moyo wetu wote marafiki zetu hawa kuwa ushoga kwetu hapana kwa sauti kubwa na ya mamlaka kwa kumaanisha.

Kama una rafiki shoga lazima na wewe nyuma ya pazia na off-camera unakubaliana na tabia hiyo. Kama hutaki tabia ya mtu furani lazina ukae nae mbali yeye na hata vitu vyake, vinginevyo utakumbana na msemo ule wa baniani mbaya kiatu chake dawa.

Kama tumedhamiria kupambana na ushoga kwa dhati na kwavitendo LAZIMA tukatae marafiki mashoga au wanaoamini kwenye ushoga. Kwenye hili nchi zote zinazoona ushoga sio sawa hazina budi kuzigeuzia mgongo nchi za magharibi hata kama kwa kufanya hivyo tutakosa mengi sana, yaani ni ile wachumi wanayoiita "opportunity cost".

Yaani tuchague kati hasara na faida za ushoga vs hasara na faida za kukosa misaada kutoka nchi za mashoga. vinginevyo tusidanganyane kuwa kuna kiongozi wa siasa mwenye mahusiano na nchi za magharibi anaepinga ushoga.
Sipendi kuwaona wanaume wakifanya ushoga au wanawake wakifanya usagaji, ila hawa wote ni wakosefu kwa sababu mbalimbali. Kanini hatuwakatai na kuwafunga malaya waliojaa kila mahali? Yote hayo sio utamaduni wetu.
 
Suala la Ushoga kwa nchi za Afrika bado Hakuna silaha madhubuti kupambana na hill janga.Watu wengi wamekuwa wakikazania kusema 'Hatutaki ushoga'.Lakini hii sio silaha ya kuzuia Ushoga.Kwa nchi za Magharibi,ushoga ni ajenda kubwa inayomiminwa Afrika kwa mikakati madhubuti na ya Muda mrefu.Kuanzia kwenye sekta za Afya na vyakula,Michezo na burudani hasa miziki ya kileo ina lengo la kuhamasisha ushoga kwa kiwango kikubwa.Filamu nyingi nazo pia zinatumika kwa dhima hiyo, Upande wa katuni za watoto nako ndio kumepamba moto na Jambo baya Zaidi ni kwamba wazazi na walezi hawafuatilii katuni za watoto kujua maudhui yake na hapo ndipo watoto wanajifunza hizi Tabia.Swala hili limekaa kiroho na kimwili,Ni muda wa kutumia nguvu nyingi kupambana kwa maombi.kila mtu na dini yake.kuombea watoto,kuombea Ndugu pia.Narudia Tena ajenda Hii ni kubwa kuliko tunavyodhani na ni Mpango wa muda mrefu, aghalabu Miaka kumi,ishirini na kuendelea.
Tusiongopeane, hakuna msaada wala mkopo kutoka magharibi usiokuwa na kipengele cha ushoga ndani yake. hakuna kutofungamana na upande wowote kwenye kupewa msaada na mkopo. Lazima useme chai au kahawa.
 
Ushoga hauzuiwi Kwa maandamano,

Kufanya maandamano kupinga ushogaa hayo tunayaita mazoezi ya viungo. Naendelea kusisitiza Tena, nchi zangu Africa tujikite KUTENGENEZA uchumi wetu kwanza. Tutoe Kodi Kwa UADILIFU, tubuni vyanzo vizuri vya mapatoo, na tuheshimiane, na tuache vuruguu miongoni mwetuu.
Haswaaaah umenenaaaa.
 
Hiyo vita inapaswa kufanyika ngazi ya familia. Kama unaacha watoto wako wanalelewa na TV na dada wa kazi huku wewe ukiwa bize kutafuta pesa basi usipigwe butwaa watakapoishia kuwa na tabia za ajabu ajabu.

Serikali kupambana na ushoga ni dalili za ujinga na matumizi mabaya ya rasilimali, kwa maana ni sawa na kufukuza upepo. Itakamata wangapi? Itakuwa inawasakama huko kwenye faragha zao? Si kupeteza tu muda na rasilimali! Alafu wakikamatwa wanapelekwa wapi? Gerezani? Si ndio wataolewa kabisa 🤣🤣

Mzazi lea watoto wako! Acha kuendekeza mambo ya kibeberu na uzungu uzungu wa kijinga nyumbani kwako.
 
Back
Top Bottom