Baada ya Uhuru, Tanzania imewahi kuwa na uchaguzi mkuu HURU na HAKI?

Msanii

Platinum Member
Jul 4, 2007
22,603
29,748
Tuanzie kwa Baba wa Taifa Mwl. J. K. Nyerere hadi uchaguzi wa 2025.

Ni uchaguzi upi ambao ulikuwa huru na haki?

Ikumbukwe enzi za Mwalimu, uchaguzi wa Rais ilikuwa ni Nyerere against kivuli.

Hata baada ya vyama vingi hakujawahi kuwa na TUME HURU YA UCHAGUZI ambapo kikundi cha waratibu wa wizi wa kura kimekuwa kikipitisha ushindi usio haki dhidi ya kura za wananchi.

Labda mimi ni junior mno sielewi historia. Je lini Tanzania ilikuwa na uchaguzi huru na haki?

Kwa nini Serikali inatumia mabavu kupitiliza kuiba kura kwa niaba ya CCM?

Akina Polepole, Bashiru na wenzao ushiriki wao katika WIZI MKUU wa kura 2015. Wana guts gani kujiona wasafi na wanaweza kuivusha nchi wakati ni CCM walewale majizi na majambazi ya Demokrasia?

Tutafakari
 
Eti Nyerere vs Kivuli, Mwinyi vs Kivuli. Hivi mlikuwa mnapigaje kura namna hiyo, mbona ujamaa unalitesa sana taifa?

Leo eti mwenyekiti wa tume ya uchaguzi ameteuliwa na raisi ambaye keshokutwa ni mgombea uraisi, tutarajie matokeo ya namna gani hapo.

Leo wasimamizi wa uchaguzi ni watendaji wa halmashauri(sijui DED(?)) ambao kimsingi ni wateule wa raisi, wanajibu kwa raisi then kesho unataka wasimamie uchaguzi huru na wa haki.

Tuseme hili taifa lina watu intellectual? Mimi sidhani...
 
Upinzani wenyewe hawana chaguz za uhuru na haki unategemea CCM waweje?

Labda siku wananch wenyewe waamue kuhitaj UHURU NA HAKI.
 
Mkuu bora kutawaliwa na mkoloni Mweupe kuliko mkoloni mweusi ukirejelea historia ya Uhuru wakolonj weupe waliandaa uchaguzi huru na haki ulio usisha vyama vyote vya wakati huo na Nyerere (TANU) aliibuka mshindi Cha kushangazaa alipo kuwa rais akafuta mfumo wa vyama vingi na kuacha chama kimoja tu CCM (tamaa ya madaraka) yaani uchaguzi unaitishwa mgombea ni mmoja tu sasa huu ulikuwa uchaguzi au ujinga wa mwafrika kwenye sanduku la kura.

Licha kwamba nchi ilikuwa kwenye mfumo wa chama kimoja bado wizi wa Kura ulikuwepo kipindi Cha kura za ndio mkoa wa Kigoma Mzee Mwinyi alipata Kura nyingi kuzidi idadi ya wapiga Kura

Ina shangazaa tunatumia billions of money kuandaa uchaguzi hewa maana anaye panga matokeo ya uchaguzi yupo Ikulu na team ya wizi na wakati huo huo nae ni mgombea.kuna matendo huwa yanafanywa na waafrika mpaka una shangaa kwamba hawa ni binadam au wanyama

"Uafrika ni ufinyu wa akili na fikra "Botha
 
Tuanzie kwa Baba wa Taifa Mwl. J. K. Nyerere hadi uchaguzi wa 2025.
Ni uchaguzi upi ambao ulikuwa huru na haki?


Ikumbukwe enzi za Mwalimu, uchaguzi wa Rais ilikuwa ni Nyerere against kivuli.

Hata baada ya vyama vingi hakujawahi kuwa na TUME HURU YA UCHAGUZI ambapo kikundi cha waratibu wa wizi wa kura kimekuwa kikipitisha ushindi usio haki dhidi ya kura za wananchi.

Labda mimi ni junior mno sielewi historia. Je lini Tanzania ilikuwa na uchaguzi huru na haki?

Kwa nini Serikali inatumia mabavu kupitiliza kuiba kura kwa niaba ya CCM?

Akina Polepole, Bashiru na wenzao ushiriki wao katika WIZI MKUU wa kura 2015. Wana guts gani kujiona wasafi na wanaweza kuivusha nchi wakati ni CCM walewale majizi na majambazi ya Demokrasia?


Tutafakari
Tafsiri nyepesi sana ya uchaguzi huru na ahaki ni amani inayotawala baada ya chaguzi zetu, Kila baada ya chaguzi zetu maisha juwa yanaendelea kama kawaida.
 
Tuanzie kwa Baba wa Taifa Mwl. J. K. Nyerere hadi uchaguzi wa 2025.

vu kupitiliza kuiba kura kwa niaba ya CCM?

Akina Polepole, Bashiru na wenzao ushiriki wao katika WIZI MKUU wa kura 2015. Wana guts gani kujiona wasafi na wanaweza kuivusha nchi wakati ni CCM walewale majizi na majambazi ya Demokrasia?

Tutafakari

Hakujawahi kuwa na uchaguzi mkuu wa haki Tanzania ni ujinga na hadaa za chama cha mambuzi.
 
Tafsiri nyepesi sana ya uchaguzi huru na ahaki ni amani inayotawala baada ya chaguzi zetu, Kila baada ya chaguzi zetu maisha juwa yanaendelea kama kawaida.

Hakuna amani bali makondoo huwa tunakaa tukilalamika bila kufanya machafuko, kwa kuwa na viongozi wasio na uhalali wa umma. Bila machafuko hatutakaa tupate chaguzi za kweli. Ni mtu mjinga tu ndio atajitokeza kupiga kura kwenye chaguzi hizi za kishenzi.
 
Tuanzie kwa Baba wa Taifa Mwl. J. K. Nyerere hadi uchaguzi wa 2025.

Ni uchaguzi upi ambao ulikuwa huru na haki?

Ikumbukwe enzi za Mwalimu, uchaguzi wa Rais ilikuwa ni Nyerere against kivuli.

Hata baada ya vyama vingi hakujawahi kuwa na TUME HURU YA UCHAGUZI ambapo kikundi cha waratibu wa wizi wa kura kimekuwa kikipitisha ushindi usio haki dhidi ya kura za wananchi.

Labda mimi ni junior mno sielewi historia. Je lini Tanzania ilikuwa na uchaguzi huru na haki?

Kwa nini Serikali inatumia mabavu kupitiliza kuiba kura kwa niaba ya CCM?

Akina Polepole, Bashiru na wenzao ushiriki wao katika WIZI MKUU wa kura 2015. Wana guts gani kujiona wasafi na wanaweza kuivusha nchi wakati ni CCM walewale majizi na majambazi ya Demokrasia?

Tutafakari
Kila siku tunafanya Uchaguzi Mkuu huru na wa haki kwa mujibu wa African Democracy.
P
 
Kuunda taifa makini na imara unahitaji watu genius sana, hatukuwa na hiyo bahati Africa.
 
Kila siku tunafanya Uchaguzi Mkuu huru na wa haki kwa mujibu wa African Democracy.
P
Mkuu Paskali
Unamaanisha kuwa African Democracy inaendorse flipped elections?

Lakini si ajabu hata hiyo African Union haina utashi wa wananchi wa Afrika bali utashi wa viongozi ambao wanajiaminisha kuwakilisha matakwa ya wananchi
 
Tuanzie kwa Baba wa Taifa Mwl. J. K. Nyerere hadi uchaguzi wa 2025.

Ni uchaguzi upi ambao ulikuwa huru na haki?

Ikumbukwe enzi za Mwalimu, uchaguzi wa Rais ilikuwa ni Nyerere against kivuli.

Hata baada ya vyama vingi hakujawahi kuwa na TUME HURU YA UCHAGUZI ambapo kikundi cha waratibu wa wizi wa kura kimekuwa kikipitisha ushindi usio haki dhidi ya kura za wananchi.

Labda mimi ni junior mno sielewi historia. Je lini Tanzania ilikuwa na uchaguzi huru na haki?

Kwa nini Serikali inatumia mabavu kupitiliza kuiba kura kwa niaba ya CCM?

Akina Polepole, Bashiru na wenzao ushiriki wao katika WIZI MKUU wa kura 2015. Wana guts gani kujiona wasafi na wanaweza kuivusha nchi wakati ni CCM walewale majizi na majambazi ya Demokrasia?

Tutafakari
Tuna Katiba ya Mwaka 1977, ambayo ndio makubaliano ya Watanzania kuhusu namna ya kujiendesha ikiwemo uchaguzi wa viongozi rejea ib ya 74 inayoeleza vyombo vya kusimamia uchaguzi na majukumu yake, mgawanyo wa maeneo ya kiutawala ib. ya 75 na upatikanaji wa wawakilishi wa wananchi bungeni ib. ya 76 na 77. ukisoma maeneo hayo utaelewa uendeshaji wa chaguzi zetu. Katiba hii ndio imepelekea pia uwepo wa vyama vingi vya siasa, na vyama vyenyewe vinautambua mfumo wa kiougozi wa Nchi na mamlaka za serikali kuu na zile za mitaa Mfano chadema wanautambua mgawanyo wa maeneo ya kiutawala kupitia katiba yao (soma ib 6.1 ya katiba ya CDM).
Uhalali wa uchaguzi haupaswi kuangaliwa pale tu mpinzani anaposhinda. 2010 kulikuwa na wabunge wengi tu waliotokana na vyama vya upinzani kwa tafsiri ya uhuru katika upatikanaji wa viongozi katika ngazi mbalimbali.
 
Back
Top Bottom