Habari za kazi wana JF,
Nadhani na nyie ni mashahidi jinsi tulivyopumzika/kupumua juu ya mapambio na kusifusifu na kuabudu kwenye kero ya hali ya juu kutoka kwa baadhi ya viongozi wasio na...
========
Wanakaa vikao wanafanya market allocation, wanapanga bei za simenti na ninataka nikwambie hata bunge hili kuna wakati tunakaa tunapitisha vitu hapa masikini ya Mungu bila kuelewa hapa...
Ndivyo ilivyo huko Uyunani katika kila hatua ya Ukaguzi Watuhumiwa wanakamatwa na kushtakiwa na kufungwa kabisa wale wenye Hatia
Kwa Wayunani kitendo cha CAG kusoma Ripoti ni kuujulisha Umma...
Wanabodi labda tusaidiane nchini kwetu tuna Waziri Mkuu je kazi zake hasa ni nini?
Ukiacha kuwasimamia Mawaziri au kutusomea bageti ya ofisi yake vipi ana uwezo wa kufanya maamuzi bila kuingiliwa?
Wadau nawasabahi,
Nimeshtushwa sana na kauli ya Waziri wa Sheria na Katiba juu ya Sheria ya Plea Bargaining kuwa ina mapungufu makubwa. Swali la kujiuliza, Serikali ilikuwa wapi kuyarekebisha...
Kwanza nitoe kongore mwa ex Mayor ndugu Mh Bon Yai Kwa uchambuzi wake makini na wa kuaminika hakika ametufugua macho Wana Dsm keep it broo!maana Mkaguzi ameyaandika na kusepa.
Nitoe Rai kwa ex...
Tuna nchi nzuri yenye fursa nyingi iliyogeuzwa kuwa mali binafsi ya wachache wenye kufahanika kwa kutokushiba kwao.
Maisha yamekuwa magumu. Mzigo wa kodi na tozo umekuwa usiomithilika. Wakati...
Sauti ya kilio na maombolezo ilisikika watu wasikubali kufarijiwa kwa kuwa hayupo tena,amelala.
Siku zikapita,miezi ikapita,na hatimae mwaka ukapita nisielewe maana ya fumbo hili!.Nikijiuliza...
Najua wazi viongozi wengi wa kisiasa wana vijembe sana. Wapo niliowahi kukutana nao na kushuhudia mwenyewe majibu yao yasiyo na staha. Lakini linapokuja suala la maadili, ifike mahali tuambiane...
Kwa kipindi hiki Cha bajeti serikali Ijiepushe na kutumia faini za barabarani kama mojawapo ya vyanzo vya mapato. Nakumbuka hii iliwahi kujadiriwa bungeni lakini mpaka sasa hivi bado kuna tetesi...
Zitto Kabwe amesema kwa mujibu wa kanuni za Mabenki ya Kimataifa ni marufuku Benki kumpangia Mteja wake Contractor wa kutekeleza Mradi anaoombea Mkopo
Zitto anasema Ikibainika Standard Charted...
Mtu anataifisha pesa kutoka kwa Mtu binafsi then huyo Mtu anakamatwa na anafanya plea-bargaining na serikali then analipa pesa kwa Serikali baada ya kukili kosa lake mahakamani kupitia ofisi ya...
Je uliwahi kuwepo katika viwanja vya bunge kipindi kama hiki yaani huku kuna mzozo wa kibunge kama huu wa CAG na ikawa kipindi cha ramadhani kisha wabunge wakitwa kwenye futari?
Wanaoitwa sio...
Wasalaam Ndg. Watanzania wenzangu. Naomba niende moja kwa moja kwenye hoja. Yaani imesikitisha kuona jinsi ambavyo "Wabunge" wamekuwa kitu kimoja kufunika hilo kombe linalozidi kufurisha.
Kwa...
Wakati serikali ya awamu ya sit chini ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu ikianza kuchukua hatua kutokana na mapungufu yaliyoainishwa katika ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG)watu...
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa na Mjumbe wa kamati kuu mchungaji Msigwa ametoa rai Watu tofauti tofauti kujitokeza na kuchambua Ripoti ya CAG.
Msigwa amesema Viongozi wa dini, Viongozi wa...
Chadema imesema kimsingi Tanzania hakuna Madiwani kuna Mazombi tu
Mjumbe wa kamati kuu ya Chadema mh Boniface Jacob amesema hayo wakati akichambua Ripoti ya CAG hususani maeneo ya Tamisemi...
Ukweli ni kwamba tunasubiria embe chini ya mkaratusi.
Tunaushangaa wizi na ubadhirifu wa pesa ya umma ulioibuliwa na CAG, kwani sisi tulikuwa na mategemeo gani? Hivi mwizi anaweza kuacha asili...
Huu ndio ulikuwa Wakati sahihi kabisa wa CCM kujivua Gamba kwa kuwaondoa Majambazi, Vibaka na Wezi wote bila kujali wanamilikiwa na Sukuma Gang, Lindi kuchele, Friends of Lowassa au Nungwi Aziz Ki...
Rais mstaafu wa awamu ya nne, Dkt Jakaya Kikwete amesema utoaji mikopo zaidi kutoka taasisi za kifedha zikiwemo benki, utachochea uwekezaji na ukuaji wa uchumi kupitia sekta mbalimbali zikiwemo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.