Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ndugu zangu watanzania sisi ndo walipa kodi wa nchi hii. Rais hana pesa zake wala CCM haina pesa zake.. hivyo basi tuna kila sababu ya kufahamu matumizi ya kodi hizi za watanzania masikini. Rais...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Bwana Freeman Mbowe alitangaza kuwa ataachia uenyekiti wa chama baada ya kukitumikia kwenye nafasi hiyo kwa miaka mingi. Unafikiri ni nani anastahili kumpokea kijiti huyu mwamba?
1 Reactions
29 Replies
2K Views
Mtu mmoja aliyeorodheshwa kama miongoni mwa waliokufa ameibuka na kusema yuko hai hajafa jina lake liliingizwa kwa makosa Mimi nilijiokoa baada ya kuona nje hakuna msaada, amesema Mtiganzi...
8 Reactions
42 Replies
7K Views
Taarifa iliyozagaa kila pembe ya nchi inadai kwamba kumbe kikosi kazi cha Mukandala si cha mwisho, huenda kikaundwa kikosi kazi kingine cha kuangalia ya kwenye Tume ya Warioba na yaliyowekwa...
10 Reactions
67 Replies
6K Views
Tunataka Mjadala wa Kitaifa kuhusu Bima ya Afya kwa Wote Kamati ya Baraza Kivuli la Wasemaji wa Kisekta ya Chama cha ACT Wazalendo limepokea Taarifa ya Spika wa Bunge ya kuahirishwa kwa Muswada...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Do not outshine your master walisema wakoloni Kusema kweli Watanzania ni kama wanamsikiliza zaidi majaliwa kuliko mama Majaliwa ana personality fulani hivi ya kiuongozi kuanzia body language...
5 Reactions
30 Replies
2K Views
Wafuasi wa CHADEMA chenye HQ Ufipa st Kinondoni Shamba wameshangilia sana kauli ya Prof Muhongo kwamba Tanzania tumerudi kwenye Uchumi wa Chini Nilitegemea Chadema watasikitika kwa sababu wao...
1 Reactions
9 Replies
412 Views
Kama heading inavyojieleza, Kwa siku hizi mbili nimeshuhudia nyuzi pamoja na post nyingi katika mitandao ya kijamii yenye malengo ya kumchafua Waziri mkuu Mh. Kassim Majaliwa Kassim wakimtuhumu...
13 Reactions
62 Replies
4K Views
Kama hauna Elimu kaa mbali na kitu kinaitwa siasa hautoelewa unapigania nini Siasa inahitaji Elimu ukitaka kuifaidi hapa nazungumzia Elimu Kuanzia Degree na Masters au Angalau hata PHD Mimi...
2 Reactions
11 Replies
695 Views
Madarasa ya Shule ya Msingi Matemboni wilayani Moshi yana hali mbaya sana na yanaweza kudondoka wakati wowote Wanafunzi wa Shule Hiyo wameiambia ITV kuwa wanaogopa kutumia madarasa hayo lakini...
1 Reactions
8 Replies
995 Views
Hii ni Taarifa tunayoipeleka kwa Umma wa Watanzania na nchi Jirani, kwamba yule Mwenyekiti mpya wa DUA, ambaye pia ni mwamba wa siasa za kisasa na nguzo ya amani Nchini Tanzania, Freeman Mbowe...
19 Reactions
55 Replies
3K Views
Unapiga porojo kuwa tuna helikopta za usaifiri tu. Kwani nini msiwe na kunyanyulia mizigo? Pesa zipo lakini mnaelekeza kwenye mashangingi na ufisadi tu. Kama tungekuwa na aerial cranes hata...
22 Reactions
114 Replies
5K Views
Salaam, Critique ya mjumbe huyu Bungeni ilikuwa nzito kweli - hata kama aliagizwa kuyawasilisha?
16 Reactions
61 Replies
10K Views
Figisu kwa mtu anayekuwa Waziri mkuu wa Tanzania hazijaanza leo ndio sababu namtia moyo mh Majaliwa azidi kuchapa Kazi tuko Pamoja na yeye . Mzee Kawawa alipitia misukosuko kadhaa, Sokoine pia...
3 Reactions
25 Replies
2K Views
1. Jaji Warioba 2. Jaji Ramadhan rip 3. Dr Mvungi rip 4. Prof Kabudi 5. Balozi Polepole 6. Prof Baregu rip 7. Mama Mwantumu 8.... Ni vema Kikosi kazi cha Prof Mkandalla kiwatambue rasmi...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Leo Rais Samia alikuwa Kigamboni kufungua Kisima kikubwa cha Maji kitakachonywesha Jiji la DSM Yawezekana Waziri wa Mazingira Dr Jaffo ndiye atatuwakilisha katika mkutano utakaohutubiwa na Rais...
0 Reactions
1 Replies
438 Views
Hii ndiyo taarifa ya haraka ambayo imesambazwa kwa vyombo vya habari asubuhi ya leo. Kwamba John Mnyika ataongea na waandishi wa habari, leo tarehe 10/11/2022, kwenye Makao Makuu ya Chama, nje ya...
16 Reactions
56 Replies
5K Views
Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) imesema, Uwanja wa Ndege wa Bukoba, Mkoa wa Kagera ni salama kwa asilimia 100. Dar es Salaam. Wakati yakiibuka madai ya usalama duni wa Uwanja wa Ndege wa...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Katika hali isiyo ya kawaida kwenye Gazeti la Raia Mwema linalomilikia na Sead Kubenea limekuwa na mwendelezo wa kuchafua viongozi mbalimbali wa Kiserikali akiwemo Waziri Mkuu wa Jamhuri ya...
0 Reactions
8 Replies
837 Views
Ni ajabu sana hapa duniani Chama Kikuu cha Upinzani kukataa kushiriki mchakato wa katiba wakati chenyewe hakina uwezo wowote wa kuunda Movement ya Katiba mpya. Naishauri Chadema kwa sababu...
0 Reactions
23 Replies
1K Views
Back
Top Bottom