Kwa muda mrefu huyu rais anajitambulisha kuwa yupo kwa ajili ya kuukuza uisilamu, rais Mwinyi huko nyuma aliwahi kusema ataongea na rais wa Tanzania kuona jinsi serikali ya Zanzibar inavyoweza...
1. Kiongozi yoyote wa serikali au CCM akiongea hawezi kumaliza sentensi mbili bila kutaja jina lako.
2. Sasa hivi karibu miji yote mikubwa kuna mabango makubwa ya kukusifia. Bajeti yake...
Wasiwasi wa Wakenya wengi miaka miwili nyuma kuwa Serikali ya ya Tanzania Chini ya Rais, Samia Suluhu Hassan uenda ikapindua meza na kuwa TAIFA lenye Uchumi mkubwa dhidi ya Kenya kabla ya mwaka...
Nauliza tu kwa sababu sijaona mwarabu anafuturisha huku Watu wameketi kwenye chair and table
Lakini kwa Wabongo ni kawaida sana kukuta meza na viti vimeandaliwa na Mfuturishaji kwa ajili ya...
Fanya utafiti mdogo utagundua Wizara zilizotajwa na CAG kuongoza kwa Ufisadi Mawaziri wake ndio hawakuamimiwa kabisa na Shujaa Magufuli na wengine aliwatumbulia mbali
Ni hayo tu
Mlale unono!
Mwitikio umekuwa mkubwa sana ila sina Hakika kama wote watakaa hadi Magharibi
Mungu wa mbinguni wafanyie wepesi Chadema Ili lengo la Mkutano litimie hususani kuchambua Ripoti ya CAG
Mengi...
Deadline hiyo imetangazwa na Waziri wa Mazingira Suleimani Jafo.
Baada ya January 31, 2024 taasisi zote za Umma na Binafsi ni marufuku kupikia kwa kutumia mkaa na kuni.
Aidha Serikali imesema...
1. Bajeti ya serikali ni ya kula, kujilipa posho, kununua magari.
2. Upigani ndio story kubwa sinazo pigwa hata kwenye ofisi za wakubwa.
3. Hakuna mtu anamwogopa kiongozi
4.Hakuna miradi mipya...
Nauliza tu
Ratiba ya Mikutano ya hadhara ya Mbowe na Tundu Lisu ni kama imezilenga Ngome za ACT wazalendo
Lindi, Mtwara na Kigoma
Kwa ninavyowajua fitna za CCM na hasa kutokana na ACT kujifanya...
1)Mashirika 58 ya Umma hayajachangia chochote kwenye mfuko wa serikali kuu ikiwemo MAMLAKA YA HIFADHI na Shirika la Madini
2)Taasisi 97 zina madeni yasiolipika, Jumla Trilioni 3.58
3)Taasisi...
Rais Mstaafu Mzee Kikwete amewaomba Watanzania waendelee kuiombea Nchi iendelee kuwa tulivu na pia Rais Samia Suluhu Hassan aweze kutafuta Majibu ya Vikwazo vinavyowakabili.
========
RAIS...
UKAGUZI wa Ufanisi wa Mamlaka ya Nishati Vijijini (REA) uliofanywa na CAG umeimulika REA kuanzia mwaka 2015/2016 mpaka 2019/2020.
Ukaguzi umefanyika kwa maombi ya wafadhili; Shirika la Kimataifa...
Tusichoshane!
Since hakuna aliyepisha tangu kauli ya yule mama kuwa walioiba mboga jikoni wasepe.
Siyo siri tena wewe mama ndo utupishe, naamini huwa unapita hapa JF na unasoma baadhi ya nyuzi...
Kati ya wabunge walio omba poo pale mjengoni ni Deo Sanga.
Wameanza kusoma alama za nyakati kuwa watanzania sasa wanataka mabadiliko.
Wamuomba Mbowe (chama) asisimamishe mgombea urais ili mama...
Unajua, from a clever person like myself,people expect to get good advice. Yule rais kafanya mambo makubwa katika nchi hii.
Sasa, ukimsema vibaya unapata laana, kwa sababu unakuwa unamsema mtu...
Miaka kadhaa iliyopita nikiwa Wilaya ya Bukombe kimatembezi nilifatwa na bwana mmoja mkuu wa Idara moja serikalini ni rafiki yangu tuliyesoma pamoja.
Alinifata ni kunipa mchongo wa kutaka tupige...
Wanabodi,
Wakati taarifa ya uchunguzi ya PCCB na ile ya CAG kuhusu suala la IPTL, nimenote kumetokea too much sensationalism to dramatize ili ionekane its a very big deal!, na kwa vile escrow...
Kwa mujibu wa CAG, shirika la bima ya afya ya Taifa limepata hasara ya zaidi ya 204B, kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kufanya malipo hewa, na marudio ya malipo kwa huduma ile ile kwa mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.