Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ameeleza kusikitishwa na baadhi ya wanachama wa chama hicho kumfikiria kuwa anasaliti Watanzania kwa kufanya maridhiano ya kisiasa na CCM.
Akizungumza na...
Katika hotuba yake jana Mjumbe wa Kamati kuu ya CHADEMA Mh John Heche amesema polisi wameona madhara ya kutokuwepo wabunge wa Upinzani bungeni.
Kwa maana hiyo polisi wamempa mh Heche hoja zao...
Mbunge wa Viti Maalum (UWT) CCM Mkoa wa Pwani Hawa Mchafu amekabidhi vifaa vya michezo (Mipira na Jezi) kwa vijana wa Raja Sports Academy iliyopo Kata ya Mtongani Wilaya ya Kibaha Vijijini Mkoa wa...
Ni dharau kubwa sana kwa wana Ubungo kuona landmark kubwa kama interchange iliyoasisiwa kwa jina la Ubungo Interchange imebadilishwa jina na kuitwa Kijazi interchange, hii ni dharau kubwa kwa wana...
Naelewa 2020 ulizunguka Tanzania nzima kwenye mikutano ya kampeni hivyo unaelewa hali halisi ya maisha ya Mtanzania.
TAL ujue kuwa hakuna mtanzania aliyependa kujiita CHAWA kama alivyofanya Babu...
Wakati wizara ya kilimo ikiongezewa bajeti
Na Genius Bashe akipambana uku na kule kuhakikisha taifa halikosi chakula
Na Kilimo kuwa biashara Vijana wakimbilie fursa.
SERIKALI YAKE IMEKUWA...
Tunakusalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Kazi iendelee!
Awali ya yote tunapenda kuchukua fursa hii kukutakia heri na fanaka katika mwaka mpya wa 2023. Pia tunakupongeza kwa...
Freeman Mbowe anatambulika kisiasa kama Mwamba Tuvushe
Kwenda wapi? Haijawekwa wazi
Simon Petro alitambulishwa na Masihi kama Mwamba ambao Juu yake litajengwa Kanisa la Mungu
Lakin Saa...
Naombeni wanaoelewa sana mambo haya wanisaidie kufahamu. Inavyoonekana kikao cha Baraza la Mawaziri huwa ni cha siri. Kinachonisumbua ni kwamba mara nyingi wakikutana kwa kikao tunajulishwa kuwa...
WanaJamvi nimefuatilia Hotuba za Mikutano yote ya hadhara iliyofanyika baada ya Mama Samia kuifungua.
Kwa maoni yangu mpaka sasa Mnyika anaongoza kwa kutumia nafasi hizo vizuri. Ukimuangalia kwa...
Siku ya jana kulikua na mkutano wa chadema huko tarime. Mwenyekiti Kama kawaida aliunguruma. Kilichoshangaza wanachadema wengi hawakuzungumzia huu mkutano.
Nimepita kwenye accounts nyingi za...
Mambo yameanza kunoga.
Katibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo ametoa onto Kwa viongozi wote Waliopewa Dhamana za Kutatu
a Changamoto za Watu kuacha kulalamika Bali wachukue hatua.
Bila shaka...
Na Bwanku Bwanku.
Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) umesifu na kupongeza hatua madhubuti alizoanza kuzichukua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan...
Hello guys!
Leo ni Siku ya Kimataifa ya Maadhimisho ya Siku ya Elimu Duniani ambayo huadhimishwa January 24..
Wakati kila Taifa likitafakari kuhusu Elimu yake,Tanzania inakabiliwa na tatizo la...
Godbless Lema alifungiwa mwaka mzima wa kuhudhuria vikao vya bunge mwaka 2020 baada ya kushusha mashairi badala ya kujitetea pale alipoitwa na kamati ya bunge kumhoji juu ya kutoa kauli chafu kwa...
Wildlife Conservation Society of Tanzania's links with national authorities were strengthened when Philemon Luhanjo took over as chairman and chief executive officer of WCST. Luhanjo is a close...
Nchi jirani hapo Karibu na kwetu Rombo walikurupuka na Katiba Mpya lakini bado wanalia hadi leo japo Katiba mpya wanayo
Kutengeneza Katiba ni mchakato unahitaji Utulivu mkubwa wa akili
Je...
Bado naona Sera ya sasa ya Chadema ni suala la Awamu ya 5. Ndo imekuwa issue kubwa. Unawasoma hata wengine wanamuda sana chadema but wakizungumzia ujio wa Lissu na kuanza na mikutano wanarudi...
Mji wa Sumbawanga ni makao makuu ya mkoa wa Rukwa. Baada ya suala barabara kukamilika kutoka Mbeya mpaka Mpanda kiwango cha lami usafiri umekuwa wa uhakika mabasi na magari mengi yana tumia...
Moshi. Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu amewataka watumishi, watendaji na wadau wa Mahakama kujiepusha na vitendo vya rushwa na kuweka mifumo mizuri itakayowezesha utatuzi wa migogoro kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.