Ndugu zangu watanzania sisi ndo walipa kodi wa nchi hii. Rais hana pesa zake wala CCM haina pesa zake.. hivyo basi tuna kila sababu ya kufahamu matumizi ya kodi hizi za watanzania masikini.
Rais...
Bwana Freeman Mbowe alitangaza kuwa ataachia uenyekiti wa chama baada ya kukitumikia kwenye nafasi hiyo kwa miaka mingi. Unafikiri ni nani anastahili kumpokea kijiti huyu mwamba?
Mtu mmoja aliyeorodheshwa kama miongoni mwa waliokufa ameibuka na kusema yuko hai hajafa jina lake liliingizwa kwa makosa
Mimi nilijiokoa baada ya kuona nje hakuna msaada, amesema Mtiganzi...
Taarifa iliyozagaa kila pembe ya nchi inadai kwamba kumbe kikosi kazi cha Mukandala si cha mwisho, huenda kikaundwa kikosi kazi kingine cha kuangalia ya kwenye Tume ya Warioba na yaliyowekwa...
Tunataka Mjadala wa Kitaifa kuhusu Bima ya Afya kwa Wote
Kamati ya Baraza Kivuli la Wasemaji wa Kisekta ya Chama cha ACT Wazalendo limepokea Taarifa ya Spika wa Bunge ya kuahirishwa kwa Muswada...
Do not outshine your master walisema wakoloni
Kusema kweli Watanzania ni kama wanamsikiliza zaidi majaliwa kuliko mama
Majaliwa ana personality fulani hivi ya kiuongozi kuanzia body language...
Wafuasi wa CHADEMA chenye HQ Ufipa st Kinondoni Shamba wameshangilia sana kauli ya Prof Muhongo kwamba Tanzania tumerudi kwenye Uchumi wa Chini
Nilitegemea Chadema watasikitika kwa sababu wao...
Kama heading inavyojieleza,
Kwa siku hizi mbili nimeshuhudia nyuzi pamoja na post nyingi katika mitandao ya kijamii yenye malengo ya kumchafua Waziri mkuu Mh. Kassim Majaliwa Kassim wakimtuhumu...
Kama hauna Elimu kaa mbali na kitu kinaitwa siasa hautoelewa unapigania nini
Siasa inahitaji Elimu ukitaka kuifaidi hapa nazungumzia Elimu Kuanzia Degree na Masters au Angalau hata PHD
Mimi...
Madarasa ya Shule ya Msingi Matemboni wilayani Moshi yana hali mbaya sana na yanaweza kudondoka wakati wowote
Wanafunzi wa Shule Hiyo wameiambia ITV kuwa wanaogopa kutumia madarasa hayo lakini...
Hii ni Taarifa tunayoipeleka kwa Umma wa Watanzania na nchi Jirani, kwamba yule Mwenyekiti mpya wa DUA, ambaye pia ni mwamba wa siasa za kisasa na nguzo ya amani Nchini Tanzania, Freeman Mbowe...
Unapiga porojo kuwa tuna helikopta za usaifiri tu. Kwani nini msiwe na kunyanyulia mizigo?
Pesa zipo lakini mnaelekeza kwenye mashangingi na ufisadi tu.
Kama tungekuwa na aerial cranes hata...
Figisu kwa mtu anayekuwa Waziri mkuu wa Tanzania hazijaanza leo ndio sababu namtia moyo mh Majaliwa azidi kuchapa Kazi tuko Pamoja na yeye .
Mzee Kawawa alipitia misukosuko kadhaa, Sokoine pia...
Leo Rais Samia alikuwa Kigamboni kufungua Kisima kikubwa cha Maji kitakachonywesha Jiji la DSM
Yawezekana Waziri wa Mazingira Dr Jaffo ndiye atatuwakilisha katika mkutano utakaohutubiwa na Rais...
Hii ndiyo taarifa ya haraka ambayo imesambazwa kwa vyombo vya habari asubuhi ya leo.
Kwamba John Mnyika ataongea na waandishi wa habari, leo tarehe 10/11/2022, kwenye Makao Makuu ya Chama, nje ya...
Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) imesema, Uwanja wa Ndege wa Bukoba, Mkoa wa Kagera ni salama kwa asilimia 100.
Dar es Salaam. Wakati yakiibuka madai ya usalama duni wa Uwanja wa Ndege wa...
Katika hali isiyo ya kawaida kwenye Gazeti la Raia Mwema linalomilikia na Sead Kubenea limekuwa na mwendelezo wa kuchafua viongozi mbalimbali wa Kiserikali akiwemo Waziri Mkuu wa Jamhuri ya...
Ni ajabu sana hapa duniani Chama Kikuu cha Upinzani kukataa kushiriki mchakato wa katiba wakati chenyewe hakina uwezo wowote wa kuunda Movement ya Katiba mpya.
Naishauri Chadema kwa sababu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.