Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ameeleza kusikitishwa na baadhi ya wanachama wa chama hicho kumfikiria kuwa anasaliti Watanzania kwa kufanya maridhiano ya kisiasa na CCM. Akizungumza na...
2 Reactions
7 Replies
884 Views
Katika hotuba yake jana Mjumbe wa Kamati kuu ya CHADEMA Mh John Heche amesema polisi wameona madhara ya kutokuwepo wabunge wa Upinzani bungeni. Kwa maana hiyo polisi wamempa mh Heche hoja zao...
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Mbunge wa Viti Maalum (UWT) CCM Mkoa wa Pwani Hawa Mchafu amekabidhi vifaa vya michezo (Mipira na Jezi) kwa vijana wa Raja Sports Academy iliyopo Kata ya Mtongani Wilaya ya Kibaha Vijijini Mkoa wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni dharau kubwa sana kwa wana Ubungo kuona landmark kubwa kama interchange iliyoasisiwa kwa jina la Ubungo Interchange imebadilishwa jina na kuitwa Kijazi interchange, hii ni dharau kubwa kwa wana...
11 Reactions
36 Replies
2K Views
Naelewa 2020 ulizunguka Tanzania nzima kwenye mikutano ya kampeni hivyo unaelewa hali halisi ya maisha ya Mtanzania. TAL ujue kuwa hakuna mtanzania aliyependa kujiita CHAWA kama alivyofanya Babu...
4 Reactions
22 Replies
1K Views
Wakati wizara ya kilimo ikiongezewa bajeti Na Genius Bashe akipambana uku na kule kuhakikisha taifa halikosi chakula Na Kilimo kuwa biashara Vijana wakimbilie fursa. SERIKALI YAKE IMEKUWA...
0 Reactions
3 Replies
634 Views
Tunakusalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi iendelee! Awali ya yote tunapenda kuchukua fursa hii kukutakia heri na fanaka katika mwaka mpya wa 2023. Pia tunakupongeza kwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Freeman Mbowe anatambulika kisiasa kama Mwamba Tuvushe Kwenda wapi? Haijawekwa wazi Simon Petro alitambulishwa na Masihi kama Mwamba ambao Juu yake litajengwa Kanisa la Mungu Lakin Saa...
1 Reactions
0 Replies
349 Views
Naombeni wanaoelewa sana mambo haya wanisaidie kufahamu. Inavyoonekana kikao cha Baraza la Mawaziri huwa ni cha siri. Kinachonisumbua ni kwamba mara nyingi wakikutana kwa kikao tunajulishwa kuwa...
2 Reactions
18 Replies
1K Views
WanaJamvi nimefuatilia Hotuba za Mikutano yote ya hadhara iliyofanyika baada ya Mama Samia kuifungua. Kwa maoni yangu mpaka sasa Mnyika anaongoza kwa kutumia nafasi hizo vizuri. Ukimuangalia kwa...
1 Reactions
3 Replies
750 Views
Siku ya jana kulikua na mkutano wa chadema huko tarime. Mwenyekiti Kama kawaida aliunguruma. Kilichoshangaza wanachadema wengi hawakuzungumzia huu mkutano. Nimepita kwenye accounts nyingi za...
1 Reactions
16 Replies
865 Views
Mambo yameanza kunoga. Katibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo ametoa onto Kwa viongozi wote Waliopewa Dhamana za Kutatu a Changamoto za Watu kuacha kulalamika Bali wachukue hatua. Bila shaka...
2 Reactions
6 Replies
727 Views
Na Bwanku Bwanku. Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) umesifu na kupongeza hatua madhubuti alizoanza kuzichukua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan...
3 Reactions
6 Replies
932 Views
Hello guys! Leo ni Siku ya Kimataifa ya Maadhimisho ya Siku ya Elimu Duniani ambayo huadhimishwa January 24.. Wakati kila Taifa likitafakari kuhusu Elimu yake,Tanzania inakabiliwa na tatizo la...
3 Reactions
23 Replies
1K Views
Godbless Lema alifungiwa mwaka mzima wa kuhudhuria vikao vya bunge mwaka 2020 baada ya kushusha mashairi badala ya kujitetea pale alipoitwa na kamati ya bunge kumhoji juu ya kutoa kauli chafu kwa...
4 Reactions
7 Replies
636 Views
Wildlife Conservation Society of Tanzania's links with national authorities were strengthened when Philemon Luhanjo took over as chairman and chief executive officer of WCST. Luhanjo is a close...
5 Reactions
187 Replies
24K Views
Nchi jirani hapo Karibu na kwetu Rombo walikurupuka na Katiba Mpya lakini bado wanalia hadi leo japo Katiba mpya wanayo Kutengeneza Katiba ni mchakato unahitaji Utulivu mkubwa wa akili Je...
3 Reactions
6 Replies
511 Views
Bado naona Sera ya sasa ya Chadema ni suala la Awamu ya 5. Ndo imekuwa issue kubwa. Unawasoma hata wengine wanamuda sana chadema but wakizungumzia ujio wa Lissu na kuanza na mikutano wanarudi...
1 Reactions
9 Replies
633 Views
Mji wa Sumbawanga ni makao makuu ya mkoa wa Rukwa. Baada ya suala barabara kukamilika kutoka Mbeya mpaka Mpanda kiwango cha lami usafiri umekuwa wa uhakika mabasi na magari mengi yana tumia...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Moshi. Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu amewataka watumishi, watendaji na wadau wa Mahakama kujiepusha na vitendo vya rushwa na kuweka mifumo mizuri itakayowezesha utatuzi wa migogoro kwa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom