Mipango ya upigaji tu: Kwanini Polepole kasema wahuni hawafai uongozi - Mfano wa TANESCO chini ya waziri Januari

kmbwembwe

JF-Expert Member
Aug 16, 2012
10,418
7,206
Kwa nini wale Polepole kawaita wahuni hawafai uongozi nitatoa mfano wa TANESCO chini ya waziri wake kijana Januari.

Kuingia tu akaja na mipango kemkem TANESCO mmojawapo wa mipango ni huu wa kubadili mita za umeme kuweka za kisasa eti ukilipa tu sio tena unapewa token ukaingize mwenyewe kwenye mita. Ukisasa ni kwamba ukilipa tu mita yako moja kwa moja inajibu kwa kupokea na kuongeza units kwenye mita kiasi ulicholipia.

Mambo ya kujiuliza ni kwamba je kuna ulazima kuleta mpango huo kwa sasa ukizingatia shirika la TANESCO lilikua kwenye mkakati wa kujikwamua kutoka kupata hasara?

Je hiyo teknolojia ambayo pengine hata Ulaya bado ni mpya kuna haja ya nchi yetu kuikimbilia?

Halafu la msingi kubadili mita nchi nzima kwa bei ya hizo mita si itakua gharama kubwa sana kwa shirika linalopata hasara?

Kwa ufupi wahuni wanakujaga na mipango ya upigaji tu. Hapa tulipo kimaendeleo teknolojia ya mita tuliyonayo inatosheleza kabisa. Hakuna sababu kuingiza shirika gharama kubwa kwa tamaa binafsi ya mtu.

Watakwambia mita zitabadilishwa taratibu lakini sio kweli maana wauzaji hadi ununue ndio upate chako cha juu. Kwa hivyo tutashuhudia ubadhirifu mita nzima zinang'olewa na kubadilishwa.

Huu ni mfano mmoja tu jinsi wahuni hawawezi kuleta maendeleo ya nchi ila kuleta maendeleo yao binafsi na kujikita kudhibiti dola kwa faida yao.
 
Bora akaja na mkakati wa kubaidiri nguzo zote zikawa za zege kuliko hilo, kwani bila kubadiri mita shirika linapata hasara gani? Wahuni hawa, wataikongoroa nchi mpaka tukimbie.
 
Kwa nini wale Polepole kawaita wahuni hawafai uongozi nitatoa mfano wa TANESCO chini ya waziri wake kijana Januari.

Kuingia tu akaja na mipango kemkem TANESCO mmojawapo wa mipango ni huu wa kubadili mita za umeme kuweka za kisasa eti ukilipa tu sio tena unapewa token ukaingize mwenyewe kwenye mita. Ukisasa ni kwamba ukilipa tu mita yako moja kwa moja inajibu kwa kupokea na kuongeza units kwenye mita kiasi ulicholipia.

Mambo ya kujiuliza ni kwamba je kuna ulazima kuleta mpango huo kwa sasa ukizingatia shirika la TANESCO lilikua kwenye mkakati wa kujikwamua kutoka kupata hasara?

Je hiyo teknolojia ambayo pengine hata Ulaya bado ni mpya kuna haja ya nchi yetu kuikimbilia?

Halafu la msingi kubadili mita nchi nzima kwa bei ya hizo mita si itakua gharama kubwa sana kwa shirika linalopata hasara?

Kwa ufupi wahuni wanakujaga na mipango ya upigaji tu. Hapa tulipo kimaendeleo teknolojia ya mita tuliyonayo inatosheleza kabisa. Hakuna sababu kuingiza shirika gharama kubwa kwa tamaa binafsi ya mtu.

Watakwambia mita zitabadilishwa taratibu lakini sio kweli maana wauzaji hadi ununue ndio upate chako cha juu. Kwa hivyo tutashuhudia ubadhirifu mita nzima zinang'olewa na kubadilishwa.

Huu ni mfano mmoja tu jinsi wahuni hawawezi kuleta maendeleo ya nchi ila kuleta maendeleo yao binafsi na kujikita kudhibiti dola kwa faida yao.
Sukuma gang mnalialia sana na kuweweseka baada ya mungu wenu kufa. Huko mtaani hawana habari na nyie kabisa. Chakufanya anzisheni chama chenu mkiite Sukuma gang Party (SGP)ili 2025 mgombee
 
Bora akaja na mkakati wa kubaidiri nguzo zote zikawa za zege kuliko hilo, kwani bila kubadiri mita shirika linapata hasara gani? Wahuni hawa, wataikongoroa nchi mpaka tukimbie.
Hamia Burundi mkuu, achana na hizi stress zitakumaliza mapema
 
Kwa nini wale Polepole kawaita wahuni hawafai uongozi nitatoa mfano wa TANESCO chini ya waziri wake kijana Januari.

Kuingia tu akaja na mipango kemkem TANESCO mmojawapo wa mipango ni huu wa kubadili mita za umeme kuweka za kisasa eti ukilipa tu sio tena unapewa token ukaingize mwenyewe kwenye mita. Ukisasa ni kwamba ukilipa tu mita yako moja kwa moja inajibu kwa kupokea na kuongeza units kwenye mita kiasi ulicholipia.

Mambo ya kujiuliza ni kwamba je kuna ulazima kuleta mpango huo kwa sasa ukizingatia shirika la TANESCO lilikua kwenye mkakati wa kujikwamua kutoka kupata hasara?

Je hiyo teknolojia ambayo pengine hata Ulaya bado ni mpya kuna haja ya nchi yetu kuikimbilia?

Halafu la msingi kubadili mita nchi nzima kwa bei ya hizo mita si itakua gharama kubwa sana kwa shirika linalopata hasara?

Kwa ufupi wahuni wanakujaga na mipango ya upigaji tu. Hapa tulipo kimaendeleo teknolojia ya mita tuliyonayo inatosheleza kabisa. Hakuna sababu kuingiza shirika gharama kubwa kwa tamaa binafsi ya mtu.

Watakwambia mita zitabadilishwa taratibu lakini sio kweli maana wauzaji hadi ununue ndio upate chako cha juu. Kwa hivyo tutashuhudia ubadhirifu mita nzima zinang'olewa na kubadilishwa.

Huu ni mfano mmoja tu jinsi wahuni hawawezi kuleta maendeleo ya nchi ila kuleta maendeleo yao binafsi na kujikita kudhibiti dola kwa faida yao.
Shida Polepole ameterekeza Chuo chakupinga wahuni yupo kwasasa Cuba ..asali hayijawahi muacha muchumia tumbo salama.
 
Kwa nini wale Polepole kawaita wahuni hawafai uongozi nitatoa mfano wa TANESCO chini ya waziri wake kijana Januari.

Kuingia tu akaja na mipango kemkem TANESCO mmojawapo wa mipango ni huu wa kubadili mita za umeme kuweka za kisasa eti ukilipa tu sio tena unapewa token ukaingize mwenyewe kwenye mita. Ukisasa ni kwamba ukilipa tu mita yako moja kwa moja inajibu kwa kupokea na kuongeza units kwenye mita kiasi ulicholipia.

Mambo ya kujiuliza ni kwamba je kuna ulazima kuleta mpango huo kwa sasa ukizingatia shirika la TANESCO lilikua kwenye mkakati wa kujikwamua kutoka kupata hasara?

Je hiyo teknolojia ambayo pengine hata Ulaya bado ni mpya kuna haja ya nchi yetu kuikimbilia?

Halafu la msingi kubadili mita nchi nzima kwa bei ya hizo mita si itakua gharama kubwa sana kwa shirika linalopata hasara?

Kwa ufupi wahuni wanakujaga na mipango ya upigaji tu. Hapa tulipo kimaendeleo teknolojia ya mita tuliyonayo inatosheleza kabisa. Hakuna sababu kuingiza shirika gharama kubwa kwa tamaa binafsi ya mtu.

Watakwambia mita zitabadilishwa taratibu lakini sio kweli maana wauzaji hadi ununue ndio upate chako cha juu. Kwa hivyo tutashuhudia ubadhirifu mita nzima zinang'olewa na kubadilishwa.

Huu ni mfano mmoja tu jinsi wahuni hawawezi kuleta maendeleo ya nchi ila kuleta maendeleo yao binafsi na kujikita kudhibiti dola kwa faida yao.

Wazalendo uchwara mlipata nafasi ya kutawala, mkaishia kuumiza kila asiyewasujudia kwa ulevi wa madaraka, imefikia mahali tunaona afadhali wahuni kuliko nyie wazalendo uchwara, hata kama wote nyie ni walewale.
 
Sukuma gang mnalialia sana na kuweweseka baada ya mungu wenu kufa. Huko mtaani hawana habari na nyie kabisa. Chakufanya anzisheni chama chenu mkiite Sukuma gang Party (SGP)ili 2025 mgombee
Sukuma Gang watainunua Chadema 2025
 
Wazalendo uchwara mlipata nafasi ya kutawala, mkaishia kuumiza kila asiyewasujudia kwa ulevi wa madaraka, imefikia mahali tunaona afadhali wahuni kuliko nyie wazalendo uchwara, hata kama wote nyie ni walewale.
Mwamba analamba Asali na Futari!

Wahuni Watu wabaya sana 😃😃
 
Bora akaja na mkakati wa kubaidiri nguzo zote zikawa za zege kuliko hilo, kwani bila kubadiri mita shirika linapata hasara gani? Wahuni hawa, wataikongoroa nchi mpaka tukimbie.
Fuatilia ujue kinachoendelea kuhusu hizo nguzo mkuu, hii nchi ni jina tu huko ndani Mungu tu ndiye anajua.
 
Back
Top Bottom