Kama chama kinachoongoza upinzani wa Tanzania na uhitaji wa mabadiliko ya haraka ya katiba lipi bora kati ya kufanya maridhiano na CCM au na wabunge waliosimamishwa?
Ipo Siku mtakuja Kuwaalika hata Wemdawazimu hapo kama hamtokuwa makini.
Nimejaribu kuchunguza Wageni wanaoalikwa katika Mabunge ya Kenya Rwanda na Uganda na Kugundua Watu wanaoalikwa hapo si tu...
Serikali imesema kuwa itatangaza rasmi kima cha chini cha mshahara kwa sekta binafsi mwezi huu wa Novemba 2022.
Hayo yamesemwa Bungeni leo Novemba 11, 2022, ikiwa ni baada ya Bodi ya Kima cha...
Wakati Chadema inaongeza Jiji la DSM chini ya Lord Mayor DSM Isaya Mwita Mzee Sabodo alitoa msaada wa fedha za kuchimba Visima
Naulizia tu kama Visima vile ni miongoni mwa hivi 119...
Nani asiyezijua mashine za EFD au hizi zinazotumiwa na jamaa wa parking au kwenye malipo mbalimbali?
Mashine hizi sasa ni takwa la kisheria kwa wafanya biashara vinginevyo hakuna kufanya...
Spika wa bunge Dr Tulia ameishauri Serikali kuingiza Maji ya kwenye Maziwa katika Mfumo rasmi wa maji yanayotumiwa majumbani
Dr Tulia amesema Maji ya Ziwani ni ya uhakika na hayakauki hivyo ni...
Wakati unakuja watanzania wataishiwa uvumilivu kwa kuona Mali zao na nchi yao ikiuzwa pasina wao wenyewe kuridhia.
Ni kama kufumba na kufumbua maji hayapatikani tena wakati ilo jambo...
Kagame ni kiongozi kama rais wa urusi, ni mtu anayependa na kujivunia vita.
Jumuiya ya Afrika Mashariki ilifanya makosa makubwa kuiruhusu Rwanda kujiunga nayo.
Sasa ni wakati muafaka wa...
TAARIFA KWA UMMA
Mkutano mkuu wa vyama vya Kidemokrasia Barani Afrika - Democrat Union of Africa (DUA) uliofanyika Jijini Abidjan, Ivory Coast kuanzia Jumapili tarehe 06 Novemba, 2022 na...
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) imewataka wafanyabiashara na watoa huduma wakubwa na wadogo kuchangamkia fursa ya kushiriki Tuzo za ubora kwenye huduma na bidhaa.
Ndugu Baraka Mbajije (Afisa...
Hakika hakuna marefu yakakosa mwisho, iwe mwisho mwema au mbaya.
Leo hii ndani ya CCM wameanza kunyukana dhidi ya mipango mibovu ya kimaendeleo.
Msikilizeni mh Sanga halafu tujadili kwa pamoja...
Kama ni kweli kabisa alikuwa Fisadi mbona Waliomtuhumu hao Chadema walimbembeleza awe mgombea Urais kws ticket ya Chama chao?
Sijawahi kupata majibu ila namshukuru RA kwa kumueleza ukweli Shujaa...
Leo hatunao tena Hayati Mwalimu Nyerere, Hayati Sokoine na Hayati Magufuli kimwili lakini nawahakikishieni bado wanaishi nasi na sehemu za roho zao zipo kwa mtumishi wao Majaliwa.
Mwaka 2008...
Acheni kukimbilia 20% za Bagamoyo,kabla ya kukamilisha "Hub" Muhimu za Uchumi.
Nazo ni.........
"SGR" kwa kusafirisha mizigo kwa uharaka na gharama rahisi.
"JNHP"Kwa kuzalisha nishati muhimu na...
Leo hii mgao wa umeme umekuwa kero kwa taifa letu kiasi cha kuporomosha uchumi wa wananchi lakini mnachukulia poa.
Hiyo kampuni ya Mahindra group iliposaini mkataba wa bil 78 kuiboresha TANESCO...
Shaka anazungumza kwa uwazi kwamba Mwenyekiti wa CCM Taifa ameifungua nchi.
Anazunguka duniani kuipaisha Tanzania.
Ziara za Rais zimetuzawadia deni la Taifa kufikia Trillion 71+ mpaka sasa...
James Mbatia amesema Precision Air ndio inaongoza kwa kubeba watalii wanaokuja nchini hivyo kitendo cha CNN, BBC, Al jazeera nk kutangaza negatively tukio la Ndege yetu kuvutwa kwa Kamba kutawatia...
Habari wananchi wenzangu!
Serikali ijiuzulu kwa kushindwa kutumia rasilimali mito, maziwa na bahari kukimesha tatizo la upatikanaji wa maji kwa wananchi.
Dar es salaam sehemu zenye miundombinu...
Wakuu amani iwe nanyi. Baada ya kushuhudia mateso makuu ya kimwili na kiroho katika awamu ya Tano, naam amani imerejea rasmi maana naiona milango ya mafanikio ikifunguka mmoja baada ya mwingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.