Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Habari zenu Macomrade. Bila Shaka Kila Mmoja anaendelea na Mapambano ya Maisha yake. Uvccm Ina pande mbili 1. Wapo vijana wazalendo ila ni Waoga. Hili ni kundi la vijana Wasomi lakini wamejawa...
4 Reactions
15 Replies
1K Views
Rais Samia ameyasema hayo akihutubia kwenye Baraza la Eid ambapo amesema kuna usasa na tunaona ndio maendeleo na ustaarabu, akisema tunatakiwa kwenda na usasa kwa kuendana na tamaduni zetu na...
4 Reactions
30 Replies
2K Views
Nimeshangaa sana leo kukuta Watu kwenye Kijiwe cha Bodaboda wakijadili ripoti ya CAG na kudai hela anayodai Mpina imeibwa na Waziri wa fedha zingetosha kuwanunulia Bajaji Moja moja Bodaboda wote...
6 Reactions
17 Replies
748 Views
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt Mwigulu Nchemba akijibu hoja za Wabunge ndani ya Bunge amejitapa kuwa anajua anachokifanya maana PhD yake ni ya kusomea na siyo kupewa. Namnukuu 'Hapa tunatisha...
16 Reactions
170 Replies
11K Views
Naona Rais wetu unaamini kukaa meza moja na chadema hasa Mbowe ndio unapata amani ya kuongoza taifa,si kweli kabisa. Rais Samia unaatakiwa utafute suluhu ya kero za watanzania wengi maskini wenye...
7 Reactions
58 Replies
3K Views
Dear Viongozi, Ukuaji wa GDP (Gross Domestic Product) haupaswi kutegemea michezo ya kamari au betting. GDP ni kipimo cha thamani ya bidhaa na huduma zote zinazozalishwa katika nchi ndani ya...
1 Reactions
3 Replies
787 Views
Kwa wiki mbili sasa Viongozi wamekuwa wakisisitiza sana sisi Wananchi tuwaombee Na hapa hata hawawatambui Viongozi wa Dini ndio wawaombee bali siye akina Daudi Mchambuzi Sasa hawa Viongozi...
0 Reactions
5 Replies
540 Views
Mdawi Ni KIJIJI Kilicho Mkoani Kilimanjaro Wilaya Ya Moshi Vijijini Kata Ya Kimochi. Ni Kijiji Kongwe Kutokana Na Historia Yake Ambayo Kwa Leo Sitaelezea Historia Hiyo.Ni Kijiji Kinachopakana Na...
5 Reactions
16 Replies
2K Views
Ni siku nyingine Mwenyezi Mungu ametujalia kuiona, tukiwa wazima wa afya na amani ya kutosha. Mungu ni mwema nyakati zote. Kama ilivyo kawaida, waona mbali huwa hawaeleweki kwa 'matomaso' na hawa...
1 Reactions
2 Replies
969 Views
Hayati Julius Nyerere alipotabiri kuwa upinzani wa kweli utatokea ndani ya CCM alitatabiri vyema kabisa maana mpaka sasa hakuna upinzani dhidi ya CCM pamoja na multiparty system kuanzishwa hapa...
4 Reactions
81 Replies
3K Views
Wanabodi, Tuache siasa, na tusemezane au tuambiane ukweli, iwapo CCM itashinda tena uchaguzi wa mwaka huu, ushindi huo wa CCM, jee utatokana na Watanzania kufanya informed decision kufuatia CCM...
1 Reactions
45 Replies
9K Views
Karibu kufuatilia yanayojiri Bungeni leo Aprili 24, 2023 kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 11, Kikao cha 12. Mbunge Prof. Shukrani Elisha ameonesha masikitiko kwa Ofisi ya Mkamu wa Rais, Mazingira...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Huyu Nape anaonekana kama kajiniazi fulani. Ana charisma, hata akiongea ni kama anaongea kwa kunata na biti na madaha. Na kale kamiwani kake, na venye anamkonga samia, basi ni vyema awe Rais wetu...
12 Reactions
106 Replies
4K Views
Kada wa CCM ambaye pia ni Rais wa Chama cha Wacheza Bao mzee Monday Likwepa amesema hakuna Mwananchi wa Ukonga aliyemtuma Jerry Slaa aiombe Serikal iongeze Bei ya Mafuta Likwepa amesema ni Tabia...
8 Reactions
23 Replies
2K Views
Kijana mwenzetu akutana na Mheshimiwa Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris, wakati wa ziara yake nchini Tanzania. Kijana huyu anaitwa Gibson Kawago elimu yake ni Diploma na ni mwanzilishi wa...
12 Reactions
43 Replies
5K Views
Namshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehma aliye nijalia kwa rehma zake mfungo wa Ramadhan salama salimin. ALHAMDULILLAH. Hoja yangu ya leo ni UAMSHO kwa ndugu zangu waafrika juu ya nadharia ya...
7 Reactions
15 Replies
2K Views
Mwigulu, Nape na January wakati mnashirikuana na Mzee wa Msoga kumpokonya Lowasa Urais mliaminishwa kwamba ninyi nifamilia Bora na mtaendelea kuneemeka na siasa za Tanzania. Lakini Magu...
10 Reactions
32 Replies
3K Views
Na Beatrice Kimaro BBC Mchambuzi Tanzania Katika miongo miwili iliyopita, tumeshuhudia uwekezaji mkubwa ukifanywa na Serikali ya Tanzania kwenye miundo mbinu ya usafiri na usafirishaji. Ukiacha...
5 Reactions
15 Replies
3K Views
Angalia raia maskini wanavyohangaika kulima kwa jembe la mkono na kulipa kodi na tozo kandamizi. Angalia wavuvi ambao hawalali na familia zao wanalipa kodi na tozo kandamizi huku wakikesha majini...
6 Reactions
43 Replies
2K Views
Sauti yake, manjonjo yake na mwonekano wake, ni MC mashuhuli, eti leo ni waziri? Tanzania tuna tabu sana! Tegemeeni bando kupanda kila uchwao na mitandao kuwa chini zaidi Hatusemi kwa ubaya, ni...
1 Reactions
15 Replies
837 Views
Back
Top Bottom