Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 576
- 1,626
Rais Samia ameyasema hayo akihutubia kwenye Baraza la Eid ambapo amesema kuna usasa na tunaona ndio maendeleo na ustaarabu, akisema tunatakiwa kwenda na usasa kwa kuendana na tamaduni zetu na kwamba tutunze watoto wetu vile sisi tulitunzwa.
Akaendelea kuwa kila mtu anapaswa kuwajibika kwa upande wake uli kuokoa kizazi hiki na kuaribiwa pamoja na upotoshwaji na kwamba mambo yasiyotuhusu tuwaachie wenyewe.
Badala ya kupeleka lawama zote kwa serikari kila mzazi anatakiwa kudhibiti alichotoa tumboni.
Akiongeza kuwa, tubuni mbinu za kukabiliana na mmomonyoko wa maadili kwa usasa tulionao, kwa kufundisha watoto shuleni na sehemu watakazopatikana sababu watoto wanaelewa.
Akaendelea kuwa kila mtu anapaswa kuwajibika kwa upande wake uli kuokoa kizazi hiki na kuaribiwa pamoja na upotoshwaji na kwamba mambo yasiyotuhusu tuwaachie wenyewe.
Badala ya kupeleka lawama zote kwa serikari kila mzazi anatakiwa kudhibiti alichotoa tumboni.
Akiongeza kuwa, tubuni mbinu za kukabiliana na mmomonyoko wa maadili kwa usasa tulionao, kwa kufundisha watoto shuleni na sehemu watakazopatikana sababu watoto wanaelewa.