Sauti yake, manjonjo yake na mwonekano wake, ni MC mashuhuli, eti leo ni waziri?
Tanzania tuna tabu sana!
Tegemeeni bando kupanda kila uchwao na mitandao kuwa chini zaidi
Hatusemi kwa ubaya, ni ili tu, wao wajaribu kujitahidi saana kuendana na wakati, Tanzania sio sehemu ya kujaribishiana, Tunataka maendeleo, watanzania tunapenda mabadiriko kutoka kwa viongozi wanaochukizwa na unyuma wa nchi yetu, watu kutamani kukimbilia nchi za wengine, ni kwa sababu moja tu, nchi zao hazina viongozi wanaoumizwa na hali hizo!
Tunajaribu kuwakumbusha ili wasimame kisawasawa kama watetezi wa Watanzania na kwamba watanzania ndio tuliowatuma kufanya yale tuliyotaka na siyo yale wao wanataka!
Jumapili njema
Tanzania tuna tabu sana!
Tegemeeni bando kupanda kila uchwao na mitandao kuwa chini zaidi
Hatusemi kwa ubaya, ni ili tu, wao wajaribu kujitahidi saana kuendana na wakati, Tanzania sio sehemu ya kujaribishiana, Tunataka maendeleo, watanzania tunapenda mabadiriko kutoka kwa viongozi wanaochukizwa na unyuma wa nchi yetu, watu kutamani kukimbilia nchi za wengine, ni kwa sababu moja tu, nchi zao hazina viongozi wanaoumizwa na hali hizo!
Tunajaribu kuwakumbusha ili wasimame kisawasawa kama watetezi wa Watanzania na kwamba watanzania ndio tuliowatuma kufanya yale tuliyotaka na siyo yale wao wanataka!
Jumapili njema