Wasalamu wana JF.
Kwanza kabisa nianze kwa kujifuta machozi na kuionea huruma nchi yangu ya Tanzania kwa kufika huku ilipofika kwa sababu ya ukosefu wa umakini katika chaguzi na teuzi za...
UWT TAIFA TUNAKWENDA NA Comred. GAUDENTIA KABAKA
Mchague GAUDENTIA M. KABAKA Mgombea nafasi ya Mwenyekiti UWT Taifa
#Daraja Bora la Maendeleo ya Chama, Serikali na Wananchi.
Rais John Magufuli ni mgeni rasmi katika mkutano mkuu wa 33 wa kawaida wa Jumuia ya Tawala za Mitaa (Alat).
Mwenyekiti wa Alat, Gulamhafeez Mukadam amesema, awali mkutano huo ulipangwa kufanyika...
Naomba mwenye majibu ya hili anisaidie jamani .
Natambua kwamba Mamlaka ya uteuzi yaweza kumteua yeyote , popote na wakati wowote na kumfuta kazi yeyote , lakini bila shaka kunakuwa na sababu...
Video hapo juu ni mapokezi (maandamo) ya Zitto huko Tunduru na Polisi kabla ya hapo wali-fake kumzuia Zitto na baada ya simu moja ya maelekezo kusanyiko lile liliendelea na habari zake kama...
1. Upinzani
“Tukianza kutafuta asiye na dhambi ili tujadili naye kuhusu kesho yetu hatutampata,hivyo tuna kila lazima ya kuacha chuki na visasi na kuwaamini viongozi wetu"
"Siwezi kuwa chawa wa...
Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan, imeongeza fedha za kusomesha Wataalamu bingwa na bobezi hadi kufikia shilingi Bilioni 8 kutoka Shilingi Bilioni 3 za mwaka wa...
Rais wangu mama Samia Suluhu Hassan kuendesha serikali yenye kupata mafanikio si jambo la lelemama hata kidogo, kama unatafuta kupendwa,fahamu utapendwa na wachache ila utachukiwa na wengi sana na...
Ulianza na Singida United ikabuma ukaibukia DTB ambayo imebadili jina na kuwa Singida nini sijui.
Unafanya kitu kizuri ila kitakucost.
Mpira kwa Afrika ni mchezo wa wahuni tu. Viongozi wahuni...
Mgombea wa nafasi ya MNEC toka mkoa wa Arusha, mfanyabiashara wa madini Ndugu, Gabriel Sendeu baada ya kuona nguvu yake ya fedha haiwezi kumsaidia kushinda nafasi hiyo amechagua kutumia ukabila...
Nchi hizi kwa mujibu wa mkataba wa Muungano zinapaswa kuwa na haki sawa kwenye mgawanyo wa mambo yaliyoainishwa kwenye kinachoitwa "masuala yahusuyo Muungano' zikiwemo baadhi ya Wizara kuongozwa...
Hakika ndani ya CCM kuna viongozi ukiwasikiliza unaweza uiamini kama ni matamshi ya kiongozi wa ngazi za juu.
Msikilizeni Heche WA CHADEMA na Dr Mollel wa CCM ( Naibu Waziri )
Hapo ndiyo mtajua...
Chama cha Mapinduzi (CCM) kinaendelea na uchaguzi wake wa ndani ili kuweza kupata viongozi watakao isimamia Serikali kwa umakini. Hakuna shaka kwa namna siasa za Tanzania zilivyo kwa sasa na...
Ameyasema juzi katia ufunguzi wa majengo ya Mahakama huko Same/Mwanga.
Kweli Mh. Jaji Mkuu, hujui dosari za mahakama zako? Hilo ulilolisema linatoka rohoni au unajikosha? watu wanaozea jela kwa...
Waziri mkuu mh Majaliwa amesema Rais Samia ameridhia na kuagiza Wanafunzi wote wenye sifa za kupata mkopo wa Elimu ya Juu na ambao walipitishwa na Bodi ya mikopo wapokelewe Vyuoni.
Ikumbukwe...
Ni kweli kwamba wengi wetu humu jamvini tumetoa tuhuma zetu dhidi ya GSM, tukiwatuhumu kuhusika kwa njia moja au nyingine na uuzaji wa dawa za kulevya.
Kwa jinsi nilivyomuona Kamishna katika...
Rais wetu mpendwa, juzi tuliona umetoa mitambo ya kuchimba maji na mitambo mizito kabisa, Sasa muda huu maeneo mengi Dar hayana maji na mto Ruvu siyo tegemeo tena.
Nakuomba mama Mpenzi tuonee...
Ukiangalia kwa jinsi mambo yanavyoenda utagundua walimu wamesusa. Wanasema kwa sasa wao wanasubiri tu mshahara uingie maisha yao yaendelee.
Wanasema Serikali haiwajali, Wazazi hawawajali wamekuwa...
Msimu huu wa bunge umetawaliwa na taarifa ya CAG ambayo inaonesha wizi mkubwa serikalini. Tatizo malalamiko ya wabunge yanalenga taasisi za serikali na watendaji wake bila kuwataja mawaziri ambao...
Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za " Kwa Maslahi ya Taifa", makala ya leo ni kuzungumzia kidogo hali ya umeme nchini ambayo kwa sasa inapitia changamoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.