Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wasalamu wana JF. Kwanza kabisa nianze kwa kujifuta machozi na kuionea huruma nchi yangu ya Tanzania kwa kufika huku ilipofika kwa sababu ya ukosefu wa umakini katika chaguzi na teuzi za...
31 Reactions
110 Replies
11K Views
UWT TAIFA TUNAKWENDA NA Comred. GAUDENTIA KABAKA Mchague GAUDENTIA M. KABAKA Mgombea nafasi ya Mwenyekiti UWT Taifa #Daraja Bora la Maendeleo ya Chama, Serikali na Wananchi.
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Rais John Magufuli ni mgeni rasmi katika mkutano mkuu wa 33 wa kawaida wa Jumuia ya Tawala za Mitaa (Alat). Mwenyekiti wa Alat, Gulamhafeez Mukadam amesema, awali mkutano huo ulipangwa kufanyika...
27 Reactions
1K Replies
88K Views
Naomba mwenye majibu ya hili anisaidie jamani . Natambua kwamba Mamlaka ya uteuzi yaweza kumteua yeyote , popote na wakati wowote na kumfuta kazi yeyote , lakini bila shaka kunakuwa na sababu...
9 Reactions
138 Replies
30K Views
Video hapo juu ni mapokezi (maandamo) ya Zitto huko Tunduru na Polisi kabla ya hapo wali-fake kumzuia Zitto na baada ya simu moja ya maelekezo kusanyiko lile liliendelea na habari zake kama...
3 Reactions
30 Replies
2K Views
1. Upinzani “Tukianza kutafuta asiye na dhambi ili tujadili naye kuhusu kesho yetu hatutampata,hivyo tuna kila lazima ya kuacha chuki na visasi na kuwaamini viongozi wetu" "Siwezi kuwa chawa wa...
0 Reactions
2 Replies
977 Views
Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan, imeongeza fedha za kusomesha Wataalamu bingwa na bobezi hadi kufikia shilingi Bilioni 8 kutoka Shilingi Bilioni 3 za mwaka wa...
2 Reactions
2 Replies
771 Views
Rais wangu mama Samia Suluhu Hassan kuendesha serikali yenye kupata mafanikio si jambo la lelemama hata kidogo, kama unatafuta kupendwa,fahamu utapendwa na wachache ila utachukiwa na wengi sana na...
17 Reactions
105 Replies
6K Views
Ulianza na Singida United ikabuma ukaibukia DTB ambayo imebadili jina na kuwa Singida nini sijui. Unafanya kitu kizuri ila kitakucost. Mpira kwa Afrika ni mchezo wa wahuni tu. Viongozi wahuni...
10 Reactions
35 Replies
3K Views
Mgombea wa nafasi ya MNEC toka mkoa wa Arusha, mfanyabiashara wa madini Ndugu, Gabriel Sendeu baada ya kuona nguvu yake ya fedha haiwezi kumsaidia kushinda nafasi hiyo amechagua kutumia ukabila...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nchi hizi kwa mujibu wa mkataba wa Muungano zinapaswa kuwa na haki sawa kwenye mgawanyo wa mambo yaliyoainishwa kwenye kinachoitwa "masuala yahusuyo Muungano' zikiwemo baadhi ya Wizara kuongozwa...
35 Reactions
163 Replies
11K Views
Hakika ndani ya CCM kuna viongozi ukiwasikiliza unaweza uiamini kama ni matamshi ya kiongozi wa ngazi za juu. Msikilizeni Heche WA CHADEMA na Dr Mollel wa CCM ( Naibu Waziri ) Hapo ndiyo mtajua...
22 Reactions
115 Replies
5K Views
Chama cha Mapinduzi (CCM) kinaendelea na uchaguzi wake wa ndani ili kuweza kupata viongozi watakao isimamia Serikali kwa umakini. Hakuna shaka kwa namna siasa za Tanzania zilivyo kwa sasa na...
2 Reactions
22 Replies
2K Views
Ameyasema juzi katia ufunguzi wa majengo ya Mahakama huko Same/Mwanga. Kweli Mh. Jaji Mkuu, hujui dosari za mahakama zako? Hilo ulilolisema linatoka rohoni au unajikosha? watu wanaozea jela kwa...
1 Reactions
2 Replies
668 Views
Waziri mkuu mh Majaliwa amesema Rais Samia ameridhia na kuagiza Wanafunzi wote wenye sifa za kupata mkopo wa Elimu ya Juu na ambao walipitishwa na Bodi ya mikopo wapokelewe Vyuoni. Ikumbukwe...
5 Reactions
43 Replies
4K Views
Ni kweli kwamba wengi wetu humu jamvini tumetoa tuhuma zetu dhidi ya GSM, tukiwatuhumu kuhusika kwa njia moja au nyingine na uuzaji wa dawa za kulevya. Kwa jinsi nilivyomuona Kamishna katika...
2 Reactions
11 Replies
4K Views
Rais wetu mpendwa, juzi tuliona umetoa mitambo ya kuchimba maji na mitambo mizito kabisa, Sasa muda huu maeneo mengi Dar hayana maji na mto Ruvu siyo tegemeo tena. Nakuomba mama Mpenzi tuonee...
0 Reactions
5 Replies
654 Views
Ukiangalia kwa jinsi mambo yanavyoenda utagundua walimu wamesusa. Wanasema kwa sasa wao wanasubiri tu mshahara uingie maisha yao yaendelee. Wanasema Serikali haiwajali, Wazazi hawawajali wamekuwa...
0 Reactions
2 Replies
546 Views
Msimu huu wa bunge umetawaliwa na taarifa ya CAG ambayo inaonesha wizi mkubwa serikalini. Tatizo malalamiko ya wabunge yanalenga taasisi za serikali na watendaji wake bila kuwataja mawaziri ambao...
3 Reactions
12 Replies
1K Views
Wanabodi, Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za " Kwa Maslahi ya Taifa", makala ya leo ni kuzungumzia kidogo hali ya umeme nchini ambayo kwa sasa inapitia changamoto...
11 Reactions
48 Replies
3K Views
Back
Top Bottom