Kuna watu huku jamii forum mnajipa moyo sana kwamba CCM katika Jimbo la Mh Spika Tulia ACKSON inaweza "kutema" Jimbo kwa mtu anaitwa Sugu!Thubutu!
Hesabu wa kumshinda Sugu Jimbo la Mbeya...
Ni kawaida Sana sasa kukuta wagombea Ubunge wa CCM wakiwahofia Sana Wajumbe na kuwaona kama miungu Watu lakini wakiwapuuza wapiga kura wa Uchaguzi mkuu
Hata kugawa Majimbo ni CCM wanakimbiana...
Inasikitisha sana kuona wanafunzi wanashindwa kwenda shuleni kwa sababu wamekosa michango mbalimbali.
Wazazi wanakubaliana kwenye vikao vya shule kulipa michango lakini utekelezaji ziro. Matokeo...
Kipande cha Barabara cha Town Clinic ni Kibovu tangu nahamia Tabora Mwaka 2019. Ni Kipande ambacho hata Mita 100 hakifikishi, ndicho kinachoingia Salmini, sehemu Muhimu kiuchumi, Diwani wa eneo...
Jiji la Mwanza ni ushahidi tosha kwamba hata uhujumu vipi, kama imeandikiwa itatokea tu, jinsi wanavyotumia nguvu kubwa kulihujumu ndiyo linavyopaa zaidi kimaendeleo!
Ukiacha Serikali ya awamu ya...
Mahakama kuu chini ya mtendaji mkuu wa Mahakama bwana Olisante Ole Gabrieli zaidi ya Mwaka sasa ameshindwa kuwalipa wajasilia Mali ambao wamewauzia matofali zaidi ya elfu arobaini ambayo...
Eti wakuu sana. Haiwezekani kwa serikali kuingia mikataba na wauzaji huko na wadeni wetu ili tuwalipe kwa dhahabu? Maana suala la dola ni mtihani, huko wakishindwa kupandisha silingbodi la madeni...
Kurudisha wabunge kama hawa bungeni basi sio swala tena la kushangaza bali litakuwa la kipuuzi kabisa.
Watu wazima tena waheshimiwa wanaona mbunge jasiri Luhanga Mpina anawatetea wakulima na...
Lisemwalo lipo ni msemo wa wahenga.
Niliwahi kuandika hapa jamvini kuwa jimbo la Mbeya linarudi kwa CHADEMA. Watu walinibeza hasa wale UVCCM. Nilijua kuwa wana Mbeya hatumtaki kabisa Tulia na...
HOTUBA YA WAZIRI KIVULI WA KILIMO, MIFUGO NA UVUVI-ACT WAZALENDO NDG. MTUTURA ABDALLAH MTUTURA KUHUSU MPANGO WA BAJETI WA WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/24.
Utangulizi...
MHE. MARY MASANJA - MUUNDO WA JESHI LA UHIFADHI UNAFANYA KAZI VIZURI
Serikali imesema Taasisi za Uhifadhi nchini zimeendelea kutekeleza majukumu yake ipasavyo kufuatia muundo wa sasa wa Jeshi la...
Yawezekana Rais wa awamu ya sita wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, uongozi wake ukawa ndio uongozi ambao umetoa mwanya kwa kila kiongozi wa ngazi yoyote ile kuonyesha uwezo...
Na Bwanku M Bwanku.
Leo Alhamisi Mei 04, 2023 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa ni mgeni rasmi na atafungua mkutano wa Mawaziri wa Michezo wa Baraza la Michezo...
Rais Samia Suluhu Hassan amezungumza kwa njia ya "video" na wajumbe wa Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa Michezo katika Kanda ya IV ya Afrika (AU Sports Council of Ministers Meeting – Region IV)...
Hatua ya Rais Samia Suluhu kutoweka wazi kiwango cha nyongeza za mishahara ya wafanyakazi katika siku kuu ya Mei Mosi imewaibua wachambuzi wa Siasa na uchumi, ambao wanaona kwamba hatua hiyo...
Abdul Nondo amesema hakuna mtu mwenye Hati miliki ya Jimbo hivyo 2025 atakwaana na boss wake Zitto Kabwe Kwenye kura za Maoni ACT Wazalendo kugombea Ubunge Kigoma mjini
Sasa ndugu zangu wa...
MHE. HAMAD CHANDE (NAIBU WAZIRI FEDHA) - BAJETI ZITAZINGATIA JINSIA
Serikali imeeleza kuwa Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti ya mwaka 2023/24 umetoa maelekezo kwa Maafisa Masuuli...
MILIONI 16 ZACHANGIA UJENZI WA ZAHANATI 13 JIMBO LA BAHI, DODOMA
Mbunge wa Jimbo la Bahi Mhe. Kenneth Nollo tarehe 03 Mei, 2023 alifika Kijiji cha Mapinduzi Kata ya Kigwe kwa lengo la kutembelea...
Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu imeendelea na juhudi mbalimbali za kuhamasisha na kuvutia uwekezaji nchini.
Akiwasilisha Bajeti ya Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.