Rais Samia hana roho mbaya, hana baya

Rais Samia hana roho mbaya, hana baya

MzeeKipusa

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2023
Posts
2,705
Reaction score
4,978
Sa'Leku Shekhe!

Kiukweli, Mama yetu hana baya. Ni Mama mtaratibu na mpole sana. Anajali sana watu, hana majivuno. Anajua kujishusha na ni mtu mwenye huruma sana.

Tatizo lipo kwa wale watu Mia Moja walio kwenye circle yake. I mean wale watu 100 wanaomzunguka (ambao siku hizi wameacha kufanya majukumu ya Kazi zao, wamekalia kufanya uchawa pro max)

Daah asee mijamaa ina roho mbaya sana, sijapata kuona.

Anyways sio case, kuna nini tena. Mungu ndiye mgawa ridhiki, thawabu pamoja na baraka. Ni yeye pekee ndiye huijua Hatima ya maisha ya mtu. (Justice delayed is a mother miracle)

Note
  1. Nawakumbusha tu, tuepuke roho mbaya, na zaidi ya yote tujitahidi kuwafanya watu wawe na furaha kwa kuwatendea mema. Kila mmoja wetu atakufa siku moja, tusiishi kwa kuwazibia watu ridhiki, kwa kuwakandamiza na kwa kuwazushia uongo au kuwasema vibaya pasipo sababu yeyote.
  2. Tujitahidi sana kutuwatunza watu tunaoletewa na Mungu katika maisha yetu, kutunza haki zao, afya zao na kamwe tusiwatake for granted, hayupo aijuaye kesho. Tomorrow is always a mystery.
Always do good to your fellow human beings!
 
Kweli kabisa hana baya, muhimu wale kwa urefu wa kamba zao, ila wakumbuke siku wakifa hawatazikwa nazo.
 
Sa'Leku Shekhe!

Kiukweli, Mama yetu hana baya. Ni Mama mtaratibu na mpole sana. Anajali sana watu, hana majivuno. Anajua kujishusha na ni mtu mwenye huruma sana.

Tatizo lipo kwa wale watu Mia Moja walio kwenye circle yake. I mean wale watu 100 wanaomzunguka (ambao siku hizi wameacha kufanya majukumu ya Kazi zao, wamekalia kufanya uchawa pro max)

Daah asee mijamaa ina roho mbaya sana, sijapata kuona.

Anyways sio case, kuna nini tena. Mungu ndiye mgawa ridhiki, thawabu pamoja na baraka. Ni yeye pekee ndiye huijua Hatima ya maisha ya mtu. (Justice delayed is a mother miracle)

Note
  1. Nawakumbusha tu, tuepuke roho mbaya, na zaidi ya yote tujitahidi kuwafanya watu wawe na furaha kwa kuwatendea mema. Kila mmoja wetu atakufa siku moja, tusiishi kwa kuwazibia watu ridhiki, kwa kuwakandamiza na kwa kuwazushia uongo au kuwasema vibaya pasipo sababu yeyote.
  2. Tujitahidi sana kutuwatunza watu tunaoletewa na Mungu katika maisha yetu, kutunza haki zao, afya zao na kamwe tusiwatake for granted, hayupo aijuaye kesho. Tomorrow is always a mystery.
Always do good to your fellow human beings!
Mimi ni mmojawapo kati ya wanaofurahia nchi yao sana Kwa sasa.Ukiachana na roho mbaya za baadhi ya watu,mama ni kiongozi.Akiendelea HIVI atakuwa wa kwanza Kwa viongozi waziri,wenye hekima akifuatiwa na J.K wa pili.Ila Kwa sasa bado J.K wa pili is the best(tukiacha roho mbaya)
 
Mimi ni mmojawapo kati ya wanaofurahia nchi yao sana Kwa sasa.Ukiachana na roho mbaya za baadhi ya watu,mama ni kiongozi.Akiendelea HIVI atakuwa wa kwanza Kwa viongozi waziri,wenye hekima akifuatiwa na J.K wa pili.Ila Kwa sasa bado J.K wa pili is the best(tukiacha roho mbaya)
JK yupi unayemsema hapa? Julius au Jakaya?
 
Mama hana ubaya. Samia tena 2025 na tena

Tukijaliwa uhai tukutane kwenye hii comment 2030

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hasan
 
Bila shaka atakuwa ni Jakaya
Aah kama ni huyu....sio kweli bhana!!!

Huyu jamaa ndiye aliyeifanya Nchi iwe na magroup ya wezi Serikalini. Magroup ambayo huenda ndiyo yaliyosababisha mpaka JPM akafa.

Kwani Nasema uongo Kaka mbalizi1
 
Aah kama ni huyu....sio kweli bhana!!!

Huyu jamaa ndiye aliyeifanya Nchi iwe na magroup ya wezi Serikalini. Magroup ambayo huenda ndiyo yaliyosababisha mpaka JPM akafa.

Kwani Nasema uongo Kaka mbalizi1
Hakuna namna tunalazimika kuishi kwenye ukweli (Ujamaa aliondoka nao mwalimu Julius).

Ubepari una nguvu mno ukilonganisha na Ujamaa tutafanyeje? MzeeKipusa
 
Hakuna namna tunalazimika kuishi kwenye ukweli (Ujamaa aliondoka nao mwalimu Julius).

Ubepari una nguvu mno ukilonganisha na Ujamaa tutafanyeje? MzeeKipusa
Mimi naona bora tumsupport tu Mama SAMIA,...tumpe miaka mitano tena,...au sio Kiongozi mbalizi1 , au una Maoni mengine Ndugu yangu
 
Back
Top Bottom