Michael Uledi
Senior Member
- Mar 29, 2023
- 132
- 322
Kuna watu huku jamii forum mnajipa moyo sana kwamba CCM katika Jimbo la Mh Spika Tulia ACKSON inaweza "kutema" Jimbo kwa mtu anaitwa Sugu!Thubutu!
Hesabu wa kumshinda Sugu Jimbo la Mbeya zilishachorwa kitambo sana!Ni suala la muda tu CCM wanangoja kutekeleza!
Hakuna kipindi ambacho CCM itakuwa imara ndani ya Jimbo la Mbeya kama mwaka 2025.CCM imekuwa ikijijenga ndani kwa ndani bila watu wengi kujua!
Sehemu pekee ambayo Sugu anaweza kushinda labda arudi kwao Mkoa wa NJOMBE lakini sioni Dalili za jamaa kushinda Mbeya!
Tutakuwa watu wa mwisho kuliachia jimbo la Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenda kwa upinzani!Vijana wa CCM tunasema iwe mvua iwe jua Sugu kwa kupitia tiketi yoyote hawezi kushinda Mbeya!
Nipo paleeee.
Hesabu wa kumshinda Sugu Jimbo la Mbeya zilishachorwa kitambo sana!Ni suala la muda tu CCM wanangoja kutekeleza!
Hakuna kipindi ambacho CCM itakuwa imara ndani ya Jimbo la Mbeya kama mwaka 2025.CCM imekuwa ikijijenga ndani kwa ndani bila watu wengi kujua!
Sehemu pekee ambayo Sugu anaweza kushinda labda arudi kwao Mkoa wa NJOMBE lakini sioni Dalili za jamaa kushinda Mbeya!
Tutakuwa watu wa mwisho kuliachia jimbo la Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenda kwa upinzani!Vijana wa CCM tunasema iwe mvua iwe jua Sugu kwa kupitia tiketi yoyote hawezi kushinda Mbeya!
Nipo paleeee.