Equitable
JF-Expert Member
- Dec 24, 2021
- 2,124
- 5,698
Inasikitisha sana kuona wanafunzi wanashindwa kwenda shuleni kwa sababu wamekosa michango mbalimbali.
Wazazi wanakubaliana kwenye vikao vya shule kulipa michango lakini utekelezaji ziro. Matokeo yake wakuu wa shule wanaamua kuwaadhibu watoto.
Hii itapelekea watoto;
1. Kuwa malaya ili wapate hela ya mchango.
2. Kuiba.
3. Kuunda magroup haramu.
Hivyo basi naomba serikali irudishe ada kwa nchi nzima ili shule zijitosheleze kimatumizi.
Ombi: Tuache siasa kwenye elimu. Kura tutakupa tu mama.
Tulinde elimu.
Wazazi wanakubaliana kwenye vikao vya shule kulipa michango lakini utekelezaji ziro. Matokeo yake wakuu wa shule wanaamua kuwaadhibu watoto.
Hii itapelekea watoto;
1. Kuwa malaya ili wapate hela ya mchango.
2. Kuiba.
3. Kuunda magroup haramu.
Hivyo basi naomba serikali irudishe ada kwa nchi nzima ili shule zijitosheleze kimatumizi.
Ombi: Tuache siasa kwenye elimu. Kura tutakupa tu mama.
Tulinde elimu.