Kwa kuangalia kuanzia mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa daresalaam na wa chini yake kimuundo utagundua ni kama kuna mahali hapo sawa kwani dini moja imechukua hatamu nachojiuliza wengine hawakuwa na...
Maisha ni mipango. Na kila aliyefanikiwa leo ujue alipanga na kutekeleza mipango yake vizuri siku nyingi nyuma
Leo Ethiopia wametangaza kutimiza malengo yao waliyojiwekea mwaka 2019 kupanda miti...
Ndugu zangu
Natumai nyote muwazima wa afya
Tunapoelekea katika Chaguzi za Jumuiya na Chama kama Vijana na wanachama tunao wajibu wa kukisaidia Chama na Jumuiya zake kupata Viongozi wenye sifa za...
Je ni kweli kuwa kile kikosi kazi kilichoundwa na Msajili wa Vyama kujadili Masuala ya Katiba Tume huru na Mikutano ya Vyama vya Siasa HAKIPO KISHERIA kutokana na kutotungiwa Sheria na BUNGE na...
Mbunge Luhaga Mpina Kada wa CCM anashambuliwa na wana CCM wenzake hadi kufikia kukatwa jina lake kugombea nafasi ya Mjumbe wa Halmashauri Kuu yA tAIFA nEC kwa kosa la kusimamamia Ilani ya...
Tanzania usiposifia viongozi hata uwe na madaraka makubwa kiasi gani watatokea watu watakushambulia kwa maneno na matusi na mwisho watakuambia jitathimini
Tumeshuhudia kwa Spika Ndugai licha ya...
The power Game, Anaeweza kushika madaraka ndie yupo juu zaidi, Mfano kwa Nigeria kanda ya kaskazini wapo nyuma kielimu na kibiashara lakini linapokuja suala la Power wao ndio wameikamta na kuweza...
PANGA LA NEC LAMFYEKA LUHAGA MPINA- JINA LAKE LAENGULIWA KUGOMBEA UJUMBE WA NEC.
* Mambo 11 yaliyomponza yatajwa
HALMASHAURI Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi imeliengua jina la Mbunge wa...
Umeme unakatwa kuokoa mazingira, wanawasha Diesel Generators 24/7, hakuna kitu kinachangia CO2 emissions kwa kiasi kikubwa kama Diesel, umeme wa Tanzania kiasi kikubwa unatokana na vyanzo vya...
Kenan KIHONGOSI ameshindwa kuwatetea vijana katika kipindi chake chote cha uongozi akiwa Katibu Mkuu wa Vijana, leo vijana na Tanzania wanahangaika kutafuta ajira na ajira zilizopo zinachukuliwa...
Angalia Drc wakati wa Mobutu wa Zabanga. Pamoja na utajiri wake wote ule raia wake waliishi kwa tabu na umasikini mkubwa. Mpaka leo hii imekuwa ni kama laana.
Huko Afrika ya kati mataiafa kama...
kiongozi yeyote anapokemea maovu ya serikali hajisemei yeye kama yeye ni wajibu wake kuelimisha umna kuhusu uovu wowote unaofanywa na serikali yao sasa kuna wimbi kubwa la vijana linapotokea swala...
CHAMA cha Mapinduzi kinaendelea na uchaguzi ngazi ya Mikoa na baadae Taifa kwa lengo la kupata viongozi wapya wataongooza kwa kipindi cha miaka 5 ijayo.
Moja ya ahadi za Mwana CCM ni NITASEMA...
Kuna watu wameulizza sana juu ya matokeo ya uchaguzi Arusha, but jibu la harakaharaka katika kila uchaguzi kuna kushinda na kushindwa, na mshindani wa kweli lazima ajiandae kwa yote maana...
Shalom.
Ninaomba kuwe na mdahalo huru na LIVE kati ya vijana wa CCM na CDM ili tuone vijana wanaojitambua na wale wenye upeo duni wa kufikiri.
Mdahalo huu wa kitaifa uwe LIVE kupitia TV 2 kubwa...
Bei ya vya vyakula ni mateso raia wa kawaida sasa ni mateso kuishi Tanzania kwa raia wa kipato cha chini. Maana kula imekuwa anasa.
Wale mabwenyeye CCM wasio na huruna na raia wanyonge wameshika...
Yaani mkulu wa Bagams alipokuwa madarakani tuliteseka sana na umeme. Nchi ikawa gizani. Makelele ya jenereta yakawa komoni.
Sasa najiuliza mbona ule upande mwingine wa akina Mpina uliposhika...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akishiriki kikao kazi cha Mabalozi na Menejimenti ya Wizara ya Mambo ya Nje leo tarehe 19 Novemba, 2022 katika Ukumbi wa Golden Tulip...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.