Kutokana bungeni Dodoma!
Mbunge wa Jimbo la Biharamulo Magharibi mkoani Kagera Mhandisi Ezra Chiwelesa ameishauri serikali kuanzisha taasisi rasmi za kusimamia sekta ya mifugo pamoja na uvuvi ili...
Waziri wa Fedha Dr Mwigullu PhD ndiye Waziri wa Fedha Kijana ukimlinganisha na waliomtangulia tangu Mfumo wa Vyama vingi uanze.
Matarajio ya Wananchi ni makubwa kwamba atatutoa kwenye Uchumi wa...
Gwajima amekomalia sana na huwa anapenda kurudia kila mara hii hoja yake mufilisi ya nchi kufanya mipango ya miaka 50. Bahati mbaya sana huwa naoana akiiongea kwa ujasiri na kushangiliwa na watu...
Miaka 30 ya Maadhimisho ya Uhuru wa vyombo vya habari; Vikwazo na wajibu wa kiukombozi wa vyombo vya habari.
Utangulizi
Leo tarehe 3 Mei 2023 ni siku ya maadhimisho ya uhuru wa vyombo vya habari...
Najiuliza tangu Prof.Ndalichako ateuliwe kuwa waziri wa elimu ni kitu gani amekifanya chenye kuboresha "quality" ya elimu Tanzania?
Nakumbuka alibadili kutoka GPA system kwenda Grade systems. Hii...
Habari Jf ,Ni aibu kuona nchi kama Tanzania baada ya miaka 60 ya Uhuru bado ina changamoto nyingi sana ambazo hazitakiwa kuwepo ,kibaya zaidi bado CCM inaendelea tu kuwepo madarakani.
Kwa kifupi...
Sasa ni Dhahiri kwamba, CCM inafahamu kwamba mbele ya Katiba Mpya na Tume huru ya Uchaguzi haiwezi kushinda uchaguzi wowote ule.
Huko Twitter ameonekana Hamis Kigwangwala akimwaga chozi na...
Mtu yule huenda kama angepata watu wa kumsikiliza kabla na au baada ya kupelekwa gerezani.
Yawezekana alikuwa na ushuhuda mkubwa sana juu ya alichokuwa ameoteshwa kuhusu madhara ya lile Genge la...
Jambo Jambo?
Hivi kwa mwenendo wa uhalifu Geita na huyu RPC mwanamama Safia Jongo, ni wazi kabisa toka mwezi wa kwanza(Januari) mpaka hii leo nani hajui kuwa Geita ni pa moto.
Juzi tu hapa...
Naona huyu mkulima amelipwa na anatumika kuzuia kile kinachoitwa muingiliano wa mihimili ya dola bunge, mahakama na serikali hapa:
1.Serkali imepeleka hoja ya wizi wa trillioni 3+ bungeni ili...
Wanabodi,
Naangalia kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari, kinachorushwa live na kituo Star TV kila siku za Jumamosi asubuhi, mmoja wa waalikwa katika kipindi cha Leo, ni mwandishi nguli...
Katibu mkuu wa CCM Dkt. Bashiru amesema CCM itapata ushindi mkubwa na wa kihistoria ambao haijawahi kuupata tangu mfumo wa vyama vingi uanze.
Bashiru amesema mwaka huu CCM iliyoshikamana bila...
Baada ya kusikiliza hotuba ya rais siku ya wafanyakazi, niligundua tumefanywa wajinga tena kwa kuahidiwa kitu ambacho hakipo.
Hivi hatuwezagi kuandaa maandamano ya kupinga uongo wa wanasiasa...
Tunashuhudia viongozi wetu wa Afrika kukumbukwa mara baada ya kupoteza maisha, lakini kwa Chato imekuwa kama tofauti sana, Thomas Sankara leo kuna watu wanatamani kumzika upya, kwa sababu ya...
MBUNGE MHE. KENNETH NOLLO NA KASI YA MAENDELEO KATIKA JIMBO LA BAHI MKOA WA DODOMA
Mbunge wa Jimbo la Bahi, Dodoma Mhe. Kenneth Nollo mwezi Aprili 2023 amefanya ziara katika Jimbo la Bahi na...
State Capture ni UFISADI MKUBWA wa KISIASA ambapo WATU Binafsi kama Wafanya Biashara WAKUBWA,VIGOGO wa kisiasa na kiserikali ama MAKUNDI binafsi yaliyo na USHAWISHI KISIASA na...
Kama sio kusaka kiki za bei rahisi ni nini? Kuchukulia hatua vidagaa wa taa uwanja wa taifa ni kama mmetuona watanzania ni wajinga, mbona kuna mgao wa umeme nchi nzima na hakuna hatua zozote...
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 11, Kikao cha 16 leo Mei 3, 2023.
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Khamis Hamza Chilo amesema hadi sasa, Serikali...
Naona baadhi ya Chadema Wanaotaka Katiba Mpya wanapendekeza Muungano wa Serikal Moja
Ndio najiuliza Muasisi wa Muungano aliposema Serikal Moja Tanganyika itavimeza Visiwa vya Zanzibar...
Kuna aina kadhaa ya serikali za kiimla, ambazo hutawala kwa nguvu na udhibiti mkubwa wa kisiasa na kijamii. Hapa ntaelezea aina kadhaa za serikali za kiimla kwa lugha ya ufupi:
Serikali ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.