johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,961
- 141,959
Akizungumza Bungeni leo Lugaha Mpina amedai ya kuwa kuna maagizo aliyatoa Waziri Mkuu na hayafanyiwi kazi na Waziri Mkuu yupo kimya hatua inayoonesha labda naye ameridhia
Hata hivyo hoja zake zilipingwa na Waziri Jennista Mhagama akidai ya kuwa hazina ukweli kwamba maagizo yanafanyiwa kazi na machache sana inawezekana bado hayajafanyiwa kazi
Mpina amesema kuwa tangu Waziri Mkuu akataze ‘Kamatakamata ya Mifugo bila kushirikisha Wananchi’, jambo hilo limekuwa likiendelea katika baadhi ya maeneo akidai na ushahidi upo
Spika wa Bunge amemtaka Mpina kuwasilisha Ushahidi wa mambo hayo kabla yeye hajatolea uamuzi jambo hilo ikiwa ni kweli Mpina amedanganya Bunge au la (Taarifa ya Waziri Mhagama)
==
MY TAKE
Hapa nadhani Mpina keshaingia Kwenye 18 akishindwa kuleta ushahidi atatupwa nje ya Bunge hadi mwakani 2024
Akirudi Ripoti ya CAG ishajadiliwa na maazimio yameshatolewa
Mungu wa mbinguni awabariki!
Hata hivyo hoja zake zilipingwa na Waziri Jennista Mhagama akidai ya kuwa hazina ukweli kwamba maagizo yanafanyiwa kazi na machache sana inawezekana bado hayajafanyiwa kazi
Mpina amesema kuwa tangu Waziri Mkuu akataze ‘Kamatakamata ya Mifugo bila kushirikisha Wananchi’, jambo hilo limekuwa likiendelea katika baadhi ya maeneo akidai na ushahidi upo
Spika wa Bunge amemtaka Mpina kuwasilisha Ushahidi wa mambo hayo kabla yeye hajatolea uamuzi jambo hilo ikiwa ni kweli Mpina amedanganya Bunge au la (Taarifa ya Waziri Mhagama)
==
MY TAKE
Hapa nadhani Mpina keshaingia Kwenye 18 akishindwa kuleta ushahidi atatupwa nje ya Bunge hadi mwakani 2024
Akirudi Ripoti ya CAG ishajadiliwa na maazimio yameshatolewa
Mungu wa mbinguni awabariki!