Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 890
- 4,140
Mhe. Waziri Mkuu naomba nikushirikishe mbinu zinazotumiwa na walafi kutorosha Mali za umma kwenda nje. Wezi na mitandao Yao wanaotoroka nchini wameshtuka awapiti airport wanapita kwenye mipaka mfu iliyo wazi ambavyo TRA na Uhamiaji wamelala.
Naamini wapo watu wanalipwa maeneo haya yasiwe na mfumo na wanakata mrabaha mkubwa huko juu waendelee kutorosha Tanzanite kupitia Tarakea, waingize na kutorosha gold kupitia Rukwa na Katavi, watoroshe mapato kupitia maeneo yaliyoachwa bila kuwekewa mifumo na kwenda kutakatisha fedha nje.
Fanya tathimini mipaka mingapi wageni na Watanzania wanatumia mifumo kama ya viwanja vya ndege? Ukianzia bandari ya Dar utaona udhibiti wa mizigo kutoka Zanzibar unavyofanyika ; hii ikupe picha ya hali ilivyo huko mikoani.
Je, wanaokwamisha mifumo isifungwe wanafanya nini ofisini? Mnapataje taarifa za wasafiri na mizigo inayoingia nchini? Unafahamu idadi ya magari yanayoletwa na kudump-wa Tanzania kisha wahusika wanarejea kwao? Unafahamu bidhaa kiasi gani zinaingizwa kutokea bandari ya Dsm nakuzungushwa kwenda nje ya nchi kisha kurejeshwa nchini?
Naamini Unayo nguvu na mamlaka ya kumsaidia Mhe. Rais kwa kuangalia mianya ya upotevu wa mapato ya nchi kupitia mipika yetu na kufunga mifumo madhubuti
NI fedhea kuangaika na EFD kwa walala hoi huku mkiacha mipaka bila udhibiti......mtazidi kuwanyonya Watanzania kwa makodi mengi huku wageni wakimataifa wakishirikiana na Watanzania wakiendelea kuingiza magendo nchini na kunufaika na soko letu.
Wapo wageni na Watanzania wengi wanaingia na kutoka nchini Bila kuingizwa kwenye mifumo mipakani Kwa Sababu hakuna mifumo.
Fanya dhiara yakushtukiza kwenye mipaka yetu uone Hali ilivyo na namna serikali inavyopata hasara kubwa Kwa kuruhusu magendo ya madeni, rasilimali za Taifa, magari na vyakula.
Naamini wapo watu wanalipwa maeneo haya yasiwe na mfumo na wanakata mrabaha mkubwa huko juu waendelee kutorosha Tanzanite kupitia Tarakea, waingize na kutorosha gold kupitia Rukwa na Katavi, watoroshe mapato kupitia maeneo yaliyoachwa bila kuwekewa mifumo na kwenda kutakatisha fedha nje.
Fanya tathimini mipaka mingapi wageni na Watanzania wanatumia mifumo kama ya viwanja vya ndege? Ukianzia bandari ya Dar utaona udhibiti wa mizigo kutoka Zanzibar unavyofanyika ; hii ikupe picha ya hali ilivyo huko mikoani.
Je, wanaokwamisha mifumo isifungwe wanafanya nini ofisini? Mnapataje taarifa za wasafiri na mizigo inayoingia nchini? Unafahamu idadi ya magari yanayoletwa na kudump-wa Tanzania kisha wahusika wanarejea kwao? Unafahamu bidhaa kiasi gani zinaingizwa kutokea bandari ya Dsm nakuzungushwa kwenda nje ya nchi kisha kurejeshwa nchini?
Naamini Unayo nguvu na mamlaka ya kumsaidia Mhe. Rais kwa kuangalia mianya ya upotevu wa mapato ya nchi kupitia mipika yetu na kufunga mifumo madhubuti
NI fedhea kuangaika na EFD kwa walala hoi huku mkiacha mipaka bila udhibiti......mtazidi kuwanyonya Watanzania kwa makodi mengi huku wageni wakimataifa wakishirikiana na Watanzania wakiendelea kuingiza magendo nchini na kunufaika na soko letu.
Wapo wageni na Watanzania wengi wanaingia na kutoka nchini Bila kuingizwa kwenye mifumo mipakani Kwa Sababu hakuna mifumo.
Fanya dhiara yakushtukiza kwenye mipaka yetu uone Hali ilivyo na namna serikali inavyopata hasara kubwa Kwa kuruhusu magendo ya madeni, rasilimali za Taifa, magari na vyakula.