Ikulu ya Magufuli
Kwa sasa Magufuli anamiliki Kaburi lake tuIkulu ya Magufuli
Ya Watanzania.Ikulu ya Magufuli
hapo kwa Nape ni nini hicho?Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 03 Mei, 2023.
View attachment 2608488
Kama Utani,Magufuli angekuwepo nusu ya mawaziri waliopo hapo wasingekuwepo.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 03 Mei, 2023.
View attachment 2608488
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 03 Mei, 2023.
View attachment 2608488
Duuuh hopelessIkulu ya Magufuli
Ssssshhhhh , tokea lini Ikulu ikawa ya mtu..!!
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo Jumatano Mei 03, 2023 ameongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.
View attachment 2608517View attachment 2608518View attachment 2608519
Hujitambui weweVikao visivyo na maana