Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Aliyeporwa fefha zake, anapaswa aishitaki serikali na sio serikali kushughurikia malalamiko hewa ya wakwepa kodi Serikali Kulipa fedha yoyote Kwa mfanya bishara bila kuwepo madai ya kimahakama...
25 Reactions
121 Replies
5K Views
Mkuu wa Wilaya ya Kilosa amewaonya wakulima wa Kilosa wasithubutu kumpa jukwaa la kuongea kiongozi aina ya Bashiru Naye mwenyekiti wa CCM wa Kilosa Mzee Mbaraka amesema Dr Bashiru amepotea Njia...
12 Reactions
83 Replies
6K Views
Kiukweli hii kitu inaitwa Sukuma Gang haikuwa kitu halisi kwa sababu Shujaa Magufuli alikuwa ni Jeshi la Mtu mmoja aliyekamata mihimili yote mitatu. Magufuli hakuwa na Wapambe ila Watu...
1 Reactions
6 Replies
744 Views
Kwa Sasa kila mwanaccm anasimama na kusema chochote huku huyu akimtisha yule Najiuliza tu mtatuzi wa migogoro mingi ndani ya Chama alikuwa Mzee Mkapa na Wote walimwogopa Sasa Mkapa amelala, je...
2 Reactions
13 Replies
829 Views
Katika suala ambalo napenda kuwaasa watanzania wenzangu. Siasa ni mchezo kama michezo mingine. Tushindane kwa hoja sio kutishana wala kuwekeana maneno ya ugomvi. Tujibizane kwa hoja ndio siasa...
0 Reactions
2 Replies
417 Views
Sasa leo wameanza kukiri waenyewe tena wazi wazi kabisa, mwanzoni tuliambiwa sijui wanajiteka wenyewe mara walikua mafisadi. -- “Wakati wa serikali ya awamu ya tano,tulilalamika hata Bungeni...
2 Reactions
10 Replies
694 Views
Naingia kwenye mada moja kwa moja. Leo katika kipindi cha uchambuzi wa magazeti kupitia redio ya Wasafi FM, imeelezwa kwamba wale wafanyabiashara walioporwa mabilioni ya fedha na kikosi kazi...
24 Reactions
155 Replies
8K Views
Kwa mateso wanayoyapata wananchi wa kanda ya ziwa baada ya kifo cha mpendwa wao, ni wazi wananchi wa Geita hawamuelewi Joseph Musukuma anakotaka kuwapeleka. Hadi sasa wananchi wa Geita vijijini...
7 Reactions
14 Replies
2K Views
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka kuwa mgeni rasmi kwenye tamasha la " The Big Praise CONCERT " FPCT KURASINI kesho tarehe 20|11|2022 kuanzia...
9 Reactions
134 Replies
5K Views
Kiutani utani tu popularity ya Bashiru imeongezeka ghafla Sana yeye ni Team Hustlers anawapigania wanyonge wacha nao wanaowapigania mabwenyenye tuwaone wanaendeleaje
2 Reactions
13 Replies
1K Views
CCM imejaa unafiki wa hali ya juu,hakifai hata kidogo kuongoza dola. Pia soma > Nape ataka Akaunti ya Deni la Taifa ichunguzwe na iwekwe bayana Fedha hizo zilikopwa na kupelekwa wapi? Niwatakie...
1 Reactions
11 Replies
615 Views
Kipimo kilekile alichotumia Dkt. Bashiru akiwa Katibu mkuu wa CCM kuwapimia Membe, Kinana na Makamba ndicho kinatumiwa sasa kumpima yeye mwenyewe Mrema akiwa Waziri wa mambo ya Ndani aliagiza...
2 Reactions
4 Replies
618 Views
Wazo hili sio la kubomoa umoja wetu ila Ni kutaka tuwe na maendeleo ya haraka Na kupunguza majukumu mengi kwa serekali kuu Wazo langu ni kuwa kwanini kila mkoa hapa TZ usiwe na premier ministre...
0 Reactions
0 Replies
343 Views
Walimuita Magufuli mshamba kwa maana wao wajanja. Ujanja wenyewe kupiga dili kuhujumu maendeleo ya nchi. Awamu ya nne tuliambiwa gesi ndio itatatua tatizo la umeme. Tukaacha kwanza mpango wa...
18 Reactions
37 Replies
2K Views
Unaona tu jinsi ambavyo Rais anapambana. Hatulii nyumbani. Akitafuta pesa. Ila kuna watu watakuwa wanamkwamisha. Uongo? Ukikaa ukatizama utaona kuna watu wanampotosha sana Rais. Wanamdanganya...
7 Reactions
59 Replies
4K Views
CCM wanamuogopa B. Membe? Kwanini kauli hii ya Katibu Mkuu? Nimejiuliza kwanini asingeonywa badala yake wanamfukuza tena wanamtaka ombe radhi na kurudi? "Milango wanachama waliofukuzwa kuomba...
7 Reactions
112 Replies
14K Views
Naamini amjambo, Wakuu nawakalibisha katika mjadala huu wenye nia njema ya kupata mawazo ya nini kifanyike kuliponya taifa letu pendwa la Tanzania, Kwa watu wanao penda kufatilia siasa kama mimi...
0 Reactions
0 Replies
349 Views
Ndani ya ccm neno rushwa limekuwa ni wimbo wa kawaida sana. Msikilizeni mgombea wa ccm anavyo piga mayowe baada ya kufanya kitu mbaya.
4 Reactions
13 Replies
598 Views
UMATI UCHAGUZI WA CCM NI SALAMU ZA TSUNAMI 2024-2025. Shaka asema idadi hiyo kubwa inatokana na uongozi bora wa Rais Samia, Asisitiza uchaguzi wa mwaka huu umevunja rekodi kwa kuwa haijawahi...
4 Reactions
11 Replies
940 Views
Maliyamungu na Goebbels walikuwa ni majinamizi kwenye nchi zao. Walikuwa ni majini yaliyoshindwa kutosheka na damu. Walikuwa majitu makatili sana, yakasababisha nchi zao ziharibike kabisa. Bila...
2 Reactions
11 Replies
908 Views
Back
Top Bottom