CCM na Kwaya yao Maarufu ijulikanayo....
"ASALI CHOIR GROUP"
Huku wakitamba na kutambaa na "Albamu" Yao maarufu inayotamba kote "Wizarani" mpaka "Mashinani" ijulikanayo kwa jina la....
"TUMSIFU...
Kwa utaratibu wa siasa za Kiafrika ninashauri haraka iwezekavyo katiba ya nchi ibadilishwe na kiongozi yeyote wa chama asiwe au asichaguliwe kuwa Rais wa nchi.
Utaratibu uliopo ni ndoto nchi...
Tangu nimeamka asubuhi na mapema umeme katika mtaa wangu haujarudi wananchi ambao ni wachomeleaji na wauzaji wa juice pamoja na mama ntilie wameisoma namba
Wito wangu kwa serikali kwa hiyo mbinu...
Jana wamekata saa 1 asubuhi. Umerudi usiku saa sita. Saa hizi saa moja wamekata. Huu siyo mgao, ni kama tu hakuna umeme. Nafikiri serikali imeshindwa kuzalisha na kusambaza umeme. Na hata hilo...
Hii kauli imenishangaza sana! Na hasa kwa vile imetoka kwa Katibu Mkuu wa CCM.
Akizungumza leo Ndugu Daniel Chongolo ambaye ni Katibu Mkuu wa CCM, amedai kwamba CCM ni chama kikubwa na kwamba...
Rais Samia ogopa sifa za wanasiasa,zimejaa unafiki wa hali ya juu sana,wengi wao wanatarajia teuzi,wengine ni wasiadizi wako wanashindwa kutimiza majukumu yao, wanajificha kwenye kichaka cha...
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM UVCCM, Kenani Kihongosi amemtaka Dkt. Bashiru aombe radhi kutokana na kauli yake aliyotoa wakati wa mkutano mkuu wa Mviwata, Kenani amekiomba chama...
Kigwangalla una laana ya yule Twiga uliemgonga kule TarangireNationalPark!
Tangia ile ajali ni kama Dishi lako liliyumba mpaka leo hii.
Na kwa haya unayoyafanya.....
*Kwa kumuandama...
Hao watu (wana CCM) wanachukiana mno na siku ikitimu ya wao kulipana visasi amini nawaambia kwacho kitakuwa kisasi cha kutisha!
CCM hawapendani hatari na sababu hasa ni maslahi yao binafsi na...
Ili kunogesha siasa za nchi yetu nashauri wanasiasa wote ndani ya CCM na nje ya CCM wanaoona wanaweza kuwa marais wa nchi watangaze mapema waanze kujijenga na kutoa sera zao mbadala mapema.
Watu...
Najiuliza Huyu Dkt. Bashiru ni mjamaa? Maana wajamaa ndio hupenda kutumia hili Neno Wanyonyaji
Wakati wa Nyerere tuliimba
"Mabepari walia kukatiwa mirija ya unyonyaji walipotangaziwa Azimio la...
“Kama Dr. Bashiru ni msomi kama mimi, ana PhD kama yangu inakuwaje tusimsifu Rais Samia. Ni mradi gani ambao leo umesimama. Anasimama mtu mmoja anakatisha watu tamaa. Haya mazuri yote yanayofanywa...
Mimi binafsi kama kijana wa kitanzania, ambaye utawala wa awamu ya Tano nusu unitoe roho Kwa presha pale nilipoenda TRA na kukutana na kikosi kazi kilichoundwa na Mh. Makamu wa Rais wa Sasa enzi...
Si kila kitu cha kusifia, kwani kuupiga mwingi ndio matokeo mazuri, au ndio kupata ushindi?
Hata kwenye Football, unaweza uupigwe mwingi alafu ufungwe tu, yani unaupigwa mwingi alafu hupati...
Nimeona mwana-CCM mmoja amevaa t-shirt yenye maneno hayo muda si mteu hapa Dodoma mjini.
Swali ni je, tuko kwenye kampeni?
Pili, kwasababu uchaguzi uliopita Samia hakugombea uraisi, bali...
Baada ya kusuasua kukamilika kwa mradi wa Dege Eco Village kwa thamani ya dola 653 milioni za Marekani (zaidi ya Sh1.3 trilioni), Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) lililokuwa...
Tulionya umeme wa maji sio wa uhakika kwa sababu mvua hazitabiriki siku hizi kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa duniani.
Umeme wa uhakika ungekuwa ule wa gesi kule kusini.
Lakini watu...
Sijafurahishwa na mfululizo wa kejeli, matusi na majibu dhidi ya Dr. Bashiru mara baada ya yeye kutumia Uhuru wa kikatiba wa kujieleza.
Nafahamu akiwa "mtoto pendwa" awamu ya 5 Dr. Bashiru...
Kwanini mnafanya jambo la nchi kama personal ama family issues?
Unapofail katika jukumu la kitaifa, ukionekana hutoshi mahala kama unajua hilo ni jambo la kitaifa na sio personal basi ni rahisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.