Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

CCM na Kwaya yao Maarufu ijulikanayo.... "ASALI CHOIR GROUP" Huku wakitamba na kutambaa na "Albamu" Yao maarufu inayotamba kote "Wizarani" mpaka "Mashinani" ijulikanayo kwa jina la.... "TUMSIFU...
0 Reactions
2 Replies
392 Views
Kwa utaratibu wa siasa za Kiafrika ninashauri haraka iwezekavyo katiba ya nchi ibadilishwe na kiongozi yeyote wa chama asiwe au asichaguliwe kuwa Rais wa nchi. Utaratibu uliopo ni ndoto nchi...
1 Reactions
0 Replies
467 Views
Tangu nimeamka asubuhi na mapema umeme katika mtaa wangu haujarudi wananchi ambao ni wachomeleaji na wauzaji wa juice pamoja na mama ntilie wameisoma namba Wito wangu kwa serikali kwa hiyo mbinu...
0 Reactions
12 Replies
680 Views
Jana wamekata saa 1 asubuhi. Umerudi usiku saa sita. Saa hizi saa moja wamekata. Huu siyo mgao, ni kama tu hakuna umeme. Nafikiri serikali imeshindwa kuzalisha na kusambaza umeme. Na hata hilo...
13 Reactions
36 Replies
2K Views
Hii kauli imenishangaza sana! Na hasa kwa vile imetoka kwa Katibu Mkuu wa CCM. Akizungumza leo Ndugu Daniel Chongolo ambaye ni Katibu Mkuu wa CCM, amedai kwamba CCM ni chama kikubwa na kwamba...
20 Reactions
103 Replies
7K Views
Rais Samia ogopa sifa za wanasiasa,zimejaa unafiki wa hali ya juu sana,wengi wao wanatarajia teuzi,wengine ni wasiadizi wako wanashindwa kutimiza majukumu yao, wanajificha kwenye kichaka cha...
5 Reactions
6 Replies
467 Views
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM UVCCM, Kenani Kihongosi amemtaka Dkt. Bashiru aombe radhi kutokana na kauli yake aliyotoa wakati wa mkutano mkuu wa Mviwata, Kenani amekiomba chama...
1 Reactions
28 Replies
3K Views
Kigwangalla una laana ya yule Twiga uliemgonga kule TarangireNationalPark! Tangia ile ajali ni kama Dishi lako liliyumba mpaka leo hii. Na kwa haya unayoyafanya..... *Kwa kumuandama...
4 Reactions
10 Replies
753 Views
Hao watu (wana CCM) wanachukiana mno na siku ikitimu ya wao kulipana visasi amini nawaambia kwacho kitakuwa kisasi cha kutisha! CCM hawapendani hatari na sababu hasa ni maslahi yao binafsi na...
5 Reactions
1 Replies
518 Views
Huyu ndiye aliyekuwa mbunge wa Temeke kabla ya kuangushwa 2015 , lakini 2020 amerudi tena .
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Ili kunogesha siasa za nchi yetu nashauri wanasiasa wote ndani ya CCM na nje ya CCM wanaoona wanaweza kuwa marais wa nchi watangaze mapema waanze kujijenga na kutoa sera zao mbadala mapema. Watu...
2 Reactions
4 Replies
511 Views
Najiuliza Huyu Dkt. Bashiru ni mjamaa? Maana wajamaa ndio hupenda kutumia hili Neno Wanyonyaji Wakati wa Nyerere tuliimba "Mabepari walia kukatiwa mirija ya unyonyaji walipotangaziwa Azimio la...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
“Kama Dr. Bashiru ni msomi kama mimi, ana PhD kama yangu inakuwaje tusimsifu Rais Samia. Ni mradi gani ambao leo umesimama. Anasimama mtu mmoja anakatisha watu tamaa. Haya mazuri yote yanayofanywa...
10 Reactions
58 Replies
6K Views
Mimi binafsi kama kijana wa kitanzania, ambaye utawala wa awamu ya Tano nusu unitoe roho Kwa presha pale nilipoenda TRA na kukutana na kikosi kazi kilichoundwa na Mh. Makamu wa Rais wa Sasa enzi...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Si kila kitu cha kusifia, kwani kuupiga mwingi ndio matokeo mazuri, au ndio kupata ushindi? Hata kwenye Football, unaweza uupigwe mwingi alafu ufungwe tu, yani unaupigwa mwingi alafu hupati...
6 Reactions
16 Replies
889 Views
Nimeona mwana-CCM mmoja amevaa t-shirt yenye maneno hayo muda si mteu hapa Dodoma mjini. Swali ni je, tuko kwenye kampeni? Pili, kwasababu uchaguzi uliopita Samia hakugombea uraisi, bali...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Baada ya kusuasua kukamilika kwa mradi wa Dege Eco Village kwa thamani ya dola 653 milioni za Marekani (zaidi ya Sh1.3 trilioni), Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) lililokuwa...
12 Reactions
198 Replies
19K Views
Tulionya umeme wa maji sio wa uhakika kwa sababu mvua hazitabiriki siku hizi kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa duniani. Umeme wa uhakika ungekuwa ule wa gesi kule kusini. Lakini watu...
14 Reactions
56 Replies
2K Views
Sijafurahishwa na mfululizo wa kejeli, matusi na majibu dhidi ya Dr. Bashiru mara baada ya yeye kutumia Uhuru wa kikatiba wa kujieleza. Nafahamu akiwa "mtoto pendwa" awamu ya 5 Dr. Bashiru...
29 Reactions
131 Replies
8K Views
Kwanini mnafanya jambo la nchi kama personal ama family issues? Unapofail katika jukumu la kitaifa, ukionekana hutoshi mahala kama unajua hilo ni jambo la kitaifa na sio personal basi ni rahisi...
9 Reactions
10 Replies
987 Views
Back
Top Bottom