Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kama ulivyo Urais, nafasi hizi nazo ziwe na ukomo. Hakuna sababu ya msingi mtu mmoja kuwa mbunge miaka 20. Na jambo hili wasipewe Bunge kuamua. Kuna wabunge wamechosha kabisa. Mtu amekaa bungeni...
1 Reactions
6 Replies
808 Views
Dr Musukuma amesema Chadema ndio waliozusha uwepo wa kundi la Sukuma Gang Kwamba awali Chadema walitaka kuweka Ngome yao Mwanza wakadhibitiwa baadae wakataka kuweka Ngome Geita wakawafurusha na...
2 Reactions
9 Replies
665 Views
Nimekuwa nikitafiti mwenendo wa performance wa shirika letu la umeme kwa muda mrefu, ila sikuweza kufanikiwa kupata takwimu kwa wakati. Nikimaanisha takwimu za kifedha za shirika letu hili...
11 Reactions
92 Replies
8K Views
Leo nawaelezakile am.acho. nimekishuhidua na kukwazika nacho leo kwa upuuzi wa ajabu wa huyu mama alichotufanyia leo wakulima wa mkoa wa Iringa. Ni hivi, jana mchana nilipigiwa simu na...
5 Reactions
33 Replies
3K Views
. Kwanza, hao watawala wote waliopo madarakani, sisi wapinzani wala hatukuhusika kuwachagua bali wote hao waliwekwa kibabe mwaka 2020 na 'mwendazake' pamoja na Bashiru Ally. Kwahiyo, matatizo...
2 Reactions
13 Replies
876 Views
Daudi Mchambuzi ukiwa hapo Machame nadhani unakikumbuka kile kikosi hatari cha Bush Stars chini ya team captain Mzee Meko na golikipa Madenge. Katikati unawakuta akina Sukununu, Kipepe, Kifimbo...
10 Reactions
18 Replies
1K Views
Watanzania tunaweza kuwa tuna matatizo vichwani kwetu aisee, unakuta swala la mgao wa umeme analalamikiwa Makamba, kivipi? Makamba ana husika vipi? Swala la tozo au kodi, mara lawama zote kwa...
1 Reactions
0 Replies
315 Views
Kwa wanaijua na waliowahi kusafari na ndege watakubaliana na ukweli kuwa milango ya ndege inaweza kufunguliwa na mtu akiwa ama nje ya ndege au ndani ya ndege. Wahudumu wa ndege wamefundishwa...
12 Reactions
64 Replies
4K Views
Siku moja mbwa wa uswazi akiwa kakonda na manyoya yamenyonyoka kwa kukosa matunzo, alianza kukatiza mitaa akitafuta msosi. Mbwa huyo alizunguka sana ghafla akajikuta ushuani. Akamuona mbwa wa...
1 Reactions
1 Replies
657 Views
Kwa Prof Mbarawa sasa majipu yanalipuka kila uchao ndani ya wizara yake. Tumeona ya Precision Bukoba, tumesikia ya ndege za Air Tanzania kuwa grounded. Huko SGR na matreni bado kizungumkuti, mapya...
0 Reactions
1 Replies
372 Views
Rais Samia Suluhu Hassan amesema “Tulikuwa tunaangalia magereza yetu tukabaini waliofungwa na walio mahabusu idadi yao ni kama ilikuwa sawa, wengi wao ni kesi za kubambikwa ndio maana unakuta mtu...
12 Reactions
52 Replies
4K Views
Kuna maneno aliwahi kuyasema Mzee Msekwa, yapo Youtube na kwingineko huko...kwamba wananchi wanaweza kumvumilia kiongozi katili na mbaya kwa miaka mitano tu lakini si zaidi ya hapo...zaidi ya hapo...
48 Reactions
163 Replies
14K Views
Kwamujibu wa shirika la takwimu la Taifa ( NBS ) hadi mwishoni mwamwaka jana na mwanzoni mwamwaka huu Pato Ghafi la Taifa kwa bei ya wakati ( GDP at current price) lilifikia TZS...
20 Reactions
325 Replies
25K Views
Ajira nyeti makwetu kigezo ni JKT na hasa SUMA JKT. Wenzetu wana lenga graduates: DCI targets graduate officers for new crime prevention unit Jamii mbili hizi zinafanana kijiografia. Wote ni...
1 Reactions
8 Replies
716 Views
1.iweje mabehewa ya umbali mrefu yatangulie wakati reli yenyewe kipande cha dar to moro kinategemea kuanza Feb 2023? 2.Picha ya treni na mabehewa yaliyoagizwa na serikali na kuwekwa kwenye tovuti...
0 Reactions
2 Replies
413 Views
Haki ni haki bila kujali maslahi binafsi ya awaye yote. Kwa bahati mbaya tumekuwa wabinafsi tusiotaka kuwa sehemu ya kupigania haki hizo. Tumekuwa kama wapenzi watazamaji wengine wanapojaribu...
12 Reactions
45 Replies
3K Views
SHAKA ANAANZA KWA KUSEMA KUWA, RAIS SAMIA NI KIOO KINACHOAKISI THAMANI YA TANZANIA NA WATANZANIA, KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amesema...
7 Reactions
57 Replies
4K Views
Waziri Byabato: "tumelazimika kuleta wakandrasi wenye gharama kubwa ili kurekebisha hitilafu kwenye mitambo ya Gesi ya Kinyerezi" Baada ya Mvua kunyesha, wamebadili visingizio? Bado CCM mnazidi...
7 Reactions
20 Replies
2K Views
Nilikua bado nina shaka kama kweli uongozi wa mama unarudisha wahuni na wapigaji wa awamu ya nne ila matokeo ya chaguzi za CCM zinazoendelea ndio zimenitoa shaka. Kwa mfano uchaguzi wa Karamagi...
6 Reactions
33 Replies
2K Views
Back
Top Bottom