Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dkt. Samwel Shelukindo amekutana na kuzungumza na mabalozi wa China, Kenya, Denmark, Italia na Sudan kwa nyakati...
Nimeona mambo ambayo yameeainishwa kwenye mtaala mpya, lakini sijaona somo la kilimo ambalo lina ajiri 80% ya watanzania.
Somo hili la kilimo ambalo lina beba kilimo kwa maana ya mashamba...
Tanzania imeeleza dhamira yake ya kuendelea kuimarisha ushirikiano wake na Serikali ya Uingereza katika sekta za biashara pamoja na uwekezaji.
Dhamira hiyo imeelezwa na Waziri wa Mambo ya Nje na...
Kuchekelea na kufurahia anapokufa mtu hata kama huyo mtu alikuwa adui yako, bado ni ujinga!
Kauli ya wazuri hawafi, ilikuwa ni kauli moja Wapo kutoka kwa mtu mjinga aliyesahau kuwa naye iko siku...
Mbunge wa Masasi aliyewahi kuwa Waziri wa Biashara na Uwekezaji mh Mwambe amesema mifumo ya sasa ya TRA siyo rafiki, imejaa Uonezi na ni Sumbufu.
Mwambe amesema hii inatokana na kila mmoja pale...
Chadema ni wazi kwamba wanajinasibu kwamba wanapenda saaana katiba na utawala wa sheria, na wamekaza shingo na meno wakitaka katiba mpya.
Kwa nini wanataka kuingilia Uhuru wa mahakama...
Nashauri tusiishie kuomboleza kifo Cha Magufuli na Membe ila tusogeze fikra zetu na kujitafakari sisi kama Tanzania na watanzania wake Kwa ujumla.
Kuna Nini kati ya Tanzania na Muumba wetu wa...
Sioni tena namna mtu yeyote atakejiliwa katika masuala ya afya kama alivyokejeliwa Edward Lowassa kuanzia 2014-2015 katika harakati za kusaka madaraka makubwa ya nchi.
Sioni tena mwanasiasa...
Kuna matukio yanatokea Tanzania yanasikitisha Sana
Katika mazingira ya Tanzania ambaye aliweza kuutafuta urais na akaupata ni Hayati baba wa TAIFA na Rais Kikwete born town the rest hawakutafuta...
Binadamu siku zote hufanya mahesabu kabla ya kufanya jambo lolote lile. Hakuna binadamu anayefanya jambo ilimradi tu, ukiona binadamu anafanya jambo ujue ana mategemeo fulani.
Kuna dalili zote...
Nimemtazama Lowassa akiwa kwenye harakati za kusaka wadhamini 30 kila mkoa, nimemuhurumia sana. Nikajiuliza, let's say chama chake kimpitishe kugombea jambo ambalo sio rahisi sana. Je, ataiweza...
Watanzania tuache unafiki. Wakati Musiba anamtukana membe watu wote tulisikia na hao maaskofu walisikia.
Wananchi tulinyamaza hakuna aliyesimama kumkaripia au kumkataza musiba asimtukane membe na...
Tunakumbushana tu hayo ndio majina 5 yaliyopitishwa na Kamati Kuu ya CCM kugombea Urais wa JMT
Ni kwamba hao wote Wana sifa za kuwa Rais wa JMT
Waliokosa sifa Kamati Kuu ya CCM iliwatema...
Mahakama kuu ya Tanzania imetoa hukumu ya kesi ya kuchafuliwa jina iliyokuwa ikimkabili mkurugenzi mkuu wa gazeti la Tanzanite na mwanaharakati huru, ndugu Musiba dhidi ya aliyekuwa Waziri wa...
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri.
Huu ni utabiri wangu wa kimaono. Mwenye Presidential Image ndani ya CCM kwa sasa sioni zaidi ya BCM a.k.a kachero mbobezi.
Pamoja na uzoefu wake ktk siasa...
Salaam Wakuu,
Mwanadiplomasia wa Kimataifa Bernard Kamillius Membe, amedai hajawahi kuhama CCM, bali ilifanyika fitini na watu wachache ambao sasa hawapo kwenye Utawala wa CCM ili asigombee urais...
KISHINDO CHA MEMBE KUREJEA CCM,SHAKA AONGOZA MAPOKEZI.
ALIYEKUWA mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015, kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Bernard...
Membe pamoja na porojo zote ulizonazo mdomoni za kuchafua aliyekuwa raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania DR.JOHN POMBE MAGUFULI kamwe huwezi kuwa saizi yake katika utendaji wala ushawishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.