ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,076
- 49,784
Mbunge mwenye akili kubwa Jummanne Kishimba amewatolea uvivu Wataalamu uchwara wa Tanzania ambao wanataka kufunga Ziwa Tanganyika na Victoria Kwa visingizio vya Samaki Kupungua.
Amesema Samaki wamepungua Kwa sababu gharama za Uvuvi ziko Juu na kazi ya Uvuvi ni kubahatisha sio uhakika akitolea mfano wa Yesu alipokuta Simon na Petro wamekosa Samaki mbona Ziwa Galilaya Halikufungwa?
Aisha amewataka wanaojiita wataalu wawe wanafikiria kabla ya kukurupuka akistolea mfano wa Wanyama wa kufungwa wanaozaa mtoto mmja na wanyama hawapungui iweje Samaki mmja anaweza mamilioni ya vifaranga Samaki wapungue?
Msikilize hapa 👇
Amesema Samaki wamepungua Kwa sababu gharama za Uvuvi ziko Juu na kazi ya Uvuvi ni kubahatisha sio uhakika akitolea mfano wa Yesu alipokuta Simon na Petro wamekosa Samaki mbona Ziwa Galilaya Halikufungwa?
Aisha amewataka wanaojiita wataalu wawe wanafikiria kabla ya kukurupuka akistolea mfano wa Wanyama wa kufungwa wanaozaa mtoto mmja na wanyama hawapungui iweje Samaki mmja anaweza mamilioni ya vifaranga Samaki wapungue?
Msikilize hapa 👇