Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,506
- 46,036
Huwezi kuwa mwanasiasa au kiongozi serious unaitisha mkutano wa waandishi wa habari halafu unaanza kutishia una majina yako mfukoni ya watu mashuhuri sijui ya watu mafisadi, wanahujumu nchi, wanamuhujumu kiongozi, mashoga, wanauza dawa za kulevya n.k
Hizi ni siasa za kipuuzi, za kutafuta kiki, uchawa, na uchwara pia. Kama unayo majina ya watu fulani si uyapeleke sehemu husika au uyatoe hadharani kuliko kutishia tishia unawajua na utawataja hadharani. Haifai kufanya siasa za kitoto hivi kwa watu wazima wanaonekana wamekuwa na wamepevuka akili. Watu wa aina hii ni jokers tu.
Hizi ni siasa za kipuuzi, za kutafuta kiki, uchawa, na uchwara pia. Kama unayo majina ya watu fulani si uyapeleke sehemu husika au uyatoe hadharani kuliko kutishia tishia unawajua na utawataja hadharani. Haifai kufanya siasa za kitoto hivi kwa watu wazima wanaonekana wamekuwa na wamepevuka akili. Watu wa aina hii ni jokers tu.