BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 5,496
- 14,113
Naona waziri mkuu analalamika ohoo TRA wana dharau, mara hivi mara vile, Kama kuna kuna sheria wamevunja kwa ninin wasiwajibiswe? Hizi hadaa ni wajinga pekee wanao weza kuzinunua hizi hadaa.
Haiingii akilini Waziri mkuu anaanza kulalamika na Mic mara wana mdharau Raisi, mara Makamo wa Raisi mara sijui nani,
Swala ni je wanayo yafanya TRA yako nje ya sheria au ndani ya sheria zao?;
Pia nasikia vikao vya ndani huwa hawa hawa TRA wanaambiwa watumie kila njia pesa ipatikane ya kuendesha nchu ikiwemo na kulilipana posho. Hawa TRA huwa wanapewa target tena kubwa sana.
Huku nje Viongozi wanaonekana kama wako na wananchi na hawawapendi TRA ila ukwelu ni tofauti kabisa, wakiwa wenyewe na Maofisa wa TRA ni full target na kuambiwa wafanye kila njia pesa ipatikane.
Hizi ni hadaaa kubwa sana
Haiingii akilini Waziri mkuu anaanza kulalamika na Mic mara wana mdharau Raisi, mara Makamo wa Raisi mara sijui nani,
Swala ni je wanayo yafanya TRA yako nje ya sheria au ndani ya sheria zao?;
Pia nasikia vikao vya ndani huwa hawa hawa TRA wanaambiwa watumie kila njia pesa ipatikane ya kuendesha nchu ikiwemo na kulilipana posho. Hawa TRA huwa wanapewa target tena kubwa sana.
Huku nje Viongozi wanaonekana kama wako na wananchi na hawawapendi TRA ila ukwelu ni tofauti kabisa, wakiwa wenyewe na Maofisa wa TRA ni full target na kuambiwa wafanye kila njia pesa ipatikane.
Hizi ni hadaaa kubwa sana