Leo Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa amefanya jambo Kubwa sana namna alivyotatua Mgomo wa wafanyabiashara.
Mambo makubwa nimejifunza kupitia mgogoro wa Leo Moja amekuwa sehemu ya wenye Tatizo, amekuwa mwalimu mzuri katika kufundisha namna ya kutatua migogori katika Jamii na Kubwa ameshirikisha hadhira katika utatuzi wa CHANGAMOTO iliyojitokeza kariakoo ya Wafanyabiashara
Kubwa kushinda yote ameifanyakazi aliyotumwa na Mhe. RAIS DKT SAMIA SULUHU HASSAN Kwa mafanikio makuu huku ndio kumuwakilisha RAIS kunavyotakiwa Kwa Wananchi
TUMPE MAU YAKE KATIKA KULINDA SOKO LA KIMATAIFA LA KARIAKOO
Mambo makubwa nimejifunza kupitia mgogoro wa Leo Moja amekuwa sehemu ya wenye Tatizo, amekuwa mwalimu mzuri katika kufundisha namna ya kutatua migogori katika Jamii na Kubwa ameshirikisha hadhira katika utatuzi wa CHANGAMOTO iliyojitokeza kariakoo ya Wafanyabiashara
Kubwa kushinda yote ameifanyakazi aliyotumwa na Mhe. RAIS DKT SAMIA SULUHU HASSAN Kwa mafanikio makuu huku ndio kumuwakilisha RAIS kunavyotakiwa Kwa Wananchi
TUMPE MAU YAKE KATIKA KULINDA SOKO LA KIMATAIFA LA KARIAKOO