Humphrey Polepole, una sifa za kuwa Rais wa Tanzania

Magufuli 05

JF-Expert Member
May 7, 2023
943
1,989
Mimi ni Mtanzania wa kuzaliwa, Nina haki ya kutoa maoni yangu kama ilivyowekwa katika katiba yetu na tamko la Haki za Binadamu. Kwanini nasema unafaa kwasasa?

1. Nimekufuatilia nimeona una uthubutu,
2. Ni mjamaa mbepari, falsafa nzuri kuongoza taifa kama letu.
3.Ni mzalendo na mwadilifu
4. Unapenda kuona kila mtumishi akiwajibika kwa nafasi aliyoaminiwa na serikali.
5. Ni mwepesi kutatua kero kwa wakati sahihi,hutaki kuchelewa.
6. Unasikiliza watu hata wenye kipato cha CHINI, Sifa ambayo wengi hawana.
7. Ni mnyenyekevu wa kuzaliwa na si wakuomba kura. Wengi Sifa hii hawana.
8. Una ndoto ya kuona nchi inajitegemea kwa kutumia raslimali watu na vitu kukwepa mtego wa nchi za magharibi wa misaada na mikopo kandamizi.
9. Unachukia kutoka moyoni ufisadi na viongozi wabadhirifu.
10. Una uwezo wa kujenga hoja pamoja na ushawishi wa kumfanya mtu atamani kukusikiliza na asichoke. Hii Sifa nimeifuatilia kwa muda kidogo. Watu wengi hawana pia.

Sasa ushauri wangu kama itakupendeza 2025, chukua fomu kupitia chama kingine na si hiki cha sasa unachofanya nacho kazi kwasasa kwani wenye chama Chao wana mipango Yao ya ndege wafananao huruka pamoja.

Kwa uwezo na fikra zako nionavyo unafanya kazi na watu wasio sahihi kwako. Hebu nenda chama kingine na mtengeneze alliance na vyama vyenye nia thabiti na nchi yetu. Na pia uwe na watu sahihi.

Usiogope tafadhali kupima ubavu wa CCM, haijaandikwa popote kwamba CCM wata tawala milele. Kwa Hali ilivyomtaani, Watanzania wakipata mtu makini 2025 watafanya kile kisichotarajiwa. Mwingine atabeza na atakejeli hili lakini hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.

Naipenda Tanzania kwani ndiyo nchi yenye udongo pekee utakao nizika, napenda kuona ikipiga hatua kwa Kasi na kuwaondolea Watanzania unyonge huu. Tumechezewa Sana.

Viva Tanzania
 
Mimi ni Mtanzania wa kuzaliwa, Nina haki ya kutoa maoni yangu kama ilivyowekwa katika katiba yetu na tamko la Haki za Binadamu. Kwanini nasema unafaa kwasasa?
1. Nimekufuatilia nimeona una uthubutu,
2. Ni mjamaa mbepari, falsafa nzuri kuongoza taifa kama letu.
3.Ni mzalendo na mwadilifu

4. Unapenda kuona kila mtumishi akiwajibika kwa nafasi aliyoaminiwa na serikali.
5. Ni mwepesi kutatua kero kwa wakati sahihi,hutaki kuchelewa.
6. Unasikiliza watu hata wenye kipato cha CHINI, Sifa ambayo wengi hawana.
7. Ni mnyenyekevu wa kuzaliwa na si wakuomba kura. Wengi Sifa hii hawana.
8. Una ndoto ya kuona nchi inajitegemea kwa kutumia raslimali watu na vitu kukwepa mtego wa nchi za magharibi wa misaada na mikopo kandamizi.
9. Unachukia kutoka moyoni ufisadi na viongozi wabadhirifu.
10. Una uwezo wa kujenga hoja pamoja na ushawishi wa kumfanya mtu atamani kukusikiliza na asichoke. Hii Sifa nimeifuatilia kwa muda kidogo. Watu wengi hawana pia.

Sasa ushauri wangu kama itakupendeza 2025, chukua fomu kupitia chama kingine na si hiki cha sasa unachofanya nacho kazi kwasasa kwani wenye chama Chao wana mipango Yao ya ndege wafananao huruka pamoja.
Kwa uwezo na fikra zako nionavyo unafanya kazi na watu wasio sahihi kwako.
Hebu nenda chama kingine na mtengeneze alliance na vyama vyenye nia thabiti na nchi yetu. Na pia uwe na watu sahihi.
Usiogope tafadhali kupima ubavu wa CCM, haijaandikwa popote kwamba CCM wata tawala milele.
Kwa Hali ilivyomtaani, Watanzania wakipata mtu makini 2025 watafanya kile kisichotarajiwa. Mwingine atabeza na atakejeli hili lakini hakuna marefu yasiyokuwa na ncha,.
Naipenda Tanzania kwani ndiyo nchi yenye udongo pekee utakao nizika, napenda kuona ikipiga hatua kwa Kasi na kuwaondolea Watanzania unyonge huu. Tumechezewa Sana.
Viva Tanzania
Rais wa nyumbani kwenu
 
Mimi ni Mtanzania wa kuzaliwa, Nina haki ya kutoa maoni yangu kama ilivyowekwa katika katiba yetu na tamko la Haki za Binadamu. Kwanini nasema unafaa kwasasa?
1. Nimekufuatilia nimeona una uthubutu,
2. Ni mjamaa mbepari, falsafa nzuri kuongoza taifa kama letu.
3.Ni mzalendo na mwadilifu

4. Unapenda kuona kila mtumishi akiwajibika kwa nafasi aliyoaminiwa na serikali.
5. Ni mwepesi kutatua kero kwa wakati sahihi,hutaki kuchelewa.
6. Unasikiliza watu hata wenye kipato cha CHINI, Sifa ambayo wengi hawana.
7. Ni mnyenyekevu wa kuzaliwa na si wakuomba kura. Wengi Sifa hii hawana.
8. Una ndoto ya kuona nchi inajitegemea kwa kutumia raslimali watu na vitu kukwepa mtego wa nchi za magharibi wa misaada na mikopo kandamizi.
9. Unachukia kutoka moyoni ufisadi na viongozi wabadhirifu.
10. Una uwezo wa kujenga hoja pamoja na ushawishi wa kumfanya mtu atamani kukusikiliza na asichoke. Hii Sifa nimeifuatilia kwa muda kidogo. Watu wengi hawana pia.

Sasa ushauri wangu kama itakupendeza 2025, chukua fomu kupitia chama kingine na si hiki cha sasa unachofanya nacho kazi kwasasa kwani wenye chama Chao wana mipango Yao ya ndege wafananao huruka pamoja.
Kwa uwezo na fikra zako nionavyo unafanya kazi na watu wasio sahihi kwako.
Hebu nenda chama kingine na mtengeneze alliance na vyama vyenye nia thabiti na nchi yetu. Na pia uwe na watu sahihi.
Usiogope tafadhali kupima ubavu wa CCM, haijaandikwa popote kwamba CCM wata tawala milele.
Kwa Hali ilivyomtaani, Watanzania wakipata mtu makini 2025 watafanya kile kisichotarajiwa. Mwingine atabeza na atakejeli hili lakini hakuna marefu yasiyokuwa na ncha,.
Naipenda Tanzania kwani ndiyo nchi yenye udongo pekee utakao nizika, napenda kuona ikipiga hatua kwa Kasi na kuwaondolea Watanzania unyonge huu. Tumechezewa Sana.
Viva Tanzania
Wahi milembe haraka.

Tumejifunza wapenda sifa, wakurupukaji na washamba kuja kushika tena Urais wa nchi hii labda mwaka 5760
 
Watu watake, wasitake lazima Pole2 awe rais wa JMT. Hata kama yeye hataki, sie ^tutamlazimisha.^ :)

Humphrey Polepole, aka hechipii/HP ni mtu makini, mzalendo wa kweli; si mwoga na wala hasiti kusimama peke yake kwenye upande anaouamini; ni mfuatiliaji wa mambo, always up-to-date, charismatic, smart & intelligent; hana maringo, ni msikivu, anawapenda watu na maendeleo yao; si mbaguzi, hapendi makundi; anaijua nchi ya Tanzania na pia siasa anaijua vizuri; yeye ni mwiba na shoka la wapinzani na wafuasi wanafiki; ni mpenda-amani, ana elimu ya kutosha, na pia ni mwadilifu na mwenye maono makubwa yanayotekelezeka.

In a nutshell, ndiye mtu pekee kwa sasa anayeweza kuianimu (animate) nchi yetu katika mwendo wa mchakamchaka wa maendeleo mithili ya ule aliouanzisha Mr Chuma.
 
Mimi ni Mtanzania wa kuzaliwa, Nina haki ya kutoa maoni yangu kama ilivyowekwa katika katiba yetu na tamko la Haki za Binadamu. Kwanini nasema unafaa kwasasa?

1. Nimekufuatilia nimeona una uthubutu,
2. Ni mjamaa mbepari, falsafa nzuri kuongoza taifa kama letu.
3.Ni mzalendo na mwadilifu
4. Unapenda kuona kila mtumishi akiwajibika kwa nafasi aliyoaminiwa na serikali.
5. Ni mwepesi kutatua kero kwa wakati sahihi,hutaki kuchelewa.
6. Unasikiliza watu hata wenye kipato cha CHINI, Sifa ambayo wengi hawana.
7. Ni mnyenyekevu wa kuzaliwa na si wakuomba kura. Wengi Sifa hii hawana.
8. Una ndoto ya kuona nchi inajitegemea kwa kutumia raslimali watu na vitu kukwepa mtego wa nchi za magharibi wa misaada na mikopo kandamizi.
9. Unachukia kutoka moyoni ufisadi na viongozi wabadhirifu.
10. Una uwezo wa kujenga hoja pamoja na ushawishi wa kumfanya mtu atamani kukusikiliza na asichoke. Hii Sifa nimeifuatilia kwa muda kidogo. Watu wengi hawana pia.

Sasa ushauri wangu kama itakupendeza 2025, chukua fomu kupitia chama kingine na si hiki cha sasa unachofanya nacho kazi kwasasa kwani wenye chama Chao wana mipango Yao ya ndege wafananao huruka pamoja.

Kwa uwezo na fikra zako nionavyo unafanya kazi na watu wasio sahihi kwako. Hebu nenda chama kingine na mtengeneze alliance na vyama vyenye nia thabiti na nchi yetu. Na pia uwe na watu sahihi.

Usiogope tafadhali kupima ubavu wa CCM, haijaandikwa popote kwamba CCM wata tawala milele. Kwa Hali ilivyomtaani, Watanzania wakipata mtu makini 2025 watafanya kile kisichotarajiwa. Mwingine atabeza na atakejeli hili lakini hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.

Naipenda Tanzania kwani ndiyo nchi yenye udongo pekee utakao nizika, napenda kuona ikipiga hatua kwa Kasi na kuwaondolea Watanzania unyonge huu. Tumechezewa Sana.

Viva Tanzania
Alipe kisasi au atuletee ubabe wao wa V8
 
Mimi ni Mtanzania wa kuzaliwa, Nina haki ya kutoa maoni yangu kama ilivyowekwa katika katiba yetu na tamko la Haki za Binadamu. Kwanini nasema unafaa kwasasa?

1. Nimekufuatilia nimeona una uthubutu,
2. Ni mjamaa mbepari, falsafa nzuri kuongoza taifa kama letu.
3.Ni mzalendo na mwadilifu
4. Unapenda kuona kila mtumishi akiwajibika kwa nafasi aliyoaminiwa na serikali.
5. Ni mwepesi kutatua kero kwa wakati sahihi,hutaki kuchelewa.
6. Unasikiliza watu hata wenye kipato cha CHINI, Sifa ambayo wengi hawana.
7. Ni mnyenyekevu wa kuzaliwa na si wakuomba kura. Wengi Sifa hii hawana.
8. Una ndoto ya kuona nchi inajitegemea kwa kutumia raslimali watu na vitu kukwepa mtego wa nchi za magharibi wa misaada na mikopo kandamizi.
9. Unachukia kutoka moyoni ufisadi na viongozi wabadhirifu.
10. Una uwezo wa kujenga hoja pamoja na ushawishi wa kumfanya mtu atamani kukusikiliza na asichoke. Hii Sifa nimeifuatilia kwa muda kidogo. Watu wengi hawana pia.

Sasa ushauri wangu kama itakupendeza 2025, chukua fomu kupitia chama kingine na si hiki cha sasa unachofanya nacho kazi kwasasa kwani wenye chama Chao wana mipango Yao ya ndege wafananao huruka pamoja.

Kwa uwezo na fikra zako nionavyo unafanya kazi na watu wasio sahihi kwako. Hebu nenda chama kingine na mtengeneze alliance na vyama vyenye nia thabiti na nchi yetu. Na pia uwe na watu sahihi.

Usiogope tafadhali kupima ubavu wa CCM, haijaandikwa popote kwamba CCM wata tawala milele. Kwa Hali ilivyomtaani, Watanzania wakipata mtu makini 2025 watafanya kile kisichotarajiwa. Mwingine atabeza na atakejeli hili lakini hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.

Naipenda Tanzania kwani ndiyo nchi yenye udongo pekee utakao nizika, napenda kuona ikipiga hatua kwa Kasi na kuwaondolea Watanzania unyonge huu. Tumechezewa Sana.

Viva Tanzania

Viva Tanzania
 
Mimi ni Mtanzania wa kuzaliwa, Nina haki ya kutoa maoni yangu kama ilivyowekwa katika katiba yetu na tamko la Haki za Binadamu. Kwanini nasema unafaa kwasasa?

1. Nimekufuatilia nimeona una uthubutu,
2. Ni mjamaa mbepari, falsafa nzuri kuongoza taifa kama letu.
3.Ni mzalendo na mwadilifu
4. Unapenda kuona kila mtumishi akiwajibika kwa nafasi aliyoaminiwa na serikali.
5. Ni mwepesi kutatua kero kwa wakati sahihi,hutaki kuchelewa.
6. Unasikiliza watu hata wenye kipato cha CHINI, Sifa ambayo wengi hawana.
7. Ni mnyenyekevu wa kuzaliwa na si wakuomba kura. Wengi Sifa hii hawana.
8. Una ndoto ya kuona nchi inajitegemea kwa kutumia raslimali watu na vitu kukwepa mtego wa nchi za magharibi wa misaada na mikopo kandamizi.
9. Unachukia kutoka moyoni ufisadi na viongozi wabadhirifu.
10. Una uwezo wa kujenga hoja pamoja na ushawishi wa kumfanya mtu atamani kukusikiliza na asichoke. Hii Sifa nimeifuatilia kwa muda kidogo. Watu wengi hawana pia.

Sasa ushauri wangu kama itakupendeza 2025, chukua fomu kupitia chama kingine na si hiki cha sasa unachofanya nacho kazi kwasasa kwani wenye chama Chao wana mipango Yao ya ndege wafananao huruka pamoja.

Kwa uwezo na fikra zako nionavyo unafanya kazi na watu wasio sahihi kwako. Hebu nenda chama kingine na mtengeneze alliance na vyama vyenye nia thabiti na nchi yetu. Na pia uwe na watu sahihi.

Usiogope tafadhali kupima ubavu wa CCM, haijaandikwa popote kwamba CCM wata tawala milele. Kwa Hali ilivyomtaani, Watanzania wakipata mtu makini 2025 watafanya kile kisichotarajiwa. Mwingine atabeza na atakejeli hili lakini hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.

Naipenda Tanzania kwani ndiyo nchi yenye udongo pekee utakao nizika, napenda kuona ikipiga hatua kwa Kasi na kuwaondolea Watanzania unyonge huu. Tumechezewa Sana.

Viva Tanzania
Kama umempenda mpeleke kijijini kwenu akawe mwenyekiti wa kijiji
 
Mimi ni Mtanzania wa kuzaliwa, Nina haki ya kutoa maoni yangu kama ilivyowekwa katika katiba yetu na tamko la Haki za Binadamu. Kwanini nasema unafaa kwasasa?

1. Nimekufuatilia nimeona una uthubutu,
2. Ni mjamaa mbepari, falsafa nzuri kuongoza taifa kama letu.
3.Ni mzalendo na mwadilifu
4. Unapenda kuona kila mtumishi akiwajibika kwa nafasi aliyoaminiwa na serikali.
5. Ni mwepesi kutatua kero kwa wakati sahihi,hutaki kuchelewa.
6. Unasikiliza watu hata wenye kipato cha CHINI, Sifa ambayo wengi hawana.
7. Ni mnyenyekevu wa kuzaliwa na si wakuomba kura. Wengi Sifa hii hawana.
8. Una ndoto ya kuona nchi inajitegemea kwa kutumia raslimali watu na vitu kukwepa mtego wa nchi za magharibi wa misaada na mikopo kandamizi.
9. Unachukia kutoka moyoni ufisadi na viongozi wabadhirifu.
10. Una uwezo wa kujenga hoja pamoja na ushawishi wa kumfanya mtu atamani kukusikiliza na asichoke. Hii Sifa nimeifuatilia kwa muda kidogo. Watu wengi hawana pia.

Sasa ushauri wangu kama itakupendeza 2025, chukua fomu kupitia chama kingine na si hiki cha sasa unachofanya nacho kazi kwasasa kwani wenye chama Chao wana mipango Yao ya ndege wafananao huruka pamoja.

Kwa uwezo na fikra zako nionavyo unafanya kazi na watu wasio sahihi kwako. Hebu nenda chama kingine na mtengeneze alliance na vyama vyenye nia thabiti na nchi yetu. Na pia uwe na watu sahihi.

Usiogope tafadhali kupima ubavu wa CCM, haijaandikwa popote kwamba CCM wata tawala milele. Kwa Hali ilivyomtaani, Watanzania wakipata mtu makini 2025 watafanya kile kisichotarajiwa. Mwingine atabeza na atakejeli hili lakini hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.

Naipenda Tanzania kwani ndiyo nchi yenye udongo pekee utakao nizika, napenda kuona ikipiga hatua kwa Kasi na kuwaondolea Watanzania unyonge huu. Tumechezewa Sana.

Viva Tanzania
Maswali yako yote haya ni battili. Swali ni je
Wakati akiwa kama katibu mwenezi wa ma sisi Emu katika mfumo alikua anaweza kuyazongumza au ni baada ya kuondolewa katika mfumo wa kulamba juisi na asali ndopo anakuja na dhamira ya kuwaaniika wengine kisa anazijua siri za ndani. Mimi nadhani sio kauli sahihi kwa sifa unazommiminia hapana mm nafikiri baada ya kukaa nje ya mfumo anajivimbia kutokana na kujua mambo mengi so yuko radhi kuongea chochote akiwa anajua akiguswa na yeyote anauwezo wa kumchamubua A to Z so acha kuwadanganya wana jukwaa
 
Thanks, mkuu Pascal Mayalla kwa kuliona hili.

Kwa hii baraka yako kama mwanasheria mbobevu na makini, sie huku tunasema imepita hiyo, ni suala la muda tu! :)

NB: Unaonekana umeandika mambo mengi sana muhimu na yenye tija kwa ustawi wa taifa letu. I'll be glad to read your book one of these days!
 
Kumfananisha Pole pole na mwalimu Nyerere ni kumpa sifa ambazo hana, polepole ni kijana mzuri na anaweza kuja kuwa kiongozi mzuri huko mbele ya safari ila bado ana mambo mengi ya kujifunza, pia kiongozi wa ngazi ya Rais anatakiwa awe na sifa nyingi lakini miongoni mwazo lazima awe na;
  1. Busara
  2. Hekma
  3. Uthubutu
  4. Shupavu
  5. Mvumilivu
  6. Mwenye maono
  7. Mpenda haki
  8. Asiye Muoga
  9. Muwajibikaji
  10. Asiye na chuki ila anaechukua rushwa, dhuluma na ubazirifu wa mali za umma
  11. mcha Mungu na asiyependa kusifiwa
sasa tumpime ndugu yetu comred Polepole na sifa hizo hapo juu.
 

Kuna watu hawajahi kumuelewa Nyerere na hawamuelewi Polepole wala msaada wako Pascal Mayalla hawauelewi

Akili zao hazikubaliani na ukweli ila zinakubaliana na kile wanachokitaka wao

Humphrey Polepole ni hazina tumpe maua yake angali hai
 
Back
Top Bottom