Kama Taifa lingeongozwa kwa ungwana na huruma basi Taifa Hilo lazima liwe ktk hali dhoofu na kutowajibika kwa viongozi. Taifa linaongozwa kwa amri na taratibu Taifa linaongozwa kwa codes na nje ya hizo codes tunakula kichwa Taifa haliongozwi kama unavyo mlea mtoto hapana Taifa linaongozwa kwa mkono wa chuma kwa sababu wapo wanakitamani kiti kwahiyo ukikikalia kwa hey u know my friend wanakunyang'anya kiti. Lazima uwe mbabe na uwamini kile una kiamini lazima uwatoe jasho watu sio uwachekee watakupoteza hao lazima ufukuze ubadilishe ukemee Yani hakuna mtu kujiona salama...
Ukiona mtu anakuja ofisini na mikakati mitam na kucheka Cheka Yani mtumie kunguni, Chawa, viroboto mpaka panya Yaani akifika kwenye kiti chake ni kujikuna mwanzo mwisho halafu mwisho unampa nafasi kujitafakari... Ndio wanavyofanya viongozi wenzako Yani mtu anakuchekea Chekea halafu hali za watu wako mbaya bado unampa nafasi anakunywa chai ya Serikali huyo anakupoteza.
Najua hutaki kuwa kama wale ila sio ktk kuongoza Taifa Taifa ni taasisi nyingine kabisa kwasababu kila mtu anakitaka kiti na kama anakitaka hawezi kuwa mwema kwako kiasi Hiko yupo mtu anaweza kuleta mawazo yakijinga kwako ila same anajuwa kama yeye asinge yakubali mtu kama huyu una muachaje kwa mfano ? Kuna wanafiki wengine wanaweza kukusifia ila wana agenda yao ya Siri unazijuwaje Yani tuma kunguni, Chawa, viroboto, utitiri, panya, kunguni Yani huyo hakuna kulala na ndio formula yaku tawala.
Ona sasa wanakuletea mamiradi ya ajabu wanajua huyu ni muugwana tena amefunga hao wakimbie kama ukoma... Wanakusifia wakiwa na mabisu nyuma ya mgongo.. sisi Maraia tunaona na ukiuliza kila mtu atasema hapa Kuna shida na shida ipo kwa hawa sio huyu.
Ingekuwa mimi sikubali yaani ukiniletea upuuzi kwenye meza ya Jamuhuri kabla hujafika ofisini nahakikisha unawashwa tu na isitoshe nakutumia panya na ma snichi wakutosha nikimaliza nakutengua usiku mnene hakuna kucheka na mtu.
Historia ni mwalim mzuri na kamwe tusiache kuisoma. Mzee alikuwa muungwana ila muulize mwembe chai ilivyo mfanya akaita Vyombo vya Habari nakuongea kwa ukali ambapo hakuwahi kuongea namna ile na ndio ikawa mwisho wa Habari za mwembe chai.. kama historia sio mwalim tumuulize muungwana mwingine alie kutana na vuguvugu la wanavyuo mpaka akasema naomba mnisaidie ndio ikawa mwisho wake lile vuguvugu. Unataka niambia wale sio hawa? Ndio hawa fungua macho... Uwone jaman huku nyumba nyumba
Hakuna asie ona hakuna asie tazama ila safari hii notofauti Sana
Nawatakia Mfungo mwema.
Update
Update
Je huu ulikuwa Utabiri ama kitu gani leo mmeona wenyewe ama?
Ukiona mtu anakuja ofisini na mikakati mitam na kucheka Cheka Yani mtumie kunguni, Chawa, viroboto mpaka panya Yaani akifika kwenye kiti chake ni kujikuna mwanzo mwisho halafu mwisho unampa nafasi kujitafakari... Ndio wanavyofanya viongozi wenzako Yani mtu anakuchekea Chekea halafu hali za watu wako mbaya bado unampa nafasi anakunywa chai ya Serikali huyo anakupoteza.
Najua hutaki kuwa kama wale ila sio ktk kuongoza Taifa Taifa ni taasisi nyingine kabisa kwasababu kila mtu anakitaka kiti na kama anakitaka hawezi kuwa mwema kwako kiasi Hiko yupo mtu anaweza kuleta mawazo yakijinga kwako ila same anajuwa kama yeye asinge yakubali mtu kama huyu una muachaje kwa mfano ? Kuna wanafiki wengine wanaweza kukusifia ila wana agenda yao ya Siri unazijuwaje Yani tuma kunguni, Chawa, viroboto, utitiri, panya, kunguni Yani huyo hakuna kulala na ndio formula yaku tawala.
Ona sasa wanakuletea mamiradi ya ajabu wanajua huyu ni muugwana tena amefunga hao wakimbie kama ukoma... Wanakusifia wakiwa na mabisu nyuma ya mgongo.. sisi Maraia tunaona na ukiuliza kila mtu atasema hapa Kuna shida na shida ipo kwa hawa sio huyu.
Ingekuwa mimi sikubali yaani ukiniletea upuuzi kwenye meza ya Jamuhuri kabla hujafika ofisini nahakikisha unawashwa tu na isitoshe nakutumia panya na ma snichi wakutosha nikimaliza nakutengua usiku mnene hakuna kucheka na mtu.
Historia ni mwalim mzuri na kamwe tusiache kuisoma. Mzee alikuwa muungwana ila muulize mwembe chai ilivyo mfanya akaita Vyombo vya Habari nakuongea kwa ukali ambapo hakuwahi kuongea namna ile na ndio ikawa mwisho wa Habari za mwembe chai.. kama historia sio mwalim tumuulize muungwana mwingine alie kutana na vuguvugu la wanavyuo mpaka akasema naomba mnisaidie ndio ikawa mwisho wake lile vuguvugu. Unataka niambia wale sio hawa? Ndio hawa fungua macho... Uwone jaman huku nyumba nyumba
Hakuna asie ona hakuna asie tazama ila safari hii notofauti Sana
Nawatakia Mfungo mwema.
Update
Update
Je huu ulikuwa Utabiri ama kitu gani leo mmeona wenyewe ama?