Hivi Ndivyo Legacy ya Magufuli Inavyosambaa Duniani!

Hivi Ndivyo Legacy ya Magufuli Inavyosambaa Duniani!

voicer

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2020
Posts
5,545
Reaction score
11,943

Wakati kundi moja likipambana na Legacy ya Marehemu Magufuli ili kuizuia isiendelee kusambaa!Lakini imeshindikana na...
Huko Duniani inasambaa kama moto wa msituni
R.I.P Jemedari John Joseph Pombe Magufuli.
 
SAWA sawa tena legacy inawaua HADI watesi wake au sio!!?

KWA vihoro na pressure au!!?

Mungu ibariki Tanzania nchi yetu niipendayo SANA!
 
Hata litumike dodoki gani,JPM NI NDULI MLA NYAMA ZA WATU
Hata mtumie vifaru,Magufuli atabaki msafi kuliko kundi lote la mafisadi mliorundikana nchi hii pamoja na na vimada wao,na vyeti feki wao na uozo wao wote.
Na machukizo yenu Mungu anazidi kuwaumbua....

Mpaka Bunge linakatikiwa umeme...duh!
Shame on all idiots out there!
 
Kila Rais anatamani kuchapa kazi kama JPM. Ila hawa walamab asali wanajaribu kuchapa kazi ila bado wanambwelambwela sana.
 
Back
Top Bottom