Musukuma aomba Mwongozo wa Spika kuhusu sehemu za starehe kufungiwa na NEMC kwa kigezo cha kelele

USSR

JF-Expert Member
Jul 15, 2015
9,896
22,666
Hivi huyu jamaa ana atumia nini kufikiri, hajui hizo sheria zilifungwa na bunge hilo hilo.

Hajui watu walichoka na muziki mikubwa na kuwa kero kwa watu.

Leo bunge lisitishe shugli zake ili waruhusu mikilele yao ,yaani watumie pesa za serikali kuruhusu Kelele mitaani.

USSR

=================

"Nimekuwa nikimsikiliza sana Jesca akizungumzia afya ya akili. Na Watanzania tuna utaratibu wa kufanya kazi ikifika weekend tunapata burudani. Lakini mheshimiwa Spika tunavyoendelea hivi sasa kuna taharuki kubwa sana kwenye sehemu zetu za burudani weekend – ukianzia Mwanza, Dar es Salaam; club zoote ambazo watu wanaenda ku-refresh akili zao hata hapa Dodoma zimefungwa. Sasa, tunataka utupe mwongozo wako Mh. Spika na ninafikiri pia linaendana na Kariakoo ambalo limekaliwa na Mkuu wa Mkoa.

Lakini hili la sehemu za starehe ambazo zimefungwa kwa kigezo cha kuzidisha kelele, kitu ambacho si sahiihi, nipate mwongozo wako Mh. Spika maana nao ni wafanyabiashara na wanaingiza mapato makubwa sana kwenye serikali."- Musukuma

Musukuma.PNG
 
Hivi huyu jamaa ana atumia nini kufikiri ,hajui hizo sheria zilifungwa na bunge hilo hilo

Hajui watu walichoka na muzikimikubwa na kuwa kero kwa watu

Leo bunge lisitishe shugli zake ili waruhusu mikilele yao ,yaani watumie pesa za serikali kuruhusu Kelele mitaani

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mbunge wa ccm huyo unafikiri anaweza kuja na hoja gani yenye maslahi kwa taifa hil?
Alaaniwe popote alipo aliyerudisha mibunge ya chama kimoja
' wapinzani wametuchelewesha sana guys " le mutuz
Ndo maana ya mafiga matatu hiyo
 
Watu waachwe wafanye kazi Sasa Kama jpm(ambae mnaona Ni mbaya) hakuzuia Sasa ninyi mnataka Kila mtu aende msikitini

Pumbavu
 
Hivi huyu jamaa ana atumia nini kufikiri, hajui hizo sheria zilifungwa na bunge hilo hilo.

Hajui watu walichoka na muziki mikubwa na kuwa kero kwa watu.

Leo bunge lisitishe shugli zake ili waruhusu mikilele yao ,yaani watumie pesa za serikali kuruhusu Kelele mitaani.

USSR

=================

"Nimekuwa nikimsikiliza sana Jesca akizungumzia afya ya akili. Na Watanzania tuna utaratibu wa kufanya kazi ikifika weekend tunapata burudani. Lakini mheshimiwa Spika tunavyoendelea hivi sasa kuna taharuki kubwa sana kwenye sehemu zetu za burudani weekend – ukianzia Mwanza, Dar es Salaam; club zoote ambazo watu wanaenda ku-refresh akili zao hata hapa Dodoma zimefungwa. Sasa, tunataka utupe mwongozo wako Mh. Spika na ninafikiri pia linaendana na Kariakoo ambalo limekaliwa na Mkuu wa Mkoa.

Lakini hili la sehemu za starehe ambazo zimefungwa kwa kigezo cha kuzidisha kelele, kitu ambacho si sahiihi, nipate mwongozo wako Mh. Spika maana nao ni wafanyabiashara na wanaingiza mapato makubwa sana kwenye serikali."- Musukuma

Hawa wabunge sio kila jambo ni lazima uzungumze uonekane umeongea ,hivi anajua kero na madhara watu wanaopitia yanayosababishwa na makelele haya ??? Yeye anaenda kupata starehe anaondoka anaenda kupumzika kwake kwa utulive ,vp kwa wakazi wa maeneo yale ??? Au wao hawana haki ya kupumzika ??? Hebu aache siasa kwenye mambo ya msingi
 
Hivi huyu jamaa ana atumia nini kufikiri, hajui hizo sheria zilifungwa na bunge hilo hilo.

Hajui watu walichoka na muziki mikubwa na kuwa kero kwa watu.

Leo bunge lisitishe shugli zake ili waruhusu mikilele yao ,yaani watumie pesa za serikali kuruhusu Kelele mitaani.

USSR

=================

"Nimekuwa nikimsikiliza sana Jesca akizungumzia afya ya akili. Na Watanzania tuna utaratibu wa kufanya kazi ikifika weekend tunapata burudani. Lakini mheshimiwa Spika tunavyoendelea hivi sasa kuna taharuki kubwa sana kwenye sehemu zetu za burudani weekend – ukianzia Mwanza, Dar es Salaam; club zoote ambazo watu wanaenda ku-refresh akili zao hata hapa Dodoma zimefungwa. Sasa, tunataka utupe mwongozo wako Mh. Spika na ninafikiri pia linaendana na Kariakoo ambalo limekaliwa na Mkuu wa Mkoa.

Lakini hili la sehemu za starehe ambazo zimefungwa kwa kigezo cha kuzidisha kelele, kitu ambacho si sahiihi, nipate mwongozo wako Mh. Spika maana nao ni wafanyabiashara na wanaingiza mapato makubwa sana kwenye serikali."- Musukuma

Ukikaa ukawaza mlipa kodi mkubwa ni nani,na ukikaa ukafikiri wanawake wengi wameajiriwa kwenye sekta ipi utamwelewa msukuma.
 
zimefingwa kwa mujibu wa sheria , na sheria zote zinaanzia bungeni, huyu mbunge hazijui sheria za nchi? kama hakubaliani nayo alete muswada wa mabadiliko, ila sio buge lipoteze muda kujadili utekelezaji halali wa sheria.
 
Hivi huyu jamaa ana atumia nini kufikiri, hajui hizo sheria zilifungwa na bunge hilo hilo.

Hajui watu walichoka na muziki mikubwa na kuwa kero kwa watu.

Leo bunge lisitishe shugli zake ili waruhusu mikilele yao ,yaani watumie pesa za serikali kuruhusu Kelele mitaani.

USSR

=================

"Nimekuwa nikimsikiliza sana Jesca akizungumzia afya ya akili. Na Watanzania tuna utaratibu wa kufanya kazi ikifika weekend tunapata burudani. Lakini mheshimiwa Spika tunavyoendelea hivi sasa kuna taharuki kubwa sana kwenye sehemu zetu za burudani weekend – ukianzia Mwanza, Dar es Salaam; club zoote ambazo watu wanaenda ku-refresh akili zao hata hapa Dodoma zimefungwa. Sasa, tunataka utupe mwongozo wako Mh. Spika na ninafikiri pia linaendana na Kariakoo ambalo limekaliwa na Mkuu wa Mkoa.

Lakini hili la sehemu za starehe ambazo zimefungwa kwa kigezo cha kuzidisha kelele, kitu ambacho si sahiihi, nipate mwongozo wako Mh. Spika maana nao ni wafanyabiashara na wanaingiza mapato makubwa sana kwenye serikali."- Musukuma

Msukuma anachopaswa kuelewa ni kuwa NEMC haizuii biashara au bududani bali inasimamia sheria ,hatuwezi kuwa na iamii ambayo kila mtu anajiamulia anavyotaka ,kwanza kabla ya wamiliki kupewa adhabu walishapewa taarifa na elimu lakini wanajisahaulisha ,leo wamepewa adhabu mbunge anataka muongozo ,ni hivi burudan zipigwe bila kukera wengine au kuleta madhara kwa wengine ,mziki upigwe kistaarabu kwa wadau au wateja waliokuwa ndani ya ukumbi au jumba la starehe ,kama mtu hajaja kwenye ukumbi hana haja ya makelele yako
 
Hivi huyu jamaa ana atumia nini kufikiri, hajui hizo sheria zilifungwa na bunge hilo hilo.

Hajui watu walichoka na muziki mikubwa na kuwa kero kwa watu.

Leo bunge lisitishe shugli zake ili waruhusu mikilele yao ,yaani watumie pesa za serikali kuruhusu Kelele mitaani.

USSR

=================

"Nimekuwa nikimsikiliza sana Jesca akizungumzia afya ya akili. Na Watanzania tuna utaratibu wa kufanya kazi ikifika weekend tunapata burudani. Lakini mheshimiwa Spika tunavyoendelea hivi sasa kuna taharuki kubwa sana kwenye sehemu zetu za burudani weekend – ukianzia Mwanza, Dar es Salaam; club zoote ambazo watu wanaenda ku-refresh akili zao hata hapa Dodoma zimefungwa. Sasa, tunataka utupe mwongozo wako Mh. Spika na ninafikiri pia linaendana na Kariakoo ambalo limekaliwa na Mkuu wa Mkoa.

Lakini hili la sehemu za starehe ambazo zimefungwa kwa kigezo cha kuzidisha kelele, kitu ambacho si sahiihi, nipate mwongozo wako Mh. Spika maana nao ni wafanyabiashara na wanaingiza mapato makubwa sana kwenye serikali."- Musukuma

Bura imetokea kipindi hiki cha walamba asali .ingekuwa ni kipindi cha yule mzee ungesikia kelele kila kona mara hoo bunge haliko huru mara ni utawal wa diktata
 
Ukikaa ukawaza mlipa kodi mkubwa ni nani,na ukikaa ukafikiri wanawake wengi wameajiriwa kwenye sekta ipi utamwelewa msukuma.
Tusizingatie kodi na ajira pekee ,tukiwa na serikali na mamlaka zinazojali kodi tu bila kujali afya za wananchi wake tutakuwa na taifa lenye watu wasio na afya ,kodi ni muhimu lakini uhai ni muhimu zaidi ,NEMC haizuii biashara bali wafanye kwa kufuata sheria za mazingira na uzuri wamewekewa viwango vya sauti kabisa vinavyokubalika
 
Msukuma sijui anawaza nini jamani hili suala mbona lipo tofauti yaani wameambiwa wafuate sheria zilizowekwa na baraza la mazingira kisha waendelee kufanya kazi mfano kitambaa ipo katikati ya makazi mziki unapigwa kwa sauti kubwa inasumbua sana kama ana bar yake imefungiwa afuate utaratibu tu
 
Msukuma anachopaswa kuelewa ni kuwa NEMC haizuii biashara au bududani bali inasimamia sheria ,hatuwezi kuwa na iamii ambayo kila mtu anajiamulia anavyotaka ,kwanza kabla ya wamiliki kupewa adhabu walishapewa taarifa na elimu lakini wanajisahaulisha ,leo wamepewa adhabu mbunge anataka muongozo ,ni hivi burudan zipigwe bila kukera wengine au kuleta madhara kwa wengine ,mziki upigwe kistaarabu kwa wadau au wateja waliokuwa ndani ya ukumbi au jumba la starehe ,kama mtu hajaja kwenye ukumbi hana haja ya makelele yako
Msukuma anajifanya kuwa yeye anachoongea anaona kinatija sana azungumze mambo ya jimbo lake kuna mambo kibao hayaendi nataka nami nimpe elimu kuwa sio kwamba NEMC inafungia inatoa mwongozo ukishindwa basi wanakuchulia hatua mbona zipo zilizochukuliwa hatua na wamefuata vigezo sasa wapo wanaendelea na kazi kwa kufuata vigezo afuatilie asikurupuke
 
Halafu watu wanamsifia ooh darasa la saba ana akili sana
Huyo ana maslahi na hizo Bar au kuna watu humo bungeni wamemtuma atapike hapo
Ni kinyaa anachoongea
Hizi sheria anafikiri wamekurupuka au zilitungwa?

Kama hana wazee wanaokaa jirani na bar zinazopiga kelele usiku mzima afunge domo hilo

Tumechoka na kelele tena residential areas na wakitoka walevi hao wanakojolea kwenye kuta zetu

Mlevi hana heshima na kama yeye yumo kwa maslahi ya wenye bar basi aseme ila kelele apige kwake
 
Halafu watu wanamsifia ooh darasa la saba ana akili sana
Huyo ana maslahi na hizo Bar au kuna watu humo bungeni wamemtuma atapike hapo
Ni kinyaa anachoongea
Hizi sheria anafikiri wamekurupuka au zilitungwa?

Kama hana wazee wanaokaa jirani na bar zinazopiga kelele usiku mzima afunge domo hilo

Tumechoka na kelele tena residential areas na wakitoka walevi hao wanakojolea kwenye kuta zetu

Mlevi hana heshima na kama yeye yumo kwa maslahi ya wenye bar basi aseme ila kelele apige kwake
Musukuma .........doh!
 
Back
Top Bottom