Bernard Membe ni dubwasha kubwa mno, Vijana baada ya msiba wake wanapaswa waambiwe.

Michael Uledi

Senior Member
Mar 29, 2023
132
322
Msiba wa Mzee wangu Bernard Kamilius Membe umekuja kwangu na mafundisho makubwa mengi sana kuliko nilivyowahi kudhani kama siku siku ningeweza!Lakini kubwa nimeona uwepo wa "knowledge gap" kubwa kati ya kizazi na kizazi ndani ya Taifa ambayo labda ndio inafanya tuone hayo ambayo yanatokea kwenye Social Media hususani kwa vijana wa Taifa la Tanzania.

Naona kuna umuhimu sana wa kuanzisha "Idara ya Nyaraka na Elimu kwa Umma" kwa ajili ya Viongozi wakubwa wa taasisi muhimu na nyeti na Viongozi wa Kitaifa ambao wamefanya makubwa katika Utumishi wao kwa Taifa la Tanzania!

Vijana wengi wameamua kumthihaki Mzee Membe kwa sababu ya kukosa taarifa sahihi tu na angalau kumjua kidogo tu!Leo muulize kijana wa miaka ya 1980 Je,Mkuu wa kwanza wa Idara ya Usalama wa Taifa lako aliitwa nani?,hajui,hawajui na hawatojua kamwe!Muulize kijana huyo huyo Mzee Mwaikambo ni nani katika Sekta ya Bima/fedha?hautopata majibu ya maana!

Mitaala yetu ya elimu ya kisekta pia hajatambua mchango wa viongozi ndani ya sekta zao husika!Nenda leo kamuulize Mwalimu wa Chuo Kikuu pale UDSM-SJMC kuwa Mkurugezi wa kwanza wa Shirika la Utangazaji la Taifa alikuwa nani?hatokupa majibu!Madhaifu makubwa ya elimu ya Tanzania!Ni aibu ya mwaka and no body cares!

I.Vijana wangejua angalau gharama ya kumtengeneza Bernard Kamilius Membe mmoja wa viwango vyake wangeshangaa!Gharama ya muda na gharama ya fedha!Mimi sitoshangaa leo nikiambiwa gharama ya kumtengeneza KACHERO wa viwango vya Mzee Membe si chini ya Tshs Milioni 500 na labda uchukua miaka 15 mpaka 20 kuweza kumuiviaha katika hatua mbalimbali!

II.Kwa mujibu wa takwimu za haraka haraka ndani ya Jeshi la Nchi moja Ulaya,niliwahi kusimuliwa na Mzee mmoja ambaye siwezi kumtaja kuwa gharama ya kumtengeneza Ofisa mmoja(Cadet training cost per person) wa Jeshi la Marekani ni zaidi ya Tshs milioni 100 ndani ya mwaka mmoja kwa miaka ya 2010.

Mzee Bernard Kamilius Membe anastahili heshima kubwa kwa Taifa lake la Tanzania!Nataka vijana wa jamii Forum mjue haya!

III.Ofisa wa viwango na kariba ya Mzee Membe ndani ya "Chombo cha Mungu" uwa ni mmoja kati ya watu ambao wamesacrifice matamanio yao mengi binafsi ya kiakili,kimwili na kifamilia dhidi ya maslahi ya Taifa lao!Wakati Vijana wengi wa "kisasa"wanadhani "Kazi ya Mungu" ni kazi ya starehe na kukupa heshima mjini ukweli ni kwamba ni kinyume chake kabisa! Kazi za ndani ya Idara ya Usalama wa Taifa ni kazi ambazo sio nzuri sana!

Mh Membe apewe heshima yake na vijana wa Taifa hili!


Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Msiba wa Mzee wangu Bernard Kamilius Membe umekuja kwangu na mafundisho makubwa mengi sana kuliko nilivyowahi kudhani kama siku siku ningeweza!Lakini kubwa nimeona uwepo wa "knowledge gap" kubwa kati ya kizazi na kizazi ndani ya Taifa ambayo labda ndio inafanya tuone hayo ambayo yanatokea kwenye Social Media hususani kwa vijana wa Taifa la Tanzania.

Naona kuna umuhimu sana wa kuanzisha "Idara ya Nyaraka na Elimu kwa Umma" kwa ajili ya Viongozi wakubwa wa taasisi muhimu na nyeti na Viongozi wa Kitaifa ambao wamefanya makubwa katika Utumishi wao kwa Taifa la Tanzania!

Vijana wengi wameamua kumthihaki Mzee Membe kwa sababu ya kukosa taarifa sahihi tu na angalau kumjua kidogo tu!Leo muulize kijana wa miaka ya 1980 Je,Mkuu wa kwanza wa Idara ya Usalama wa Taifa lako aliitwa nani?,hajui,hawajui na hawatojua kamwe!Muulize kijana huyo huyo Mzee Mwaikambo ni nani katika Sekta ya Bima/fedha?hautopata majibu ya maana!

Mitaala yetu ya elimu ya kisekta pia hajatambua mchango wa viongozi ndani ya sekta zao husika!Nenda leo kamuulize Mwalimu wa Chuo Kikuu pale UDSM-SJMC kuwa Mkurugezi wa kwanza wa Shirika la Utangazaji la Taifa alikuwa nani?hatokupa majibu!Madhaifu makubwa ya elimu ya Tanzania!Ni aibu ya mwaka and no body cares!

I.Vijana wangejua angalau gharama ya kumtengeneza Bernard Kamilius Membe mmoja wa viwango vyake wangeshangaa!Gharama ya muda na gharama ya fedha!Mimi sitoshangaa leo nikiambiwa gharama ya kumtengeneza KACHERO wa viwango vya Mzee Membe si chini ya Tshs Milioni 500 na labda uchukua miaka 15 mpaka 20 kuweza kumuiviaha katika hatua mbalimbali!

II.Kwa mujibu wa takwimu za haraka haraka ndani ya Jeshi la Nchi moja Ulaya,niliwahi kusimuliwa na Mzee mmoja ambaye siwezi kumtaja kuwa gharama ya kumtengeneza Ofisa mmoja(Cadet training cost per person) wa Jeshi la Marekani ni zaidi ya Tshs milioni 100 ndani ya mwaka mmoja kwa miaka ya 2010.

Mzee Bernard Kamilius Membe anastahili heshima kubwa kwa Taifa lake la Tanzania!Nataka vijana wa jamii Forum mjue haya!

III.Ofisa wa viwango na kariba ya Mzee Membe ndani ya "Chombo cha Mungu" uwa ni mmoja kati ya watu ambao wamesacrifice matamanio yao mengi binafsi ya kiakili,kimwili na kifamilia dhidi ya maslahi ya Taifa lao!Wakati Vijana wengi wa "kisasa"wanadhani "Kazi ya Mungu" ni kazi ya starehe na kukupa heshima mjini ukweli ni kwamba ni kinyume chake kabisa! Kazi za ndani ya Idara ya Usalama wa Taifa ni kazi ambazo sio nzuri sana!

Mh Membe apewe heshima yake na vijana wa Taifa hili!


Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Amefanikisha jambo gani kubwa katika taifa hili? Mchango wako mkubwa kwa Watanzania wengi wa tabaka tawaliwa ni upi?
 
Msiba wa Mzee wangu Bernard Kamilius Membe umekuja kwangu na mafundisho makubwa mengi sana kuliko nilivyowahi kudhani kama siku siku ningeweza!Lakini kubwa nimeona uwepo wa "knowledge gap" kubwa kati ya kizazi na kizazi ndani ya Taifa ambayo labda ndio inafanya tuone hayo ambayo yanatokea kwenye Social Media hususani kwa vijana wa Taifa la Tanzania.

Naona kuna umuhimu sana wa kuanzisha "Idara ya Nyaraka na Elimu kwa Umma" kwa ajili ya Viongozi wakubwa wa taasisi muhimu na nyeti na Viongozi wa Kitaifa ambao wamefanya makubwa katika Utumishi wao kwa Taifa la Tanzania!

Vijana wengi wameamua kumthihaki Mzee Membe kwa sababu ya kukosa taarifa sahihi tu na angalau kumjua kidogo tu!Leo muulize kijana wa miaka ya 1980 Je,Mkuu wa kwanza wa Idara ya Usalama wa Taifa lako aliitwa nani?,hajui,hawajui na hawatojua kamwe!Muulize kijana huyo huyo Mzee Mwaikambo ni nani katika Sekta ya Bima/fedha?hautopata majibu ya maana!

Mitaala yetu ya elimu ya kisekta pia hajatambua mchango wa viongozi ndani ya sekta zao husika!Nenda leo kamuulize Mwalimu wa Chuo Kikuu pale UDSM-SJMC kuwa Mkurugezi wa kwanza wa Shirika la Utangazaji la Taifa alikuwa nani?hatokupa majibu!Madhaifu makubwa ya elimu ya Tanzania!Ni aibu ya mwaka and no body cares!

I.Vijana wangejua angalau gharama ya kumtengeneza Bernard Kamilius Membe mmoja wa viwango vyake wangeshangaa!Gharama ya muda na gharama ya fedha!Mimi sitoshangaa leo nikiambiwa gharama ya kumtengeneza KACHERO wa viwango vya Mzee Membe si chini ya Tshs Milioni 500 na labda uchukua miaka 15 mpaka 20 kuweza kumuiviaha katika hatua mbalimbali!

II.Kwa mujibu wa takwimu za haraka haraka ndani ya Jeshi la Nchi moja Ulaya,niliwahi kusimuliwa na Mzee mmoja ambaye siwezi kumtaja kuwa gharama ya kumtengeneza Ofisa mmoja(Cadet training cost per person) wa Jeshi la Marekani ni zaidi ya Tshs milioni 100 ndani ya mwaka mmoja kwa miaka ya 2010.

Mzee Bernard Kamilius Membe anastahili heshima kubwa kwa Taifa lake la Tanzania!Nataka vijana wa jamii Forum mjue haya!

III.Ofisa wa viwango na kariba ya Mzee Membe ndani ya "Chombo cha Mungu" uwa ni mmoja kati ya watu ambao wamesacrifice matamanio yao mengi binafsi ya kiakili,kimwili na kifamilia dhidi ya maslahi ya Taifa lao!Wakati Vijana wengi wa "kisasa"wanadhani "Kazi ya Mungu" ni kazi ya starehe na kukupa heshima mjini ukweli ni kwamba ni kinyume chake kabisa! Kazi za ndani ya Idara ya Usalama wa Taifa ni kazi ambazo sio nzuri sana!

Mh Membe apewe heshima yake na vijana wa Taifa hili!


Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Hao wote wanaombeza Membe ni Sukuma gang kizazi cha yule Lucifer wa Chato.
 
RIP Membe.
Sote tutakufa, lakini alikosea pia kufurahia kifo Cha Magufuli, yeye na kundi lake la msoga watu wana wasubiri Kwa hamu, hata kama kulitokea tofauti ni busara kukaa kimya, lakini shushu mbobezi alikuwa abatoka hadharani na kusema maneno ya kejeli dhidi ya Magufuli,kitu ambacho sio kizuri.
Mwanzilishi wa maneno ya shombo ni Magufuri na kosa alilolifanya Magufuri ni kujifananisha na Mungu.
 
Msiba wa Mzee wangu Bernard Kamilius Membe umekuja kwangu na mafundisho makubwa mengi sana kuliko nilivyowahi kudhani kama siku siku ningeweza!Lakini kubwa nimeona uwepo wa "knowledge gap" kubwa kati ya kizazi na kizazi ndani ya Taifa ambayo labda ndio inafanya tuone hayo ambayo yanatokea kwenye Social Media hususani kwa vijana wa Taifa la Tanzania.

Naona kuna umuhimu sana wa kuanzisha "Idara ya Nyaraka na Elimu kwa Umma" kwa ajili ya Viongozi wakubwa wa taasisi muhimu na nyeti na Viongozi wa Kitaifa ambao wamefanya makubwa katika Utumishi wao kwa Taifa la Tanzania!

Vijana wengi wameamua kumthihaki Mzee Membe kwa sababu ya kukosa taarifa sahihi tu na angalau kumjua kidogo tu!Leo muulize kijana wa miaka ya 1980 Je,Mkuu wa kwanza wa Idara ya Usalama wa Taifa lako aliitwa nani?,hajui,hawajui na hawatojua kamwe!Muulize kijana huyo huyo Mzee Mwaikambo ni nani katika Sekta ya Bima/fedha?hautopata majibu ya maana!

Mitaala yetu ya elimu ya kisekta pia hajatambua mchango wa viongozi ndani ya sekta zao husika!Nenda leo kamuulize Mwalimu wa Chuo Kikuu pale UDSM-SJMC kuwa Mkurugezi wa kwanza wa Shirika la Utangazaji la Taifa alikuwa nani?hatokupa majibu!Madhaifu makubwa ya elimu ya Tanzania!Ni aibu ya mwaka and no body cares!

I.Vijana wangejua angalau gharama ya kumtengeneza Bernard Kamilius Membe mmoja wa viwango vyake wangeshangaa!Gharama ya muda na gharama ya fedha!Mimi sitoshangaa leo nikiambiwa gharama ya kumtengeneza KACHERO wa viwango vya Mzee Membe si chini ya Tshs Milioni 500 na labda uchukua miaka 15 mpaka 20 kuweza kumuiviaha katika hatua mbalimbali!

II.Kwa mujibu wa takwimu za haraka haraka ndani ya Jeshi la Nchi moja Ulaya,niliwahi kusimuliwa na Mzee mmoja ambaye siwezi kumtaja kuwa gharama ya kumtengeneza Ofisa mmoja(Cadet training cost per person) wa Jeshi la Marekani ni zaidi ya Tshs milioni 100 ndani ya mwaka mmoja kwa miaka ya 2010.

Mzee Bernard Kamilius Membe anastahili heshima kubwa kwa Taifa lake la Tanzania!Nataka vijana wa jamii Forum mjue haya!

III.Ofisa wa viwango na kariba ya Mzee Membe ndani ya "Chombo cha Mungu" uwa ni mmoja kati ya watu ambao wamesacrifice matamanio yao mengi binafsi ya kiakili,kimwili na kifamilia dhidi ya maslahi ya Taifa lao!Wakati Vijana wengi wa "kisasa"wanadhani "Kazi ya Mungu" ni kazi ya starehe na kukupa heshima mjini ukweli ni kwamba ni kinyume chake kabisa! Kazi za ndani ya Idara ya Usalama wa Taifa ni kazi ambazo sio nzuri sana!

Mh Membe apewe heshima yake na vijana wa Taifa hili!


Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Wewe ni taka ngumu, umenikumbusha hadithi ya juma na Uledi huna la maana uliloandika hapo

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msiba wa Mzee wangu Bernard Kamilius Membe umekuja kwangu na mafundisho makubwa mengi sana kuliko nilivyowahi kudhani kama siku siku ningeweza!Lakini kubwa nimeona uwepo wa "knowledge gap" kubwa kati ya kizazi na kizazi ndani ya Taifa ambayo labda ndio inafanya tuone hayo ambayo yanatokea kwenye Social Media hususani kwa vijana wa Taifa la Tanzania.

Naona kuna umuhimu sana wa kuanzisha "Idara ya Nyaraka na Elimu kwa Umma" kwa ajili ya Viongozi wakubwa wa taasisi muhimu na nyeti na Viongozi wa Kitaifa ambao wamefanya makubwa katika Utumishi wao kwa Taifa la Tanzania!

Vijana wengi wameamua kumthihaki Mzee Membe kwa sababu ya kukosa taarifa sahihi tu na angalau kumjua kidogo tu!Leo muulize kijana wa miaka ya 1980 Je,Mkuu wa kwanza wa Idara ya Usalama wa Taifa lako aliitwa nani?,hajui,hawajui na hawatojua kamwe!Muulize kijana huyo huyo Mzee Mwaikambo ni nani katika Sekta ya Bima/fedha?hautopata majibu ya maana!

Mitaala yetu ya elimu ya kisekta pia hajatambua mchango wa viongozi ndani ya sekta zao husika!Nenda leo kamuulize Mwalimu wa Chuo Kikuu pale UDSM-SJMC kuwa Mkurugezi wa kwanza wa Shirika la Utangazaji la Taifa alikuwa nani?hatokupa majibu!Madhaifu makubwa ya elimu ya Tanzania!Ni aibu ya mwaka and no body cares!

I.Vijana wangejua angalau gharama ya kumtengeneza Bernard Kamilius Membe mmoja wa viwango vyake wangeshangaa!Gharama ya muda na gharama ya fedha!Mimi sitoshangaa leo nikiambiwa gharama ya kumtengeneza KACHERO wa viwango vya Mzee Membe si chini ya Tshs Milioni 500 na labda uchukua miaka 15 mpaka 20 kuweza kumuiviaha katika hatua mbalimbali!

II.Kwa mujibu wa takwimu za haraka haraka ndani ya Jeshi la Nchi moja Ulaya,niliwahi kusimuliwa na Mzee mmoja ambaye siwezi kumtaja kuwa gharama ya kumtengeneza Ofisa mmoja(Cadet training cost per person) wa Jeshi la Marekani ni zaidi ya Tshs milioni 100 ndani ya mwaka mmoja kwa miaka ya 2010.

Mzee Bernard Kamilius Membe anastahili heshima kubwa kwa Taifa lake la Tanzania!Nataka vijana wa jamii Forum mjue haya!

III.Ofisa wa viwango na kariba ya Mzee Membe ndani ya "Chombo cha Mungu" uwa ni mmoja kati ya watu ambao wamesacrifice matamanio yao mengi binafsi ya kiakili,kimwili na kifamilia dhidi ya maslahi ya Taifa lao!Wakati Vijana wengi wa "kisasa"wanadhani "Kazi ya Mungu" ni kazi ya starehe na kukupa heshima mjini ukweli ni kwamba ni kinyume chake kabisa! Kazi za ndani ya Idara ya Usalama wa Taifa ni kazi ambazo sio nzuri sana!

Mh Membe apewe heshima yake na vijana wa Taifa hili!


Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Eehh makubwa.


Ukachero wa Membe ,umelisaidiaje Taifa?? Kiuchumi ? Kisiasa? kijami? Kidplomasia ?.


Yaaan ni alama gan, ambayo unaweza itumia kumshawishi kijana wa Kitanzania ,akuelewe
 
Taifa kweli limekosa watu na elimu pia. Unawataja watu ambao wote hakuna walichoacha cha kukumbukwa Tanzania zaidi ya kupigania familia zao na matumbo yao. Naamini hata wewe utatamani uabudiwe hata kama utaulizwa umeifanyia nini Taifa cha kukumbukwa. Hakuna hata kidogo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom