Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,510
- 7,751
Mkutano wa kumi wa CCM umefanyika na haya ndio majina ya wajumbe waliochaguliwa kuwa wajumbe wa NEC-CCM kwa Tanzania bara.
Wanawake
1. Dkt Angelina S Mabula Kura 770
2. Dkt Ashatu Kijaji Kura 764
3. Christina Solomon Mndeme Kura 761
4. Hellen Makungu Kura 755
5. Fenela A. Mukangara Kura 747
6. Angellah J. Kairuki Kura 730
Wanaume
1. Mahenda Leonard 845
2. Bashungwa Innocent 720
3. Wasira Steven 680
4. Msome Jackson William 591
5. Kasheku Msukuma 587
6. Kasesela Richard 574
7. Wambura Chacha Mwita 545
8. Bashe Hussein 510
9. Nnauye Nape Mosses 508
10. Gwajima Josephat 497
11. January Makamba 452
12. Mwigulu Nchemba 450
13. Macha 435
14. Msengi Ibrahimu 428
Ukiachana na mihemko ya humu JF na Twitter kwa baadhi, ukweli ni kwamba kwa ground, SUKUMA GANG, wana mtaji wa watu wengi ambao ni tabaka la chini, kwa utafiti tu mdogo kati ya wananchi 10... wananchi 7 wanaamini maono na itikadi za Hayati JPM, huu ni ukweli ukitembelea wananchi kama mama ntilie, bodaboda, machinga ambao hili kundi lilikuwa mtaji wa CHADEMA.
Matokeo ya NEC ya CCM yamedhihirisha hilo walamba asali akina Nape na January walikuwa wanajiona kama wao ndio wamiliki wa CCM lakini kumbe wanazidiwa nguvu kwa mbali sana na Inncocent Bashungwa!
Hata Lowassa alipata kura milion 6 kutoka kwenye hili kundi, now hili kundi limewapotezea CHADEMA na upinzani kwa ujumla kwa sababu kwanza wanampinga na kukejeri harakati za Hayati JPM.
Na ukweli ambao mama Samia Hassan Suluhu haambiwi, wananchi hawamkubali, wamekaa kimya, wengi wananung'unika, huku wakimkumbuka sana hayati.
Kituko kikubwa ni ndugu zangu UPINZANI kwa sasa imekuwa ngumu kuwarudia wananchi au lile kundi lililowahi kuwaamini na kuwazawadia kura takribani milioni 6+
Kwa sababu UPINZANI umekuwa ukifurahia hayati anaponangwa, wakati huohuo wananchi wengi wanaamini maono na itikadi za JPM zaidi, hivyo meseji inayokwenda kwa hilo kundi ni kuwa UPINZANI na mama Samia pamoja na CCM MASLAHI lao ni moja.
Kwa sasa asilimia kubwa ya wananchi hawana imani ni hii CCM MASLAHI, wala hawana imani na UPINZANI.
Nendeni kwa ground, imani kubwa ni kwenye maono ya JPM, wakiamini yule alikuwa mtu wao sahihi.
Hili kundi linaamini ndani ya system siku moja ataibuka mtu mwenye maono yale yale na atawainua tena.
Ukweli ni kwamba SUKUMA GANG, bado ipo ndani ya system, kwa sasa ipo kimya ,ikisubiri kujipenyeza na kurudi tena.
Kwa sasa kwenye uchaguzi ili upate kura nyingi na kukubalika, ukitembea na itikadi, maono ya JPM, huna mpinzani.
CCM MASLAHI na UPINZANI ni makundi mawili ambayo hayana ushawishi kwa wananchi.
Bado wananchi wanamkumbuka JPM alivyowapenda, alivyowafanya watembee kifua mbele wajione na wao ni wamiliki wa nchi yao, bado wanamkumbuka alivyowavusha kwenye Corona huku akikataa harakati za CHADEMA kutaka tufungiwe lockdown, bado wanamkumbuka alivyowapa fursa za kujiajiri bila kufukuzwa kama wakimbizi.
Twendeni kwa Ground, Wananchi hawamtaki mama, wamewapuuza UPINZANI
Wanawake
1. Dkt Angelina S Mabula Kura 770
2. Dkt Ashatu Kijaji Kura 764
3. Christina Solomon Mndeme Kura 761
4. Hellen Makungu Kura 755
5. Fenela A. Mukangara Kura 747
6. Angellah J. Kairuki Kura 730
Wanaume
1. Mahenda Leonard 845
2. Bashungwa Innocent 720
3. Wasira Steven 680
4. Msome Jackson William 591
5. Kasheku Msukuma 587
6. Kasesela Richard 574
7. Wambura Chacha Mwita 545
8. Bashe Hussein 510
9. Nnauye Nape Mosses 508
10. Gwajima Josephat 497
11. January Makamba 452
12. Mwigulu Nchemba 450
13. Macha 435
14. Msengi Ibrahimu 428
Ukiachana na mihemko ya humu JF na Twitter kwa baadhi, ukweli ni kwamba kwa ground, SUKUMA GANG, wana mtaji wa watu wengi ambao ni tabaka la chini, kwa utafiti tu mdogo kati ya wananchi 10... wananchi 7 wanaamini maono na itikadi za Hayati JPM, huu ni ukweli ukitembelea wananchi kama mama ntilie, bodaboda, machinga ambao hili kundi lilikuwa mtaji wa CHADEMA.
Matokeo ya NEC ya CCM yamedhihirisha hilo walamba asali akina Nape na January walikuwa wanajiona kama wao ndio wamiliki wa CCM lakini kumbe wanazidiwa nguvu kwa mbali sana na Inncocent Bashungwa!
Hata Lowassa alipata kura milion 6 kutoka kwenye hili kundi, now hili kundi limewapotezea CHADEMA na upinzani kwa ujumla kwa sababu kwanza wanampinga na kukejeri harakati za Hayati JPM.
Na ukweli ambao mama Samia Hassan Suluhu haambiwi, wananchi hawamkubali, wamekaa kimya, wengi wananung'unika, huku wakimkumbuka sana hayati.
Kituko kikubwa ni ndugu zangu UPINZANI kwa sasa imekuwa ngumu kuwarudia wananchi au lile kundi lililowahi kuwaamini na kuwazawadia kura takribani milioni 6+
Kwa sababu UPINZANI umekuwa ukifurahia hayati anaponangwa, wakati huohuo wananchi wengi wanaamini maono na itikadi za JPM zaidi, hivyo meseji inayokwenda kwa hilo kundi ni kuwa UPINZANI na mama Samia pamoja na CCM MASLAHI lao ni moja.
Kwa sasa asilimia kubwa ya wananchi hawana imani ni hii CCM MASLAHI, wala hawana imani na UPINZANI.
Nendeni kwa ground, imani kubwa ni kwenye maono ya JPM, wakiamini yule alikuwa mtu wao sahihi.
Hili kundi linaamini ndani ya system siku moja ataibuka mtu mwenye maono yale yale na atawainua tena.
Ukweli ni kwamba SUKUMA GANG, bado ipo ndani ya system, kwa sasa ipo kimya ,ikisubiri kujipenyeza na kurudi tena.
Kwa sasa kwenye uchaguzi ili upate kura nyingi na kukubalika, ukitembea na itikadi, maono ya JPM, huna mpinzani.
CCM MASLAHI na UPINZANI ni makundi mawili ambayo hayana ushawishi kwa wananchi.
Bado wananchi wanamkumbuka JPM alivyowapenda, alivyowafanya watembee kifua mbele wajione na wao ni wamiliki wa nchi yao, bado wanamkumbuka alivyowavusha kwenye Corona huku akikataa harakati za CHADEMA kutaka tufungiwe lockdown, bado wanamkumbuka alivyowapa fursa za kujiajiri bila kufukuzwa kama wakimbizi.
Twendeni kwa Ground, Wananchi hawamtaki mama, wamewapuuza UPINZANI