Kanda ya Ziwa yalipuka kwa shangwe baada ya matokeo ya NEC ya CCM

Kulwa Jilala

JF-Expert Member
Sep 6, 2022
3,510
7,751
Mkutano wa kumi wa CCM umefanyika na haya ndio majina ya wajumbe waliochaguliwa kuwa wajumbe wa NEC-CCM kwa Tanzania bara.

Wanawake
1. Dkt Angelina S Mabula Kura 770
2. Dkt Ashatu Kijaji Kura 764
3. Christina Solomon Mndeme Kura 761
4. Hellen Makungu Kura 755
5. Fenela A. Mukangara Kura 747
6. Angellah J. Kairuki Kura 730

Wanaume
1. Mahenda Leonard 845
2. Bashungwa Innocent 720
3. Wasira Steven 680
4. Msome Jackson William 591
5. Kasheku Msukuma 587
6. Kasesela Richard 574
7. Wambura Chacha Mwita 545
8. Bashe Hussein 510
9. Nnauye Nape Mosses 508
10. Gwajima Josephat 497
11. January Makamba 452
12. Mwigulu Nchemba 450
13. Macha 435
14. Msengi Ibrahimu 428

Ukiachana na mihemko ya humu JF na Twitter kwa baadhi, ukweli ni kwamba kwa ground, SUKUMA GANG, wana mtaji wa watu wengi ambao ni tabaka la chini, kwa utafiti tu mdogo kati ya wananchi 10... wananchi 7 wanaamini maono na itikadi za Hayati JPM, huu ni ukweli ukitembelea wananchi kama mama ntilie, bodaboda, machinga ambao hili kundi lilikuwa mtaji wa CHADEMA.

Matokeo ya NEC ya CCM yamedhihirisha hilo walamba asali akina Nape na January walikuwa wanajiona kama wao ndio wamiliki wa CCM lakini kumbe wanazidiwa nguvu kwa mbali sana na Inncocent Bashungwa!

Hata Lowassa alipata kura milion 6 kutoka kwenye hili kundi, now hili kundi limewapotezea CHADEMA na upinzani kwa ujumla kwa sababu kwanza wanampinga na kukejeri harakati za Hayati JPM.

Na ukweli ambao mama Samia Hassan Suluhu haambiwi, wananchi hawamkubali, wamekaa kimya, wengi wananung'unika, huku wakimkumbuka sana hayati.

Kituko kikubwa ni ndugu zangu UPINZANI kwa sasa imekuwa ngumu kuwarudia wananchi au lile kundi lililowahi kuwaamini na kuwazawadia kura takribani milioni 6+

Kwa sababu UPINZANI umekuwa ukifurahia hayati anaponangwa, wakati huohuo wananchi wengi wanaamini maono na itikadi za JPM zaidi, hivyo meseji inayokwenda kwa hilo kundi ni kuwa UPINZANI na mama Samia pamoja na CCM MASLAHI lao ni moja.

Kwa sasa asilimia kubwa ya wananchi hawana imani ni hii CCM MASLAHI, wala hawana imani na UPINZANI.

Nendeni kwa ground, imani kubwa ni kwenye maono ya JPM, wakiamini yule alikuwa mtu wao sahihi.

Hili kundi linaamini ndani ya system siku moja ataibuka mtu mwenye maono yale yale na atawainua tena.

Ukweli ni kwamba SUKUMA GANG, bado ipo ndani ya system, kwa sasa ipo kimya ,ikisubiri kujipenyeza na kurudi tena.

Kwa sasa kwenye uchaguzi ili upate kura nyingi na kukubalika, ukitembea na itikadi, maono ya JPM, huna mpinzani.

CCM MASLAHI na UPINZANI ni makundi mawili ambayo hayana ushawishi kwa wananchi.

Bado wananchi wanamkumbuka JPM alivyowapenda, alivyowafanya watembee kifua mbele wajione na wao ni wamiliki wa nchi yao, bado wanamkumbuka alivyowavusha kwenye Corona huku akikataa harakati za CHADEMA kutaka tufungiwe lockdown, bado wanamkumbuka alivyowapa fursa za kujiajiri bila kufukuzwa kama wakimbizi.

Twendeni kwa Ground, Wananchi hawamtaki mama, wamewapuuza UPINZANI
 
Endeleeni na ukabila huko CCM . Msihusishe upinzani. Magufuli aliuogopa upinzani maana 2015 alipata asilimia 58. Hivyo asilimia nane tu agawane kura nusu kwa nusu na upinzani, ndio maana akapiga marufuku vyama vya upinzani visifanye mikutano ya hadhara.
 
Kamati Kuu ndioyenye nguvu CCM
Hata wangekuwa wengi kiasi gani, Rais ni Samia hadi 2030, labda afe, (ila wazuri hawafi 😂)

Na 2030 baada ya Samia, wagombea Urais huchujwa na kamati Kuu, hivyo watampitisha wanayemtaka na watamuondoa wasiyemtaka kama walivyofanya kwa Lowassa 2015
Endeleeni kujisifia na ukabila wenu ila muamuzi wa mwisho ni watu 5 tu
 
Mkutano wa kumi wa CCM umefanyika na haya ndio majina ya wajumbe waliochaguliwa kuwa wajumbe wa NEC-CCM kwa Tanzania bara.

Wanawake
1. Dkt Angelina S Mabula Kura 770
2. Dkt Ashatu Kijaji Kura 764
3. Christina Solomon Mndeme Kura 761
4. Hellen Makungu Kura 755
5. Fenela A. Mukangara Kura 747
6. Angellah J. Kairuki Kura 730

Wanaume
1. Mahenda Leonard 845
2. Bashungwa Innocent 720
3. Wasira Steven 680
4. Msome Jackson William 591
5. Kasheku Msukuma 587
6. Kasesela Richard 574
7. Wambura Chacha Mwita 545
8. Bashe Hussein 510
9. Nnauye Nape Mosses 508
10. Gwajima Josephat 497
11. January Makamba 452
12. Mwigulu Nchemba 450
13. Macha 435
14. Msengi Ibrahimu 428

Ukiachana na mihemko ya humu JF na Twitter kwa baadhi, ukweli ni kwamba kwa ground, SUKUMA GANG, wana mtaji wa watu wengi ambao ni tabaka la chini, kwa utafiti tu mdogo kati ya wananchi 10... wananchi 7 wanaamini maono na itikadi za Hayati JPM, huu ni ukweli ukitembelea wananchi kama mama ntilie, bodaboda, machinga ambao hili kundi lilikuwa mtaji wa CHADEMA.
Matokeo ya NEC ya CCM yamedhihirisha hilo walamba asali akina Nape na January walikuwa wanajiona kama wao ndio wamiliki wa CCM lakini kumbe wanazidiwa nguvu kwa mbali sana na Inncocent Bashungwa!

Hata Lowassa alipata kura milion 6 kutoka kwenye hili kundi, now hili kundi limewapotezea CHADEMA na upinzani kwa ujumla kwa sababu kwanza wanampinga na kukejeri harakati za Hayati JPM.

Na ukweli ambao mama Samia Hassan Suluhu haambiwi, wananchi hawamkubali, wamekaa kimya, wengi wananung'unika, huku wakimkumbuka sana hayati.

Kituko kikubwa ni ndugu zangu UPINZANI kwa sasa imekuwa ngumu kuwarudia wananchi au lile kundi lililowahi kuwaamini na kuwazawadia kura takribani milioni 6+

Kwa sababu UPINZANI umekuwa ukifurahia hayati anaponangwa, wakati huohuo wananchi wengi wanaamini maono na itikadi za JPM zaidi, hivyo meseji inayokwenda kwa hilo kundi ni kuwa UPINZANI na mama Samia pamoja na CCM MASLAHI lao ni moja.

Kwa sasa asilimia kubwa ya wananchi hawana imani ni hii CCM MASLAHI, wala hawana imani na UPINZANI.

Nendeni kwa ground, imani kubwa ni kwenye maono ya JPM, wakiamini yule alikuwa mtu wao sahihi.

Hili kundi linaamini ndani ya system siku moja ataibuka mtu mwenye maono yale yale na atawainua tena.

Ukweli ni kwamba SUKUMA GANG, bado ipo ndani ya system, kwa sasa ipo kimya ,ikisubiri kujipenyeza na kurudi tena.

Kwa sasa kwenye uchaguzi ili upate kura nyingi na kukubalika, ukitembea na itikadi, maono ya JPM, huna mpinzani.

CCM MASLAHI na UPINZANI ni makundi mawili ambayo hayana ushawishi kwa wananchi.

Bado wananchi wanamkumbuka JPM alivyowapenda, alivyowafanya watembee kifua mbele wajione na wao ni wamiliki wa nchi yao, bado wanamkumbuka alivyowavusha kwenye Corona huku akikataa harakati za CHADEMA kutaka tufungiwe lockdown, bado wanamkumbuka alivyowapa fursa za kujiajiri bila kufukuzwa kama wakimbizi.

Twendeni kwa Ground, Wananchi hawamtaki mama, wamewapuuza UPINZANI
Kama Jpm angekua anapendwa na raia asinge chakachuwa uchaguzi ulio pita na kulazimisha matokeo, wasukama ni kama 'toothless dog' hata ukiweka 20, hawana impact yoyote katika siasa za bara wenyewe hufuata mukumbo, mjumbe moja kama Nape tu anaweza kuwaburuza na wa kamfuata, wasukama hawana 'independent minds'
 
Hao waliopata kura nyingi kwa kuishi falsafa za JPM ni kina nani? Tunaona waziwazi jinsi kina Bashungwa wanavyomkubali SSH na kwenda tofauti na JPM na wamepata kura za kutosha au unamwongelea askofu Gwaj boy? Kama alipata kura nyingi basi sawa. Hao wengine wote walishahama kwa JPM kwa asa wako boti la SSH wakiupiga mwingi. Ulitaka kuona nguvu ya upinzani waambieni serikali iachie mikutano, kwa sasa utawajuaje kama wapo wakati wamefungiwa ndani?
 
Walamba asali chali mbaya sana kwenye sanduku la kura
Mami.

Huna hoja mami. Wananchi wepi waliowapotezea wapinzani ?!. Mbona ccm na serikali inatumia sheria za kikoloni kuzuia wapinzani kukutana na wananchi ?!. Wanaogopa nini wapinzani kukutana na wananchi.

Kigezo gani kinakuonyesha mama hakubaliki ?!. Maghufuli angekubalika kama unavyodai angepora uchaguzi ?!.

Mwsho Maghufuli ameshakufa. Maisha lazima yaendelee kwa walio hai, tena kwa style wanayotaka. Hawawezi kuishi kwenye kivuli cha marehemu milele.
 
Mkutano wa kumi wa CCM umefanyika na haya ndio majina ya wajumbe waliochaguliwa kuwa wajumbe wa NEC-CCM kwa Tanzania bara.

Wanawake
1. Dkt Angelina S Mabula Kura 770
2. Dkt Ashatu Kijaji Kura 764
3. Christina Solomon Mndeme Kura 761
4. Hellen Makungu Kura 755
5. Fenela A. Mukangara Kura 747
6. Angellah J. Kairuki Kura 730

Wanaume
1. Mahenda Leonard 845
2. Bashungwa Innocent 720
3. Wasira Steven 680
4. Msome Jackson William 591
5. Kasheku Msukuma 587
6. Kasesela Richard 574
7. Wambura Chacha Mwita 545
8. Bashe Hussein 510
9. Nnauye Nape Mosses 508
10. Gwajima Josephat 497
11. January Makamba 452
12. Mwigulu Nchemba 450
13. Macha 435
14. Msengi Ibrahimu 428

Ukiachana na mihemko ya humu JF na Twitter kwa baadhi, ukweli ni kwamba kwa ground, SUKUMA GANG, wana mtaji wa watu wengi ambao ni tabaka la chini, kwa utafiti tu mdogo kati ya wananchi 10... wananchi 7 wanaamini maono na itikadi za Hayati JPM, huu ni ukweli ukitembelea wananchi kama mama ntilie, bodaboda, machinga ambao hili kundi lilikuwa mtaji wa CHADEMA.
Matokeo ya NEC ya CCM yamedhihirisha hilo walamba asali akina Nape na January walikuwa wanajiona kama wao ndio wamiliki wa CCM lakini kumbe wanazidiwa nguvu kwa mbali sana na Inncocent Bashungwa!

Hata Lowassa alipata kura milion 6 kutoka kwenye hili kundi, now hili kundi limewapotezea CHADEMA na upinzani kwa ujumla kwa sababu kwanza wanampinga na kukejeri harakati za Hayati JPM.

Na ukweli ambao mama Samia Hassan Suluhu haambiwi, wananchi hawamkubali, wamekaa kimya, wengi wananung'unika, huku wakimkumbuka sana hayati.

Kituko kikubwa ni ndugu zangu UPINZANI kwa sasa imekuwa ngumu kuwarudia wananchi au lile kundi lililowahi kuwaamini na kuwazawadia kura takribani milioni 6+

Kwa sababu UPINZANI umekuwa ukifurahia hayati anaponangwa, wakati huohuo wananchi wengi wanaamini maono na itikadi za JPM zaidi, hivyo meseji inayokwenda kwa hilo kundi ni kuwa UPINZANI na mama Samia pamoja na CCM MASLAHI lao ni moja.

Kwa sasa asilimia kubwa ya wananchi hawana imani ni hii CCM MASLAHI, wala hawana imani na UPINZANI.

Nendeni kwa ground, imani kubwa ni kwenye maono ya JPM, wakiamini yule alikuwa mtu wao sahihi.

Hili kundi linaamini ndani ya system siku moja ataibuka mtu mwenye maono yale yale na atawainua tena.

Ukweli ni kwamba SUKUMA GANG, bado ipo ndani ya system, kwa sasa ipo kimya ,ikisubiri kujipenyeza na kurudi tena.

Kwa sasa kwenye uchaguzi ili upate kura nyingi na kukubalika, ukitembea na itikadi, maono ya JPM, huna mpinzani.

CCM MASLAHI na UPINZANI ni makundi mawili ambayo hayana ushawishi kwa wananchi.

Bado wananchi wanamkumbuka JPM alivyowapenda, alivyowafanya watembee kifua mbele wajione na wao ni wamiliki wa nchi yao, bado wanamkumbuka alivyowavusha kwenye Corona huku akikataa harakati za CHADEMA kutaka tufungiwe lockdown, bado wanamkumbuka alivyowapa fursa za kujiajiri bila kufukuzwa kama wakimbizi.

Twendeni kwa Ground, Wananchi hawamtaki mama, wamewapuuza UPINZANI
Itapunguza mgao wa umeme? Au hao wa kanda ya ziwa watalisha Familia yako?
 
Hao waliopata kura nyingi kwa kuishi falsafa za JPM ni kina nani? Tunaona waziwazi jinsi kina Bashungwa wanavyomkubali SSH na kwenda tofauti na JPM na wamepata kura za kutosha au unamwongelea askofu Gwaj boy? Kama alipata kura nyingi basi sawa. Hao wengine wote walishahama kwa JPM kwa asa wako boti la SSH wakiupiga mwingi. Ulitaka kuona nguvu ya upinzani waambieni serikali iachie mikutano, kwa sasa utawajuaje kama wapo wakati wamefungiwa ndani?
Bila ya JPM ungemjua Bashungwa?
 
Tatizo la Wasukuma ni Ukabila.
Yule Marehemu ndo wa mwisho kushika ile nafasi.

Mmewekwa wengi sababu wajinga wengi wako huko Usukumani, hivyo ni rahisi kudanganywa mkatoa kura
Wasukuma walikufanya nini mkuu?.Mbona ni watu poa sana.
 
Zuzu katika ubora wake, anaongelea ukabila na ukanda karne hii!!!,Zimbabwe 🇿🇼 wamesharusha satellite angani few day's ago, wenye ccm wanatumia mno uzuzu wa kielimu kwa watanzania kuendeleza vizazi vyao viendelee kutawala nchi ya mazuzu, hakuna hata mmoja humu anaweza kuniambia wapi kuliko sehemu inayochuja maji machafu kwa jiji letu, na wapi uchafu huu unapoishia, Nina wasiwasi unazungushwa na kuisha to be consumed by the masses!
 
Back
Top Bottom