Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli akishangiliwa na abiria wa ndege yetu Boeing 787-8 Dreamliner ya Air Tanzania (ATCL) kutoka Dar es Salaam kwenda Mwanza asubuhi ya leo Agosti 18, 2018. Amepata...
1 Reactions
16 Replies
4K Views
Kwa wale wanaoamini jumbe zao karibuni tudadavue na tuangalie kile awamu ya sita inakifanya,utofauti wake
0 Reactions
8 Replies
500 Views
Kwa mwaCCM halisi aliyekuzwa na chama ni lazima aujue utaratibu, utamaduni na mila za CCM za kuachishiana vijiti na kuendeleza kijiti cha uongozi. Licha ya kwamba kikanuni ni lazima kuwe na...
3 Reactions
34 Replies
2K Views
Kama kuna aliyefikiria hata kwa dakika moja kwamba Mwenyekiti wa chadema ni Mpinzani wa Serikali iliyopo ajitafakari tena, Mbowe kama Tundu Lisu tu hawajawahi kuwa kuwa Wapinzani bali walikuwa...
15 Reactions
84 Replies
4K Views
Habari WanaJF, Binafsi ninaamini Bunge lijalo litakuwa ni Bunge la kufurahisha sana na lenye changamoto kuliko bunge lenye wabunge wengi Wa upinzani ndani yake. Ni bunge litakalojadili na...
3 Reactions
40 Replies
3K Views
Rais Samia leo ameongelea ushauri ambao anaweza kuwapa wanawake viongozi wa sasa. Rais Samia amesema wasijikite kwenye misingi ya uongozi ya chuoni pekee. Ni muhimu kutambua na kujua lengo na ni...
4 Reactions
49 Replies
3K Views
Awali ya yote napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema kwa kulilinda taifa letu dhidi ya maadui wa ndani na nje ambao mara zote wamekuwa mstari wa mbele kuhahakikisha taifa hili halipo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wafanyabiashara ndogo ndogo maarufu kama Machinga wamemsifu Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kutokana na uamuzi wake wa kusitisha utaratibu uliotangazwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kuwataka...
3 Reactions
23 Replies
3K Views
Habari mama, Pole sana kwa msiba wa mumeo!, alikuwa great leader na wananchi wengi wanamkumbuka kwa utumishi wake ingawa ulikuwa mfupi kuliko kiongozi yeyote aliyetawala nchi yetu. Hiyo Pole...
164 Reactions
485 Replies
30K Views
Upanuzi wa barabara ya Morogoro kuanzia Kimara hadi Kiluvya ulihusisha ubomoaji mkubwa wa majumba, nyumba, vituo vya mafuta, nyumba za ibada, hospitali, zahanati na biashara mbali mbali ikiwemo...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Jibu: kwani wao hawaibi? Viongozi wetu wakiwa na uchungu sana na hii nchi hata walio chini hawataiba watakuwa wazelendo. Kutwa kiongozi mkubwa ananazunguka kulinda pesa za nchi hii ataweza peke...
4 Reactions
9 Replies
959 Views
Ukiangalia safu ya wasaidizi wa Rais utagundua ni wale wenye utata utata tupu yaani hao ndio wasaidizi wake wa sasa, angalia makamo Mwenyekiti wake wa chama yule huwezi mtenganisha na uwindaji wa...
15 Reactions
25 Replies
2K Views
Msemaji kutoka Umoja wa Mataifa amesema Tanzania ni nchi ya 11 duniani kwa Ndoa za Utoto. Amezungumza hayo kwenye kongamano la maendeleo ya sekta ya habari 2022 ambapo amesema suala la kuhusu...
1 Reactions
14 Replies
920 Views
Alhamisi, Desemba 15, 2022 JamiiForums, UTPC kunoa waandishi 500 wa habari-uchunguzi Mkurugenzi wa JamiiForums, Maxence Melo na Mkurugenzi wa Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (...
8 Reactions
16 Replies
968 Views
Mzee wetu Ysufu Makamba, Katibu Mkuu mstaafu wa CCM alitoa kauli yenye ukakasi mkubwa Sana kwenye Mkutano Mkuu uliopita, kuwa eti viongozi wema huwa hawafi na akatolea mfano wa JK na Kinana, kuwa...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Tuna vitu vingi Tanzania tumebarikiwa ila kutokana na siasa mbovu ndio mtaji unaotumika kuzoretesha au kuchelewesha maendeleo. Watawala na viongozi utumia mbinu hii kama mtaji wao upate...
0 Reactions
1 Replies
544 Views
Hizi shangwe sio za bure, Mkutano Mkuu wa CCM umekwisha, mengi tumeyaona na mengi tumeyasikia. Sasa tunafahamu ni nani kasema nini na nani anataka nini. Tumejitoa ufahamu watanzania wote...
3 Reactions
44 Replies
4K Views
Migogoro ya wakulima na wafugaji: Kauli za viongozi wa Serikali zinaweza kuhatarisha umoja wa makundi haya kuliko kumaliza tatizo. Utangulizi Hivi karibuni kumejitokeza kauli za viongozi wa nchi...
0 Reactions
2 Replies
546 Views
Daraja la kitengule ambalo linaunganisha misenyi na biharamulo ujenzi wake umegharibu billion 31 za kitanzania. Naamini hizi zitakuwa bil 31 za Zimbabwe
5 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom