Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ukame na njaa inayoendelea kutikisa mkoa wa Arusha na baadhi ya maeno nchini umewafanya wananchi waliokataa kuhama kwa huyari kutoka Bonde la Ngorongoro kwenda kijiji cha Msomero katika Wilaya ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mbona mnaishi kwenye fikra ya Tanzania ya Mwaka 1960. Hivi Leo hii bado naibu Waziri, Waziri, Waziri Mkuu na Rais, mnakua wa namna hii? Mimi sio Muandisi, ila Hili DARAJA haliwezi gharimu...
15 Reactions
56 Replies
5K Views
Dada yangu Dorothy Gwajima, wizara ya afya Ili kushindwa na hili la ukeketaji mabinti wadogo nalo limekushinda? Kweli viongozi wengi ndani ya Serikali ni wanawake waneshindwa kuzuia ukeketaji wa...
0 Reactions
3 Replies
853 Views
limekuwa gumzo kwa nini mawaziri na watu wanaojiweza wanapeleka watoto wao shule za kiingereza kwa gharama kuu wakati watoto wa masikini hawajaliwi katika shule za kata. sababu ni moja tuu ni...
8 Reactions
48 Replies
4K Views
Ni takribani Mwaka wa 2 sasa tangu Serikali ya Awamu ya 6 iingie Madarakani. Serikali iliyojipambanua kwa kufungua mipaka na kuichora upya ramani ya Tanzania kwenye ramani ya dunia. Katika safari...
1 Reactions
4 Replies
893 Views
Sisi tulio makabila madogo na tulio pembezoni, tulionya sana katika miaka y karibuni juu ya kujitokeza vashiri vya Ukanda, Udini na Ukabila katika siasa za nchi. Sasa zimeanza kujitokeza dhahiri...
11 Reactions
70 Replies
5K Views
Salamu nyingi wana jamvi. Mwaka 2015 wakati Dr Slaa anaondoka chadema, sisi wenye uwezo wa kuona mbali tulionya kwamba chadema imetema big g na kuchukua karanga za kuonjeshwa(Lowasa), Kama...
60 Reactions
339 Replies
36K Views
Watu uwabeza wenzao sana hasa wanapokuwa hai, lakin mbaya zaid wakifa ndo wanagundua kwamba walikuwa na Umuhimu sana, Leo hii CCM na T.O.T yake haipo katika hali ile ile ya kipindi cha Komba...
74 Reactions
165 Replies
17K Views
Nikiagalia pale Rwanda pale, walimshangilia Kagame kwa kupata mkombozi safi, Uganda wakafika hatua wakasema Hakuna kama Mseveni kwa meizi ile 50 ya mwanzo lakin muda huu unaoana kinachoendelea...
20 Reactions
44 Replies
5K Views
Ukweli ni kwamba, Mama anahujumiwa sana tena sana. Tukumbuke kuwa Mama anapohujumiwa, Nchi ndo inayohujumiwa. Nchi inapohujumiwa, Watanzania wote mmoja wanahujumiwa kwa kukosa huduma za kijamii...
6 Reactions
17 Replies
1K Views
Waziri wa habari, Nape Nnauye akizungumza kwenye kongamano la habari leo, tar. 17, 12, 2022 lenye kauli mbiu isemayo, habari kwa maendeleo endelevu. Nape amesema, rasilimali za Taifa kutumika...
1 Reactions
21 Replies
1K Views
Kuna mtu anaweza kuwa Anahubiri uzalendo anahubiri kuwa waadilifu, lakin ukiona au ukibahatika kujua mambo yake utabaki mdomo wazi, Maafisa wa TAKUKURU wana mengi wanajua, Maafisa wa ngazi za...
16 Reactions
48 Replies
6K Views
Yan Pamoja na Mapungfu ya Membe lakin mzee huyu anabebeka so kama Lowassa, Ninawaza kwamba mfano Membe akaamua kwamba nahamia CHADEMA tu ni mshtuko mkubwa ndani ya CCM na inaweza ikasababisha...
10 Reactions
115 Replies
11K Views
Tunatarajia kuwa na katiba mpya hivi karibuni! Ngoja tusizungumzie hiyo ijayo tuzungumzie iliyopo! Katiba iliyopo inaitambua nafasi ya Urais kuwa ni ya watanganyika na makamo wa Rais shariti...
0 Reactions
3 Replies
461 Views
Kumekuwa na unyanyasaji sana kwa watoto wetu wanaochukuliwa kwenye Ofisi za Serikali kwa ajili ya mafunzo ya kazi (internship programs). Ukienda sekata binafsi kuna nafuu kubwa sana sana hasa kwa...
1 Reactions
0 Replies
960 Views
CHOKOCHOKO ZA KISIASA NI HATARI KWA UMOJA WA KITAIFA - SHAKA Asisitiza kuwa Rais Dk. Samia, Rais Dk. Mwinyi wanafanya kazi kubwa kuleta maendeleo waungwe mkono Na MWANDISHI WETU, Pemba Katibu...
3 Reactions
9 Replies
853 Views
Kuna mengi yanaongelewa kwa sasa na wakati uliopita. Kwa ujumla kila awamu ya uongozi, watawala hujigamba kwamba mambo yetu yanaenda vizuri, uchumi unakua, makusanyo ya Serikali yanaongezeka...
0 Reactions
0 Replies
345 Views
Vyama vya siasa si ajira kwamba ni mahali pa kwenda kujipatia riziki. Vyama vya siasa vina wajibu. Wajibu wake si mdogo. Siasa ni kama mchezo wa mpira kuchukua na kuzitumia lose balls zote Ili...
4 Reactions
20 Replies
1K Views
Kwanza niseme mimi siyo wa kwanza kuwalalamikia hawa Bodi ya Mkopo Elimu ya Juu (HESLB). Ukiingia ATM uka-command kutoa pesa, ukapewa risti na pesa isitoke. Ukiingia ndani au ukapiga simu pesa...
5 Reactions
27 Replies
3K Views
Ukumbi wa Kimataifa Wa Mikutano wa Julius Nyerere (JNICC)- Dar es Salaam AZIMIO LA JUMLA Kongamano limeazimia kuipongeza serikali ya awamu ya sita kwa hatua kubwa iliyochukuliwa kupanua uhuru wa...
0 Reactions
0 Replies
622 Views
Back
Top Bottom