Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kila litamkwapo neno Gamba akilini kwa wengi umfikiria Mtu aliye au anyemiliki kadi ya Kijani kwa Kifupi mwanchama wa CCM aliye na ngazi serikalini, Ilifika muda kila likitajwa neno Gamba...
2 Reactions
31 Replies
6K Views
Katika mambo ambayo watanzania wananipaga raha ni kwenda na here say, Matukio ya muda huo na kuyasahau , leo hii wamemsikia Membe na Rostam wametoka kwenye mstari wa wanayoyaamini, Hata watu...
1 Reactions
30 Replies
3K Views
LAANA INAWATESA AKINA MBOWE. Mzee EDWIN MTEI na BOB NYANZA MAKANI waliianzisha CHADEMA ili ije kushika dola na kuonyesha utofauti kimatendo Kati ya CHADEMA na CCM. WAZEE hawa waliweka pembeni...
2 Reactions
7 Replies
697 Views
Wadau habari za muda. Naomba tusaidiane hapa, maana kuna mtu kanifata kuniuliza kitu ambacho nimeshindwa kumjibu. Nakumbuka miezi kadhaa iliyopita Waziri Wa Fedha Bw. Mwigulu alichukua maoni ya...
1 Reactions
20 Replies
1K Views
Mheshimiwa Mkuu wa Chuo Kwa heshima na taadhima, pia kwa unyenyekevu mkubwa,ninaomba niwasilishe taarifa kumhusu Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kwa...
3 Reactions
57 Replies
5K Views
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Eti ndugu zangu wa Tanzania nimesikia tetesi...
3 Reactions
34 Replies
5K Views
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Innocent Bashungwa amewasimamisha kazi maofisa watano wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu, mkoani Manyara kwa...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Sitaki, sitamani na sitarajii kumuona kiongozi yeyote; (a) Anaharibu mahusiano baina ya nchi yetu na nchi nyingine. (b) Anaharibu mahusiano baina ya wanachama wa tawala na wale wa vyama vya...
1 Reactions
6 Replies
541 Views
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe amewapiga marufuku wafanyakazi wote walio chini ya wizara yake kusafiri kwa ndege katika daraja la kwanza, akieleza kuwa huo ni ubadhirifu wa fedha za...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Kwa mfano unawezaje kujua sasa serikali inafanya jambo kwa ajili ya Tanganyika na sasa inafanya kwa ajili ya Muungano?? Je, Rasirimali zilizopo Tanganyika ni mali ya Muungano ama ni mali ya...
8 Reactions
27 Replies
1K Views
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro mh Fatma Mwassa amesema itakuwa ni aibu endapo Bwawa la Nyerere litakamilika halafu lishindwe kuzalisha Umeme kwa sababu ya ukosefu wa Maji. Mh Mwassa amewataka Wananchi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwenye interview ya Furaha, amemchanachana Askofu Gwajima kwa kusema kuwa ni MNAFIKI na MUONGO. Kazungumzia vipi alivyowatapeli wananchi wa Kawe kwa kudai kuwa ndani ya siku 100 atawajengea wana...
19 Reactions
147 Replies
14K Views
Nimeshtushwa kidogo kuona Dereva akiwa na gari yenye nembo ya TASAF akijinadi Kwa mbwembwe kuwa yeye "kaheshimishwa" na Rais/Mwenyekiti wa CCM kuendesha "gari Kali". Anayazungumza haya akiwa na...
9 Reactions
69 Replies
3K Views
Leo Rais Samia Suluhu atapokea kombe la COSAFA Ikulu ya Dar es Salaam kutoka timu ya wanawake, Twiga Stars ililipata kombe hilo nchini Afrika Kusini baada ya kuishinda timu ya wanawake ya Malawi...
7 Reactions
41 Replies
6K Views
Mwenezi wa sasa wa NCCR Dkt. Frank anasema Kaimu mwenyekiti wao mh Ambari ameuza Majumba yake, mashamba, magari na mali nyingine ili kupata Fedha za kuendesha chama Naye mwenezi wa zamani Profesa...
6 Reactions
26 Replies
3K Views
Wapo watu ambao wanaamini kwamba mahakamani huwa hakuna haki bali kuna sheria pekee. Kwa kiasi kikubwa huwa ninakubaliana nao. Kazi za mahakama ni kutafisiri sheria. Katiba ndiyo sheria mama au...
1 Reactions
2 Replies
647 Views
Huko Zanzibar mambo ndiyo kama hivi: Ya nini kufanya uchaguzi bila katiba mpya? Si heri kuwaacha CCM kama ndivyo waendelee tu kulamba asali kwa raha zao? “Insanity is doing the same thing over...
4 Reactions
52 Replies
3K Views
Nimefuatilia sinema inayochezwa na CCMbara nimegundua kuna umuhimu wa kuwa na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM wawili kwa kila upande wa seriksli zote mbili. Kwa sasa ukifuatilia sensa ya watu...
2 Reactions
10 Replies
934 Views
Mwalimu Nyerere aliwahi kutamka kuwa, mtu mwenye nia ovu akikudanganya na wewe ukaupokea uwongo wake anakudharau. Rais Obama aliwahi kutamka kuwa Afrika haiendelei kwa sababu viongozi wake badala...
11 Reactions
17 Replies
1K Views
Januari Yusuph Makamba, Mwanasiasa kijana mwenye ushawishi mkumbwa ndani ya Chama cha Mapinduzi ambaye Mwaka 2015 aliingia 5 bora ya wagombea wa Urais. Hivi majuzi tumeona kwenye uchaguzi wa...
12 Reactions
71 Replies
6K Views
Back
Top Bottom