Mungu ni mwema wakati wote.
Kwa wale wale wabobezi wa masuala ya uchumi na fedha naomba kujua tafsiri sahihi ya deni la taifa kuwa "Himilivu"
Kila zama na kitabu chake!
Pongezi kwako Mh Rais wetu kwa mageuzi yenye tija ktk nyanja kadhaa.
Maendeleo ni mchakato endelevu na wenye kuhitaji dira imara na maamuzi thabiti ya kimapinduzi.
Tunajenga miundombinu...
Mwenyekiti wa CHADEMA mh Mbowe amewataka Watanzania Kutoka majumbani kwao na kuipambania nchi hii wakiwa mstari wa mbele
Mbowe anesema wakati Huu ambapo CCM wamelalia Magodoro ya Sponji " Vono"...
Chadema huko Ifunda Jimboni Kalenga Mkoani Iringa wamelalamika bendera zao katika vijiwe Vyote zimeshushwa usiku ili kupisha mapokezi ya Katibu mkuu wa chama Komredi Chongolo
Ifunda maeneo ya...
Hii ndio Taarifa mpya iliyopatikana leo kutoka huko Iringa kwenye Jimbo la Kalenga , kwamba kwa vile Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Chongolo anafanya ziara Kwenye Jimbo la Kalenga basi ikaamriwa bendera...
Hili suala la kuchangisha walimu mchango wa mwenge limekuwa endelevu Kwa sababu Kila mwaka walimu wanakuwa wakichangia Kwa kulazimisha.
Mbaya zaidi Kila mwaka fedha inakuwa ikiongezeka...
BILIONI 7.2 KUPELEKA MAJI SAFI NA SALAMA VIJIJI 8 HALMASHAURI YA WILAYA YA MOMBA
MBUNGE wa Jimbo la Momba Mhe. Condester Sichalwe (CCM) amesema matamanio yake ni kuona Vijiji vyote 72 vya...
Akihitimisha Ziara ya Operesheni +255 Mkoani Tabora mwenyekitu wa Chadema Mh. Mbowe anesema katika ukaguzi waliofanya Kigoma, Katavi na Tabora wamegundua hakuna Serikali ya Kijiji wala Mtaa...
WIZARA YA TAMISEMI INAKUSAIDIA KUTENGA FEDHA KWA AJILI YA UJENZI WA STENDI YA HALMASHAURI YA MOMBA
Katika kipindi cha maswali na majibu Bungeni Jijini Dodoma Mbunge wa Jimbo la Momba Mhe...
Baraza la Biashara la Afrika Mashariki limemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kukabidhi ardhi kwa baraza hilo yenye ukubwa wa hekta tatu.
Hati miliki ya ardhi hiyo namba 4/2 iliyopo eneo la...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika Sherehe ya kuapishwa Rais Mteule wa Nigeria Mhe. Bola Tinubu katika Eagle Square Abuja chini Nigeria leo tarehe 29...
Kile Chama Pekee cha Kisiasa Nchini Tanzania chenye uwezo wa kufanya mikutano ya hadhara , leo kimeingia Mkoani Tabora na kutoa elimu Kabambe kuhusu Umuhimu wa Watanzania kuhakikisha katiba mpya...
Uzi huu utakuwa maalumu kwa kupeana taarifa za miradi mbalimbali inayosuasua au iliyokwama kumalizika ujenzi wake ili kusaidia kuiamsha serikali iweze kutupia jicho kwenye hiyo miradi iweze kuisha...
Hapa ni kauli tokea katika kile chama ambacho wapuuzi hawapendi kusikia kwamba ni tegemeo la wengi:
Lissu: Tusipopata Katiba Mpya kabla ya Uchaguzi tunyamaze milele
Ameyatamka TAL rais wa...
MHE. JANEJELLY NTATE AFANYA KONGAMANO LA WALIMU WA SANYANSI NA HISABATI MKOA WA DAR KUTAFUTA CHANZO CHA WANAFUNZI KUTOKUWA NA UFAULU MZURI KATIKA MASOMO HUSIKA HASA WANAFUNZI WA KIKE
Mhe...
Katika hatua ya ushirikishwaji wa makundi yote ili kuratibu mchakato wa Katiba mpya ndio CHADEMA wamegoma kuhudhuria. Makundi yote yaliyoalikwa yameitikia Wito.
Swali: CHADEMA ni special sana...
Baraza la Sanaa la Taifa BASATA badala ya kuwapa elimu sahihi Wasanii kama Sheria inavyo wataka, wao wanawadanganya na kuwapoteza eti NEMC inazima Muziki.
NEMC haizimi Muziki, imeweka viwango...
Jumla ya masanduku 191,885 ya kupigia kura yameundwa kwa ajili ya wapiga kura nchini. / Picha: TRT World
Rais wa sasa wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan ametangaza ushindi katika duru ya pili ya...
MORRISON ALITAKIWA KUINGIA MAPEMA BAADA YA AZIZ KI KUSHINDWA MCHEZO.
Leo Jioni 18:30hrs 28/05/2023
Mzee wa kuzama katikati ya msitu wa mabeki,Mzee wa kugima kwenye utelezi,akianguka anainuka...