Mahweso
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 1,098
- 1,501
Mnakumbuka siku Rais alikutana na Mawaziri Wakuu wastaafu? Walisimama kuongea machache, Lakini kilichonishtua kwenye mkutano ule ni kauli ya Sumaye ya kusema nimehamia Chadema kwa faida ya CCM.
Je ni faida gani ataifaidisha CCM akiwa Chadema? Kugombea uongozi wa juu ili kukiua Chadema au alikuwa anamaanisha faida gani? Na kwanini malalamiko mengi ya kuanguka kwake Pwani yanatoka CCM?
Chadema kuweni macho, huyo ni mpango wa CCM. Yupo Chadema kwa faida ya CCM, na Ndio maana anguko lake Pwani wanaolalamika ni CCM.
Je ni faida gani ataifaidisha CCM akiwa Chadema? Kugombea uongozi wa juu ili kukiua Chadema au alikuwa anamaanisha faida gani? Na kwanini malalamiko mengi ya kuanguka kwake Pwani yanatoka CCM?
Chadema kuweni macho, huyo ni mpango wa CCM. Yupo Chadema kwa faida ya CCM, na Ndio maana anguko lake Pwani wanaolalamika ni CCM.