Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ni wazi Mbowe ameishiwa na hana cha kuongea. Anazungumzia sana jinsi ambavyo asubuhi alikuwa mfungwa jioni akawa ana kula kuku Ikulu. Na anashukuru sana. Yaani amesahau hata ni nani alimkamata na...
2 Reactions
8 Replies
833 Views
Hii ni mara ya pili hawaonekani hadharani kulikoni? Mara ya kwanza ni kuagwa kwa mwili wa kachero mmbobezi Bearnad Kamilius Membe,huyo alikuwa ni swahiba wao mkubwa sana wa wazuri hawafi,nilijua...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Nchi yetu imekuwa na Marais wachache tangu kupata uhuru hivyo ni rahisi kupima legasi zao mahususi kwa upekee wa kila mmoja Tukianza na Rais wa kwanza Mwl Nyerere anakumbukwa kwa mengi ila kwa...
4 Reactions
56 Replies
4K Views
Mhandisi Godfrey Kasekenya naibu waziri wetu wa uchukuzi na ujenzi sekta ya ujenzi. Jana ulikuwa unasain mkataba wa ujenzi wa barabara ya...
1 Reactions
0 Replies
956 Views
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Samwel Shelukindo amekutana kwa mazungumzo na Balozi wa Japan nchini, Mhe. Yasushi Misawa na kujadiliana masuala...
0 Reactions
0 Replies
555 Views
Sijamuona Tundu Antipas Lissu mgombea Urais wa Chadema kwenye uzinduzi wa Ikulu ya Chamwino Nilitegemea angetua na chopa kuhudhuria show na baadae angerejea Kigoma Haya ni matukio muhimu sana ya...
-1 Reactions
11 Replies
1K Views
Mwenyekiti wa Chadema Mbowe amesema alipotoka Jela asubuhi na Jioni kwenda Ikulu alimwambia Rais Samia " Wewe ni mwanamke, ni mama mlezi wa familia Usirithi Ukatili wa Mtangulizi wako" Mbowe...
11 Reactions
56 Replies
4K Views
MBUNGE EDWARD OLE LEKAITA ASISITIZA MATUMIZI YA UCHUMI WA KIDIGITALI & APONGEZA UJIO WA MINARA YA MAWASILIANO KATIKA KATA 12 ZA KITETO "Namshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuweka fedha...
0 Reactions
1 Replies
874 Views
Leo tarehe 19.05.2023, mwenyekiti wa Chadema Tanzania, Freeman Mbowe, atafanya mikutano minne katika jimbo la Muhabwe, mkoani Kigoma. Mikutano hii itafanyika katika maeneo tofauti ya jimbo hilo...
12 Reactions
66 Replies
3K Views
TARURA MKOA WA IRINGA KAZI INAENDELEA NDANI ya miaka miwili ya uongozi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kumekuwa na uimarikaji kwa mtandao wa barabara za...
1 Reactions
0 Replies
589 Views
BILA UZALENDO HATA TUJENGE HOSPITALI AU SHULE KILA KATA, BADO NI BURE. Anaandika, Robert Heriel Kukosa miundombinu ya Huduma za kijamii ni tatizo lakini kukosa uadilifu na Uzalendo ni janga...
9 Reactions
29 Replies
1K Views
Jee huu ni UNAFIKI au UPUMBAVU? Seriousness ya Watanzania iko wapi? Ndiyo maana Mwigulu anawadharau anajuwa zile ni mbambamba tu. Angalia wajinga hao kwenye clip wanavyogombea kupata selfie na...
9 Reactions
43 Replies
5K Views
Mama Janeth Magufuli kwa kweli amezidi kupendeza, nimefuatilia sana matukio yake katika awamu ya sita, ni mtu mwenye furaha sana, anatabasamu, kwa kweli anaonekana mtu mwenye amani sana, hana...
6 Reactions
10 Replies
1K Views
Ni dhahiri kwamba mkutano wa CDM hauwi mkutano bila kumtaja JPM. Nimeshuhuda mara kadhaa katika mikutano ya CDM inayoendelea. Hakuna Kiongozi anayemaliza mkutano bila kumtaja JPM. Hongera sana...
2 Reactions
11 Replies
960 Views
Gia aliyoingia nayo Zelensky kwenye kampeni ya uchaguzi huko Ukraine ni KUAHIDI KULETA AMANI kwenye majimbo mawili ya Donbass yaliyojitenga. Aliahidi kuwa atayaruhusu kuwa na uhuru wa ndani lakini...
0 Reactions
0 Replies
583 Views
Mzuka wanajamvi! Huyu mwanamama alishawahi kuwa kwenye baraza la mawaziri wakati wa Kikwete na kupelekwa Kuwa Balozi wetu Japan. Lakini rais Magufuli alipoapishwa tu na kuwa rais mara ya kwanza...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
MBUNGE NGASSA: "IGUNGA MLITUPA KURA, TUNAWALIPA MAENDELEO" Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe. Nicholaus George Ngassa, amefanya Ziara ya Kikazi Jimboni kwa kufanya Ziara kwenye Vijiji vinne vya Kata...
1 Reactions
0 Replies
354 Views
Utakuta tumekopa mabilioni kujenga ikulu kubwa zaidi duniani. Tumekopa hata ramani ya Mjerumani aliyotumia kujenga ikulu ya Magogoni, mwonekano ni uleule hata Zanzibari muonekano ni ule ule, nani...
3 Reactions
24 Replies
2K Views
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam bwana Chalamila ameanza kazi kwa kasi ya ajabu huku akitumia usafiri wa Bajaj kuwafikia Wananchi ili kusikiliza kero zao. Mapema leo jioni bwana Chalamila ameonekana...
18 Reactions
87 Replies
8K Views
Mheshimiwa Spika, kufuatia taarifa iliyowasilishwa humu Bungeni na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, ninaomba kutoa hoja kwamba Bunge lako Tukufu likubali kupokea na kujadili...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom