Labda itakuwa ni siri ya ile dawa iliyotufikia kutokea Madagascar:
Ila si Uganda:
Serikali ya Tanzania na magonjwa ya changamoto
Wala Kenya:
New wave of Covid-19 and influenza hit Kisumu schools
Huko kote kumethibitishwa uwepo wa wimbi jipya, ila siyo kwa wale vichwa ngumu, wana maombi kindaki ndaki.
Majirani washauriwe wanaweza kuwa wana cha kujifunza kutokea kwetu ambako vifo ni kwa mapenzi ya Mola:
Tanzania na vifo tata vya watu bila Postmortem Wala kumhusisha Coroner
Ila si Uganda:
Serikali ya Tanzania na magonjwa ya changamoto
Wala Kenya:
New wave of Covid-19 and influenza hit Kisumu schools
Huko kote kumethibitishwa uwepo wa wimbi jipya, ila siyo kwa wale vichwa ngumu, wana maombi kindaki ndaki.
Majirani washauriwe wanaweza kuwa wana cha kujifunza kutokea kwetu ambako vifo ni kwa mapenzi ya Mola:
Tanzania na vifo tata vya watu bila Postmortem Wala kumhusisha Coroner