ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,114
- 49,840
Wakuu kwa miaka ya hivi karibuni Nchi ya Zambia Imekuwa Inaleta Sana chokochoko na usumbufu kwenye issue ya kufanya biashara na Tanzania.
Mara Wazuie Malori yetu,Mara waseme yamebeba magogonyao,mara Waseme Mizigo Iishie Mpakani Madereva Wao Waendeshe,mara Waseme Uviko 19 nk nk.
Upuuzi huu wanafanya Zambia ndio Kenya walikuwa wanafanya miaka ya nyuma dhidi ya Tanzania, Wakati mwingine Huwa wanakata umeme Kwa kusudi bila taarifa harafu wanakuja kusema eti ooh Kuna matengenezo utadhani umeme wanatupa Msaada ilhali tunanunua.
Hawa Zambia wamekuwa wanahujimu sana Tanzania hasa kwenye mpaka wa Tunduma na tunakoelekea Watatusumbua zaidi maana Sasa wanaelekeza Nguvu kwenye bandari za Angola na Msumbiji..
Wiki kadhaa zilizopita walizua taharuki Kwa kisingizio Cha kusema eti Scanner imeharibika na ukifuatilia ni hujuma,wivu na husda Wala hamna kitu kingine..
Sasa hivi wamezuia mahindi ya wafanyabiashara wa Tanzania waliyonunua huko huko kwao Zambia yasiuzwe Nje ya Nchi..
Watanzania walipewa ruhusa ya kununua na kuuza kokote Sasa wamekamata Malori Wakija na visingizio vya kusema wauze ndani ya Nchi Yao..
My Take
Serikali anzeni kutafuta njia nzuri ya kuifikia DRC bila Kupitia Zambia,Hawa watu Kwa Sasa Wana wivu uliopitiliza na unaotoshia Ustawi wa biashara na Uchumi Wetu..
Mara Wazuie Malori yetu,Mara waseme yamebeba magogonyao,mara Waseme Mizigo Iishie Mpakani Madereva Wao Waendeshe,mara Waseme Uviko 19 nk nk.
Upuuzi huu wanafanya Zambia ndio Kenya walikuwa wanafanya miaka ya nyuma dhidi ya Tanzania, Wakati mwingine Huwa wanakata umeme Kwa kusudi bila taarifa harafu wanakuja kusema eti ooh Kuna matengenezo utadhani umeme wanatupa Msaada ilhali tunanunua.
Hawa Zambia wamekuwa wanahujimu sana Tanzania hasa kwenye mpaka wa Tunduma na tunakoelekea Watatusumbua zaidi maana Sasa wanaelekeza Nguvu kwenye bandari za Angola na Msumbiji..
Wiki kadhaa zilizopita walizua taharuki Kwa kisingizio Cha kusema eti Scanner imeharibika na ukifuatilia ni hujuma,wivu na husda Wala hamna kitu kingine..
Sasa hivi wamezuia mahindi ya wafanyabiashara wa Tanzania waliyonunua huko huko kwao Zambia yasiuzwe Nje ya Nchi..
Watanzania walipewa ruhusa ya kununua na kuuza kokote Sasa wamekamata Malori Wakija na visingizio vya kusema wauze ndani ya Nchi Yao..
My Take
Serikali anzeni kutafuta njia nzuri ya kuifikia DRC bila Kupitia Zambia,Hawa watu Kwa Sasa Wana wivu uliopitiliza na unaotoshia Ustawi wa biashara na Uchumi Wetu..