Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Hovyo kabisa! Tuna viongozi wazembe na wasio na uwezo hata kidogo wa kuibua kuanzisha miradi na kuisimamia ili wapewe heshima zao, badala yake wanataka kulazimisha kupewa heshima zisizo zao...
8 Reactions
69 Replies
4K Views
Hakuna ubishi wametumia vyema kodi za watanzania kujenga jengo hili. Hakuna ubishi
0 Reactions
7 Replies
578 Views
Mngejua nguvu na mama oneni alivyomtoa Kalemani na Chamuriho na sukumagang wengine Mnaona alivyowatoa fasta sukuma Gang wote?Tena chaap kwa haraka bila hata kujitetea Wengine walikua na makosa...
5 Reactions
26 Replies
2K Views
Kinachowasaidia sana ccm kubaki madarakani ni wapinzani na watanzania kusahau matukio mazito kwa mda mfupi. Tena wana mbinu sana hawa watu, walipoona swala Alphonce Mawazo limepamba moto wakaamua...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
MBUNGE DKT. ALFRED KIMEA ASISITIZA MATUMIZI YA LUGHA YA KINGEREZA KWENYE MTAALA WA ELIMU TANZANIA YASIPUUZWE Mbunge wa Jimbo la Korogwe Mjini, Dkt. Alfred Kimea tarehe 16 Mei, 2023 amechangia...
1 Reactions
0 Replies
755 Views
Utanzania kwanza 🇹🇿 1. Hamuwezi Kushika Dola kwa kudharau vyama vingine vyenye Nia. Wanyonge huungana kumkabili mwenye nguvu, msiendeshe siasa ya Tanzania kwa kufananisha na Republican na...
6 Reactions
30 Replies
2K Views
Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo imeadhimisha kilele cha Siku ya Uanuai wa Utamaduni katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) ambayo huadhimishwa duniani kote tarehe 21 Mei kila mwaka. Akizungumza...
1 Reactions
0 Replies
313 Views
Nimeridhika na Maelezo ya Chadema kwamba wanatoa Elimu ya Katiba Mpya jinsi itakavyowakwamua Watanzania waliozungukwa na Ufukara Kwamba wamejibobeza kwenye Maendeleo ya WATU siyo Vitu Mungu...
2 Reactions
3 Replies
474 Views
KAMA ilivyozoeleka kwa baadhi ya wafanyabiashara, huwa wanapandisha bei ya bidhaa mara tu wanaposikia serikali imeongeza msha-hara na marupurupu kwa wafanyakazi kila mwaka. Uviziaji huo hufanyika...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mbowe anazunguka na Chopper. Mbowe amepewa Landcruiser V8 mbili na Samia. Ana msafara wa V8 kumi nambili, Huku Makamu mwenyekiti wake anabaguliwa. Hana hata gari moja Nadhani ni dhahiri kwamba...
5 Reactions
30 Replies
2K Views
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana leo Mei 21, 2023 jijini Dar es Salaam amefungua wiki ya michezo kuelekea Siku ya Afrika Mei 25, 2023 iliyoandaliwa na Umoja wa...
0 Reactions
0 Replies
337 Views
Baada ya Uzinduzi wa Ikulu Mpya huko Chamwino, mambo mengine ya msingi yangali yanaendelea. Ile Operesheni ya 255 kama unavyoona pichani ingali inaendelea kwa kasi kubwa. Huko Kasulu Chadema...
1 Reactions
17 Replies
1K Views
HOTUBA YA WAZIRI KIVULI WA MAWASILIANO, TEKNOLOJIA YA HABARI NA UCHUKUZI ACT WAZALENDO MWL. PHILBERT MACHEYEKI KUHUSU MPANGO WA BAJETI YA WIZARA YA HABARI, MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI KWA...
0 Reactions
0 Replies
605 Views
Taarifa ikufikie popote ulipo , kwamba leo 21/5/2023 , Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu na Team yake akiwemo Katibu Mkuu John Mnyika , bado wangali Kigoma katika ile Operesheni Kabambe...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Ndugu zangu nimekuwa nikiwaza kwamba kanisa Katoliki linawezaje kuthibiti migogoro ndani yake? Hata kama ipo ni ngumu kuisikia mtaani kiasi cha kutitishia ustawi wa kanisa hilo, baadae nikapata...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Doto Mashaka Biteko, mmoja wa wanasiasa vijana kabisa na ambao tangu kuingia katika siasa na katika serikali, wameonyesha siyo tu utendaji unaokwenda na wakati, bali pia uwezo wa kuzielewa wizara...
2 Reactions
19 Replies
1K Views
Ikulu haijakamilika ujenzi unaendelea,this time around ni Samia Complex ===== Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan wakati wa uzinduzi wa Ikulu mpya ya Chamwino Dodoma leo amesema baada ya...
7 Reactions
99 Replies
10K Views
Nimefatilia jana uzinduzi wa Ikulu ya Chamwino Dodoma naona hayati Magufuli hakutendewa haki. Mimi ni miongoni mwa watu ambao sio waumuni wa Magufuli hata kidogo sikufurahishwa na utendaji wake...
14 Reactions
56 Replies
4K Views
Ukweli huo unaweza kupuuzwa tu na mtu mwenye kufikiria leo. Lakini kwa mwenye maono na afya ya akili, katiba iliyopo inatokana na msingi wa sheria za kikoloni na baadae kuendelea kufanyiwa...
2 Reactions
1 Replies
576 Views
Back
Top Bottom