Watanzania tunahitaji kama taifa au nchi kuwa na tume ya ukweli na maridhiano ya kitaifa na siyo CCM na CHADEMA.
Tume ya Ukweli na Maridhiano ya kitaifa itahusisha wananchi wote bila kujali...
Mamlaka ya Vitambulisho Tanzania NIDA ina uhalali na ulazima gani kuwepo?
Kwa mujibu wa utafiti wa taasisi ya Research ICT Africa iliyochapwa 16 Julai 2021, NIDA imefikia tu 6.2% ya wananchi...
Leo tena mfu hapo juu amepokea nderemo za kutosha na zisizoelezeka kutoka kwenye hadhira fulani kila lilipotajwa jina lake. Ajabu!
Ni wazi ipo haja kwa tusiompenda huyo jamaa tujiulize ni wapi...
Habari wanajukwaa.
Leo kwenye uzinduzi wa kuanza kujaza maji kwenye bwawa la Nyerere, Waziri wa Nishati bwana January Makamba ametema nyongo..
Akitoa maelezo ya bwawa Hilo Waziri Makamba...
Habari wanajamvi,
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ameunda tume Kuchunguza Upigaji kwenye ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Ukerewe ambako kiasi Cha zaidi ya Bil.2.7 zimeteketea huku ujenzi wa...
Katika mahubiri yanayoendelea WRM leo jumapili 27/12/2020, Nabii Nicolaus Suguye amewataka viongozi wa serikali wakatubu kwa blunder zilizofanyika ktk uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020.
Ameongeza kwa...
Kwa muda Mrefu Waziri Mwigulu Nchemba amekuwa akitoa kauli tata ambazo humlazimu Mh Rais kutoka hadharani na kuzitolea ufafanuzi kwenye hili Mwigulu inakupasa kuwajibika
Salaam wanajamvi,
Juzi kulikuwa na mkutano ulioitishwa na wahariri wa vyombo vya habari mkoani Iringa ambapo mgeni rasmi alikuwa ni mh Makamu wa Rais.
Mkutano huu dhima yake mahususi wahariri...
CCM YASEMA IPO TAYARI KWA USHINDI AMANI, KATA SABA
Shaka aeleza mwenendo wa kampeni umetoa mwangaza kushinda kwa kishindo
Na MWANDISHI WETU
WAKATI wananchi katika Jimbo la Amani, Zanzibar na...
Naomba sana Jamii forums Uzi huu ikiwezekana ufikishwe Kwa ofisi ya waziri mkuu,
Tar 4 mwezi November 2022 waziri mkuu akizindua zoezi la ugawaji vishikwambi namnukuu, "kila mwalimu apate...
Kongamano la Wahariri naweza kusema limeacha maswali mengi sana kuliko mafanikio tuliyotarajia tuyaone kutokea hapo.
1. Nani aliyewalipa posho na malazi kwa siku zote walizokaa Iringa(Yeye...
~ Nini kimesababisha bwawa la JHNP lisikamilike kwa wakati?
~ Kwanini aliyekuwa waziri wa nishati kabla ya kutumbuliwa alituhakikishia litakamilika june 2022.
~ Crane za mizengwe za January?
~...
Kwa wanaoifahamu Dodoma, bila shaka watakuwa wanaelewa eneo hilo la Jeshi ambalo ni pori kubwa na sasa linageuka pori katika ya Jiji la Dodoma baada ya mji huu kuendelezwa kama Makao Makuu ya...
Kwenye sheria na mahakamani wanao msemo wa mahakama siyo mama yako. Dhana hii inaelekeza kuwa mahakama itakupa tu kile ulichoomba na kuthibitisha stahiki ya wewe kupewa.
Hivi karibuni imetolewa...
LRCT ni taasisi ya Serikali, ni mali ya umma siyo mali yenu
Tumieni nafasi zenu kutumikia wananchi
Mtumishi wa umma hauna hati miliki na taasisi ya umma
Tumikieni wananchi kwa...
Kuna kila dalili kwamba SGR itakapokamilika bado tutakuwa na reli ya zamani ikitoa huduma. Hapo mwanzo nilifikiri kwamba reli ya zamani itaendelea kutoa huduma kwa matawi ya Tabora - Mpanda, na...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akishiriki shughuli ya kuanza kujaza maji kwenye bwawa la Julius Nyerere (JNHPP) leo Desemba 22, 2022
Maharage Chande, Mkurugenzi wa...
Wadau nawasalimu,
Niende kwenye swali langu moja kwa moja. Je, pilika pilika za Kikosi Kazi zimeishia wapi na madai yao 18 au ni kanyaboya kama lile la Tril. 360 za Barrick?
Haya yamejulikana leo baada ya Mkuu wa Shirika la Reli ndugu Kadogosa kuyasema mbele ya Dkt Samia .
Nachukua nafasi hii kuwapongeza wadau wa JF waliofumua mambo haya hadharani hata kabla...
Ujenzi wa bwawa la JN-HPP pamoja na Usambazaji wa umeme vijijini Rais Samia ameongeza bajeti kwa 230% kutoka TZS 1.01T FY2020|21 hadi TZS 2.34T FY2021|22,
===
Tufahamu lengo la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.