Wakati wananchi wakiendelea kuteseka na kupanda kwa bei za bidhaa mbalimbali pamoja na gharama za maisha kiujumla, inasikitisha kuona jicho la serikali linazidi kuelekea katika matumizi ya hovyo...
"Njia ya kwenda Ikulu ni nyeupe, pee!"
Hayo si maneno yangu bali ya kachero mbobezi katika ubora wake. Alikwenda mbele zaidi kachero yule kwa kusema:
"Lakini itabidi kukaa chini na wenzetu...
Habari wana jf,
Diwani wa kata ya Ikunguigazi, iliyo Wilaya ya Mbogwe Mkoani Geita, ndugu Paulo Lutandula, ameshindwa uzalendo na kuamua kutumia maneno ya vitisho na chuki dhidi ya Mwalimu wa...
Na Zitto Kabwe
MAONI: Suala moja lililoibuliwa katika mikutano ya hadhara ya chama cha ACT Wazalendo inayoendelea katika visiwa vya Unguja na Pemba ni uendeshaji (ground handling) wa ‘Terminal 3’...
Baada ya Lema kupata mapokezi makubwa Arusha nimependezwa na Kauli ya wananchi wa Arusha kutaka Roma arejee home. Ikumbukwe Roma siyo mkazi wa Arusha Bali ni Mtanzania aliyetoroka nchi.
Wananchi...
Haishangazi Mbowe kummiminia pongezi Rais Samia.
Freeman Mbowe kwenye mkutano wa hadhara wa CHADEMA, Furahisha, Mwanza, alisema kuwa ameamua kujilipua mabomu kwa kumpongeza Rais Samia.
Mbowe...
Wananzengo nimeamka toka usingizini baada ya kuota ndoto ya kutisha. Yupo wapi huyu aliyewahi kuwa shushushu number moja Tanzania.
Narudi kuutafuta usingizi tena.
Nimeona Chadema na washirika wao ACT wazalendo mara kwa mara wakimtaka Rais Samia amwachie huru Freeman Mbowe eti kwa sababu kesi hiyo inaitia doa serikali ya awamu ya sita.
Swali: Kwa mujibu wa...
Sote tunakumbuka katika mkutano wa kwanza wa tangu kuruhusiwa tena kwa mikutano ya kisiasa nchini, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Aikaeli Mbowe, alitumia muda mrefu sana kumshukuru na kumuongelea...
Ushauri aliotoa Binamu Bananga kwa CHADEMA kuhusu Mahojiano ya Rais Samia na BBC
Makamanda habari za jioni? Naamini wengi tumesikiliza mahojiano ya mama Samia na Kikeke, Nimeona Kaka yangu Lema...
Mahojiano na Salim Kikeke. Inaonekana Rais yupo nyuma ya hii yote. Na yoote yanayofanyika anaangalia tuu.
Anyway Leo ndo nimemjua Rais tulienae.
----
KESI DHIDI YA FREEMAN MBOWE
Kikeke...
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema hawezi kuzungumzia kesi ya kiongozi wa chama kikuu cha upinzani- Chadema- Freeman Mbowe ambaye anakabiliwa na mashtaka ya ugaidi.
Katika mahojiano...
Viongozi waliokuwa wanaaminika, wazalendo na watetezi wa Watanzania sasa wamegeuka. Agenda kubwa si matatizo na changamoto zinazowakumba Watanzania, bali wanashindana kuonesha mabaya waliyotendewa...
Kaandika hivi kupitia twitter:
Mwenyekiti Mbowe ana kesi ya kujibu ya ugaidi kwa mujibu wa majaji wa Magufuli na Samia, lakini ni 'Mwamba' na 'Rais' kwa mujibu wa wananchi wa kawaida wa Tanzania!!!
Akijibu ombi la Mheshimiwa Zitto leo kuhusu ombi la kumwachilia Mbowe ili kuweka nchi kwenye mshikamano wa Kitaifa, Mh. Samia amesema kwanza afuate sheria pili awe na heshima.
Tofauti na tuhuma...
Hii ndio Taarifa mpya iliyotufikia hivi Punde , kwamba kuna msururu wa viongozi wa Kigeni , Viongozi wa Taasisi za Kimataifa pamoja na Mabalozi kadhaa ambao Wamejiandikisha kwenye kitabu cha...
na Kitila Mkumbo
Mara baada ya kumaliza mitihani ya mwisho ya masomo yangu ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam niliajiriwa hapohapo chuoni kama Afisa Tawala III tarehe 16 Juni 1999. Awali, ajira...
Naomba radhi kwenye uzi, nitatumia majina ya viongozi ambao naamini wamefutwa kwenye ramani ya siasa si kwa kushindwa hoja, bali kwa matumizi makubwa ya mfumo uliokuwa imejichimbia kwenye shimo la...
Hakuna shaka hata kidogo kuwa Taifa letu hili linahitaji mabadiliko makubwa ya kutengeneza mifumo itakayoishi na kudumu, kwa kuanzia na katiba mpya.
Kwa Katiba yetu ya sasa, mtu mmoja aitwaye...
UPDATE
"Mbowe na wenzake watashtakiwa kwa makosa ya ugaidi kwa sababu kuna mtu ametupa ushahidi kuwa walipanga kulipua vituo vya mafuta jijini Dar na kuleta maafa makubwa," Lazaro Mambosasasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.