Rais Mstaafu Mhe Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amehitimisha mapumziko yake mafupi ya mwisho wa mwaka kwa kutembelea Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.
Dkt Kikwete, ambaye ameongozana na Mkewe Mama Salma...
Kwà kipindi kirefu tangu Utawala wa kikoloni miaka ya 1880-1980 serikali na mamlaka Zake zimekuwa kikwazo kwa Maendeleo na ustawi wa Jamii za kiafrika licha ya Matumaini Makubwa waliyo nayo Raia...
Rais Dk. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kushuhudia uzinduzi wa zoezi la kuingiza maji kwenye Bwawa la Julius Nyerere Disemba 22, 2022 badala ya Novemba 2021 iliyokuwa awali.
Mheshimiwa Rais...
Rushwa inarudi kwa kasi Tanzania na inasikitisha sana. Serikali na viongozi wakuu kama wenyewe sio wala rushwa inabidi wafanye ufuatiliaji wa vitu vya wananchi. Nitatoa mifano hapa
1. Kama ni...
ACHENI KUTUTISHA, SIO LAZIMA TUWACHAGUE.
Na, Robert Heriel
Kuna wanasiasa wanatabia za hovyo sana. Hivi ninyi wagombea mnajichukuliaje? Au mnafikiri sisi tunawachukuliaje? Mnafikiri tunawaona...
Kwema Wakuu!
Kila mtu ni shahidi wa kinachoendelea katika upandaji wa bidhaa hapa nchini. Vitu vinapanda kila siku, hasa vitu vyeti kabisa kama Mafuta ya Kula, Michele, Sabuni, sukari miongoni...
Kwema Wakuu!
Nilitaka kuwakumbusha tuu kuwa Kauli ya "Mama anaupiga mwingi" ilianzishwa na Wapinzani wala sio CCM yenyewe.
Tena mwanzoni Kauli hii haikuwa nzuri Kwa wana-ccm waliowengi hasa Wale...
Baada ya kutazama hotuba ya kiongozi wa upinzani Freeman Mbowe huko Marekani nimefurahi sana kwa jinsi alivyoonyesha uzalendo. Ikumbukwe Mbowe katoka familia ya mpigania uhuru wa nchi hii hayati...
Mbunge wa Shinyanga mjini amechaguliwa kuwa makamo wa Rais wa Bunge la Muungano wa Afrika
======
Mbunge wa Shinyanga Mjini (CCM), Stephen Masele amechaguliwa kuwa Makamu wa Rais wa Bunge la...
Habari wadau,
Hapa ni awamu ya 4 Rais Dk. Samia akiwa mwanamama pekee kwenye kikao cha majadiliano na hao jamaa waliokuwa wanaenda kunywa chai Ikulu.
Haieleweki Madam President alikuwa na cheo...
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameagiza watumishi wa Halmashauri ya Wilaya Mlele wahamie mara moja kwenye nyumba 11 zilizokuwa za wajenzi wa Barabara ya Inyonga-Mlele na kukabidhiwa kwa halmashauri...
JK amesema Mama ndie Mgombea pekee wa CCM labda hali iwe mbaya sana! Je kwa sasa kuna hali mbaya? Hali mbaya aliyomaanisha JK ni ipi? Nani ataipima hiyo Hali mbaya? Je ni Jk mwenyewe?
Kwa mfano...
Wakala wa maji safi na usafi wa mazingira Vijijini (Ruwasa) Wilaya ya Njombe Mkoa wa Njombe umeanza kutekeleza Mradi wa maji utakaonufaisha wakaazi 4,144 wa kijiji cha Vyombo Wilayani humo.
Meneja...
Ukiongea na wananchi wa kawaida wana lalamika kuna wasomi wengi sana hawana kazi. Ukiongea na wataalamu wanalalamika hakuna watu wa kutosha wenye ujuzi na taaluma za kazi. Kuna Mtanzania Dr Mushi...
Mheshimiwa Raisi Magufuli kipindi cha mwanzo cha Uongozi wako sikuweza kukuewa dira yako lakini kila nilipokuwa nakuchunguza ili nikuamini nili kiri ndani ya moyo wangu kuwa hakuna kitu kibaya...
Tumeshuhudia Waziri Mkuu Majaliwa, akikemea hadharani, watuhumiwa (Innocent Till Proved Guilty Under the court of law) Kwa Mujibu wa Vyanzo vyake. Watuhumiwa Hao Wa makosa mbalimbali, Ni watendaji...
Mbunge wa Jimbo la Muhambwe Mkoani Kigoma Mhe. Dkt. Florence George Samizi ameendelea na ziara yake ya kuelezea Utekelezaji wa Ilani ya CCM Jimboni pamoja na kusikiliza na kutatua kero za Wananchi...
Yawezekana ndiyo maana kama taifa hatutoboi. Kila siku tunaogelea kwenye mabalaa na majanga. Ni kwasababu tunamdhihaki Mungu wetu wa mbinguni.
Hawa hawa viongozi wetu ambao ni wafujaji wa kodi...
Akizungumzia haki na uhuru wa watu kuzungumza, Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku amesema viongozi wanatakiwa kuthamini utu wa watu, hivyo wana haki ya kulinda uhuru na haki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.