Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Rais Mstaafu Mhe Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amehitimisha mapumziko yake mafupi ya mwisho wa mwaka kwa kutembelea Hifadhi ya Taifa ya Serengeti. Dkt Kikwete, ambaye ameongozana na Mkewe Mama Salma...
22 Reactions
126 Replies
9K Views
Kwà kipindi kirefu tangu Utawala wa kikoloni miaka ya 1880-1980 serikali na mamlaka Zake zimekuwa kikwazo kwa Maendeleo na ustawi wa Jamii za kiafrika licha ya Matumaini Makubwa waliyo nayo Raia...
1 Reactions
12 Replies
847 Views
Rais Dk. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kushuhudia uzinduzi wa zoezi la kuingiza maji kwenye Bwawa la Julius Nyerere Disemba 22, 2022 badala ya Novemba 2021 iliyokuwa awali. Mheshimiwa Rais...
1 Reactions
95 Replies
9K Views
Rushwa inarudi kwa kasi Tanzania na inasikitisha sana. Serikali na viongozi wakuu kama wenyewe sio wala rushwa inabidi wafanye ufuatiliaji wa vitu vya wananchi. Nitatoa mifano hapa 1. Kama ni...
1 Reactions
6 Replies
746 Views
ACHENI KUTUTISHA, SIO LAZIMA TUWACHAGUE. Na, Robert Heriel Kuna wanasiasa wanatabia za hovyo sana. Hivi ninyi wagombea mnajichukuliaje? Au mnafikiri sisi tunawachukuliaje? Mnafikiri tunawaona...
0 Reactions
3 Replies
765 Views
Kwema Wakuu! Kila mtu ni shahidi wa kinachoendelea katika upandaji wa bidhaa hapa nchini. Vitu vinapanda kila siku, hasa vitu vyeti kabisa kama Mafuta ya Kula, Michele, Sabuni, sukari miongoni...
2 Reactions
11 Replies
952 Views
Kwema Wakuu! Nilitaka kuwakumbusha tuu kuwa Kauli ya "Mama anaupiga mwingi" ilianzishwa na Wapinzani wala sio CCM yenyewe. Tena mwanzoni Kauli hii haikuwa nzuri Kwa wana-ccm waliowengi hasa Wale...
12 Reactions
27 Replies
2K Views
Baada ya kutazama hotuba ya kiongozi wa upinzani Freeman Mbowe huko Marekani nimefurahi sana kwa jinsi alivyoonyesha uzalendo. Ikumbukwe Mbowe katoka familia ya mpigania uhuru wa nchi hii hayati...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Mbunge wa Shinyanga mjini amechaguliwa kuwa makamo wa Rais wa Bunge la Muungano wa Afrika ====== Mbunge wa Shinyanga Mjini (CCM), Stephen Masele amechaguliwa kuwa Makamu wa Rais wa Bunge la...
3 Reactions
14 Replies
7K Views
Habari wadau, Hapa ni awamu ya 4 Rais Dk. Samia akiwa mwanamama pekee kwenye kikao cha majadiliano na hao jamaa waliokuwa wanaenda kunywa chai Ikulu. Haieleweki Madam President alikuwa na cheo...
11 Reactions
96 Replies
6K Views
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameagiza watumishi wa Halmashauri ya Wilaya Mlele wahamie mara moja kwenye nyumba 11 zilizokuwa za wajenzi wa Barabara ya Inyonga-Mlele na kukabidhiwa kwa halmashauri...
0 Reactions
3 Replies
794 Views
Naomba kujuzwa, TLP ina Mwenyekiti ama ndo byebye?
2 Reactions
39 Replies
3K Views
JK amesema Mama ndie Mgombea pekee wa CCM labda hali iwe mbaya sana! Je kwa sasa kuna hali mbaya? Hali mbaya aliyomaanisha JK ni ipi? Nani ataipima hiyo Hali mbaya? Je ni Jk mwenyewe? Kwa mfano...
13 Reactions
41 Replies
3K Views
Wakala wa maji safi na usafi wa mazingira Vijijini (Ruwasa) Wilaya ya Njombe Mkoa wa Njombe umeanza kutekeleza Mradi wa maji utakaonufaisha wakaazi 4,144 wa kijiji cha Vyombo Wilayani humo. Meneja...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Ukiongea na wananchi wa kawaida wana lalamika kuna wasomi wengi sana hawana kazi. Ukiongea na wataalamu wanalalamika hakuna watu wa kutosha wenye ujuzi na taaluma za kazi. Kuna Mtanzania Dr Mushi...
6 Reactions
43 Replies
2K Views
Mheshimiwa Raisi Magufuli kipindi cha mwanzo cha Uongozi wako sikuweza kukuewa dira yako lakini kila nilipokuwa nakuchunguza ili nikuamini nili kiri ndani ya moyo wangu kuwa hakuna kitu kibaya...
11 Reactions
21 Replies
2K Views
Tumeshuhudia Waziri Mkuu Majaliwa, akikemea hadharani, watuhumiwa (Innocent Till Proved Guilty Under the court of law) Kwa Mujibu wa Vyanzo vyake. Watuhumiwa Hao Wa makosa mbalimbali, Ni watendaji...
14 Reactions
52 Replies
6K Views
Mbunge wa Jimbo la Muhambwe Mkoani Kigoma Mhe. Dkt. Florence George Samizi ameendelea na ziara yake ya kuelezea Utekelezaji wa Ilani ya CCM Jimboni pamoja na kusikiliza na kutatua kero za Wananchi...
1 Reactions
4 Replies
587 Views
Yawezekana ndiyo maana kama taifa hatutoboi. Kila siku tunaogelea kwenye mabalaa na majanga. Ni kwasababu tunamdhihaki Mungu wetu wa mbinguni. Hawa hawa viongozi wetu ambao ni wafujaji wa kodi...
14 Reactions
62 Replies
3K Views
Akizungumzia haki na uhuru wa watu kuzungumza, Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku amesema viongozi wanatakiwa kuthamini utu wa watu, hivyo wana haki ya kulinda uhuru na haki...
28 Reactions
155 Replies
10K Views
Back
Top Bottom