johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,149
Kama tulisharuhusu Wanasiasa katika level fulani wawe na Kinga ya kutoshtakiwa leo tunalalamika nini?
Tuache double standard Wanasiasa kwa sababu kinachawakinga Nyie ndio kinawakinga na Wale pia
Niishie hapo!
Pia soma: Muswada wa Mabadiliko ya Sheria ya Usalama wa Taifa, umewapa kinga ya Jinai Maafisa Usalama
Tuache double standard Wanasiasa kwa sababu kinachawakinga Nyie ndio kinawakinga na Wale pia
Niishie hapo!
Pia soma: Muswada wa Mabadiliko ya Sheria ya Usalama wa Taifa, umewapa kinga ya Jinai Maafisa Usalama